Inaonekana kuna watu wanataka kumpaka raisi wetu mkapa matope bure kwa sababu za kisiasa. Mkapa kaifanyia mengi Tanzania, kainua uchumi wa Tanzania, kajenga barabara na mengine mengi.
Watu wasiompenda hasahasa wapinzani ndio wanampaka matope tu bila sababu yoyote. Kiwira sio ya Mkapa, wenye uthibitisho walete na sio kupakana matope tu bila sababu.
Watu wasiompenda hasahasa wapinzani ndio wanampaka matope tu bila sababu yoyote. Kiwira sio ya Mkapa, wenye uthibitisho walete na sio kupakana matope tu bila sababu.