Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,446
Kitila,
Swali gumu sana hili. Nimekuwa napiga vita swala la polisi kutumiwa na viongozi wa serikali (hata wastaafu) kwa mambo ya ajabu kama haya kwa muda sasa hapa.
Ni makosa makubwa, inaonekana walitaka hao vijana wasifie tu na kupiga vigelegele kuwa mkubwa kapita.
Pambaffff kabisa!
Unajua kuna mjumbe alisha wahi kusema hivi CHICHIEMU[CCM] isipo tumia dola nn kitatokea??yaani ijiweke kando kabisa na vyombo vya dola.