Inaonekana kuna watu wanataka kumpaka raisi wetu mkapa matope bure kwa sababu za kisiasa.
Mazee Ogah achana na hawa Troglodyte Homunculus wenye IQ za chini ya 20 halafu wanajifanya member wa Mensa. Vitu wanavyoandika humu ni beyond stupidity. Mensa hawawezi waka-admit magoigoi kama hawa.
Kuna Member Mmoja alisha sema kuwa kuna watu anaanzisha thread halafu anatumia majina mawili kujiuliza maswali na kujijibu mwenyewe. sasa nanusa mchezo huo
webmaster delete this topic
baadhi yetu humu baada ya kusikia hizi accusations tulijua tu kwamba hakuna ukweli wowote ndani yake, hivyo sitoshangaa kuona "wanaomuandama mzee mkapa" wakiondoka patupu !
hizi accusations ni part ya ile take over campaign inayofanywa na akina nanihii wakitaka kupaka mavi kila sehemu. but ooh my goooshhh its not working for them.
Kina nanihii si mnao wenyewe?ndani ya system?ua hujui kuwa watu wa Mkapa bado wana exist kwenye system?na watu wa kikwete ndio wanaoibua haya mambo ili watu wawe busy na mkapa siku ziende?maana JK ameshindwa ku deliver!sasa watu wake ndio wanaomchokonoa mzee na JK anajua akichokonolewa mzee yeye hata kuwa salama ndio maana akataadharisha wamuache mzee apumzike.
Wewe ni kada kindakindaki.
Huwezi kuelewa haya.
Tunajadili hoja na kama hamna hoja tunasaka kwingine shamasha nyie....
wape wape vidonge vyao, watakimbia forum hao, na muda si mrefu nitaleta thread zaidi za ccm.
Its pay back time.
Mods, hizi ni njama za kuivuruga JF kama hamtakuwa makini kuzuia upumbavu kama huu basi hawa wenye fikra za kifisadi na watetezi wa mafisadi wanaweza kabisa kuiharibu JF. Kulikuwa na sababu gani ya kuanzisha hii thread? Kama unauliza kitu na watu hawakujibu basi usitake kuwalazimisha watu wa kujibu na wao hawataki kufanya hivyo!!!! Mkiwaachia hawa leo wanatuma labda kwa siku jumbe 10 kesho kutwa kutwa itakuwa ni jumbe 1,000 kwa siku na itasababisha kasheshe ya hali ya juu. Wapeni onyo kwamba mchezo wao wa kipumbavu haukubaliki na kama hawakusikia basi wafungiwe.
Ukumbi huu una sheria zake kama zinapindwa na wahusika wakaonywa na wakaendelea kupindisha sheria bila kujali maoni ya wanachama wengine wa ukumbi huu basi wanastahili kabisa kufungiwa. Ni upumbavu na utoto wa hali ya juu kuanzisha thread yenye subject Mkapa halafu ndani haina kitu chochote. Na wanaJF wengi hawatakuwa tayari kuvumilia upumbavu huu.
KadaMpinzani,
Mkuu nataka kujiunga na hii mada...nasikia hiyo Tuesday watyu walikimbia... hao hao mnaowajua sasa kama mnataka tulianzishe itakuwa vizuri sana mkinipa hizo mada zinaqzozungumzia maswala ya Mkapa..... muulizeni mkuu wenu Augustine Moshi, aliyembeba Mkapa na kumvusha mto lakini alipofika upande wa pili alijikuta peke yake...
Mkuu wala msianze za Mkapa mtamweka matatani zaidi maanake kuna info ambazo watu wameziweka tuuu wanasikilizia Upepo!
KadaMpinzani,
Kikinuka ndo ondoka taratibu!....najua harufu huiwezipamoja na kwamba huna jinsi choo cha mchuchumio ndo utamaduni wenyewe huo!
Hata hivyo nipe hizo mada basiii! naona mada kibao hazina mbele wala nyuma. Nambie ulikoweka nanga nataka sana kuwakilisha.
Heee, mara hii watu wamekuwa wanafuata Upepo mkuu, mbona wewe umezungumza mengi kuhusu Mbowe ambayo wala sioni makosa wala kutaka awe accoutable...lakini umeweza yaona ya wengine..
Halafu mkuu wewe kijana wa mjini haya maswala ya kubeba jitu zima fisadi kama hilo huoni aibu mkuu..