Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
Mkuu acha upuuzi na kupoteza nafasi hapa, jibu maswali yangu nimetoa dataz sasa zako ziko wapi? Tizama ulikoanzia na ulipofika sasa hivi huoni aibu mtu mzima? Hili swali lako halihusiani na topic mkuu, sasa ni wakati wa wewe kujibu maswali yangu vipi ukiyajibu?
Hii tu ndio dawa yenu watu wa kuja, sasa nenda kule basement mkaanze tena na mambo ya CUF, huku mchana kweupee hukuwezi mkuu! Hapa huwa hatudanganyani kama huko basement, halafu mkija nje kazi kujikomba kwa viongozi wa CCM, usiku mnakuwa CUF huko mabesement,
hapa hatufanyi hayo mkuu, ni fimbo kwa fimbo, yaani facts na dataz huna kaaa pembeni! Utabadili majina hapa mpaka uchoke sisi huwa tunakwenda na jina moja tu, fimbo tu!
mpe dawa huyo...