Mkapa above the law?: Allegations

Mkapa above the law?: Allegations

Ohhh kumbe hujapata habari mkuu, subiri nakwambia kitanuka hivi karibuni, tena basi itakuwa kama ile ya Lowassa wakati akiitwa Richmonduli na ndege ya kupaa.. walisema hayohayo!.. yaani sasa hivi mkuu namsikitikia sana Mkapa... Angesikia ya watu toka zamamni haya yote yasingetokea..
Watu wamemkalia kooni kichizi yaani wala usiombe!..Kifupi nitakwambia ni Tic...Tac... tic....tac..
Kuhusu Kikwete kusema kweli binafsi naamini kuwa ni baraka tupu kuja kwake!...Tupewe nini zaidi kama mambo mswano kiasi hiki. Nje ya Kikwete sioni kiongozi toka CCM zaidi ya wale waliokaa benchi bila namba.
 
Ohhh kumbe hujapata habari mkuu, subiri nakwambia kitanuka hivi karibuni, tena basi itakuwa kama ile ya Lowassa wakati akiitwa Richmonduli na ndege ya kupaa.. walisema hayohayo!.. yaani sasa hivi mkuu namsikitikia sana Mkapa... Angesikia ya watu toka zamamni haya yote yasingetokea..
Watu wamemkalia kooni kichizi yaani wala usiombe!..Kifupi nitakwambia ni Tic...Tac... tic....tac..
Kuhusu Kikwete kusema kweli binafsi naamini kuwa ni baraka tupu kuja kwake!...Tupewe nini zaidi kama mambo mswano kiasi hiki. Nje ya Kikwete sioni kiongozi toka CCM zaidi ya wale waliokaa benchi bila namba.

eeh bana, hizo ni baadhi ya propaganda nilizokuwa nikiziongelea ! wakati tunasubiri "kinuke" wengine tumeamua kutumia muda huu vizuri na kuchunguza wengine pia yakhe ! nao pia wasubiri vyao vinavyonuka viwekwe wazi.
 
Mods, hizi ni njama za kuivuruga JF kama hamtakuwa makini kuzuia upumbavu kama huu basi hawa wenye fikra za kifisadi na watetezi wa mafisadi wanaweza kabisa kuiharibu JF. Kulikuwa na sababu gani ya kuanzisha hii thread? Kama unauliza kitu na watu hawakujibu basi usitake kuwalazimisha watu wa kujibu na wao hawataki kufanya hivyo!!!! Mkiwaachia hawa leo wanatuma labda kwa siku jumbe 10 kesho kutwa itakuwa ni jumbe 1,000 kwa siku na itasababisha kasheshe ya hali ya juu. Wapeni onyo kwamba mchezo wao wa kipumbavu haukubaliki na kama hawakusikia basi wafungiwe.

Bubu ataka kusema,
With regard to ill-conceived posts, please do not despair. Sometimes the true colors of individuals behind these comments can only be exposed when we let loose some of their maligned posts. We beg your understanding when this is the case. Hope you have a nice day !

 
Bubu ataka kusema,
With regard to ill-conceived posts, please do not despair. Sometimes the true colors of individuals behind these comments can only be exposed when we let loose some of their maligned posts. We beg your understanding when this is the case. Hope you have a nice day !


That's correct Painkiller,

May be after this "show of force and power" from ccm members passes, we can all be spared of constant complaints against the forum. For now I can see as many ccm supporters in the forum as oppostion and independents.

For a long time, we have members like FMES, Mtu wa Pwani, Masatu, FD, Kasheshe, and many others who have stood for ccm here throughout.

We have also had other ccm member to the likes of Kada, mswahili, mtalii, chinga, and now kubwajinga, zemarcopolo, mapambano, mtarajiwa etc just as well as we have also had so many staunch supporters of opposition parties.

I have never understood where this notion of JF being one sided comes from. Let 'em show what they have. So far we all see what to expect from them. It is okay to let this play as it is right now.

Thanks!
 
Wakuu naomba kurekebisha one thing hapa, mawazo ya watu hapa hata siku moja yasisemwe kuwa ni ya CCM, mimi ninawasiliana sana na viongozi wa CCM na nimewabembeleza sana kuleta watu wao hapa watakaoongea na facts, kujibu hoja na kero za wananchi, mara kwa mara wameniahidi kuwa watalishughulikia hilo na wataniarifu lakini mpaka leo hawajelta mtu hapa,

Na for the record ni kwamba mara ya mwisho niliongea na Sophia Simba kwa kirefu on this ishu, bado mpaka leo hajanifahamisha lakini aliniambia kuwa ataongea na wakuu wengine, nimekuwa nikiwafahamisha kwa nia njema kabisa kwa faida kuanzia ya chama na taifa kwa ujumla kuwepo kwa watu huko hapa watakakuwa wakijibu kwa facts hoja nzito za wananchi,

Maana yangu ni kwamba tulioko hapa tunaandika kwa matakwa yetu binafsi, lakini hakuna anyetumwa na CCM, kuja kaundika hapa unless kama inapendeza tu kusema kuwa fulani ametumwa na CCM, ninarudia kuwa hakuna mtu anayetumwa na CCM hapa, unless kama wanaotumwa na vyama vingine, tunaandika hapa kwa mapenzi yetu binafsi ya vyama,

halafu ikumbukwe kuwa Kada Mpinzani, siku zote alikuwa ni mpinzani mkubwa wa CCM, sasa siamini kuwa alipokuwa akiandika kama mpinzania wa CCM alikuwa akitumwa na upinzani au Chadema, ni kweli kuwa tumeingiliwa lakini ni vyema kwanza hao waliotuingilia wakapewa nafasi kwanza lili tuone their case, nafikiri so far inaanza kuwa very clear kuwa hawana a serious case na the more wanavyaoandika ni the more wanaji-expose level ya uwezo wao kufikiri which is good, kabla ya ku-make a move!

Kwa wale tunaolilia good governance, ninasema kuwa vyema wapewe hiyo nafasi ya kuonyesha uwezo wao wa kufikiri kwanza, so far so good tatizo ni pale tu na sisi tukianza kuwaiga, then wenye akili watashindwa kujua nani mwenye akili kuliko mwingine.
 
That's correct Painkiller,


For a long time, we have members like FMES, Mtu wa Pwani, Masatu, FD, Kasheshe, and many others who have stood for ccm here throughout.

We have also had the likes of Kada, mswahili, mtalii, chinga, and now kubwajinga, zemarcopolo, mapambano, mtarajiwa etc just as we have had so many staunch supporters of opposition parties.

I have never understood where this notion of JF being one sided comes from. Let 'em show what they have. So far we all see what to expect from them. It is okay to let this play as it is right now.

Thanks!

Mgaya,
Dead on ! In this day and age, for the time JF has been on air and for a prominent JF member, only a thick-skulled one can dare link JF to a political party.

By the way, your grouping of supposedly JF nicknames above is savvy and frightening if you know what I mean. Have a nice day !
 
Wakuu naomba kurekebisha one thing hapa, mawazo ya watu hapa hata siku moja yasisemwe kuwa ni ya CCM, mimi ninawasiliana sana na viongozi wa CCM na nimewabembeleza sana kuleta watu wao hapa watakaoongea na facts, kujibu hoja za wananchi, mara kwa mara wameniahidi kuwa watalishughulikia hilo na wataniarifu lakini mpaka leo hawajelta mtu hapa,

Na for the record ni kwamba mara ya mwisho niliongea na Sophia Simba kwa kirefu on this ishu, bado mpaka leo hajanifahamisha lakini aliniambia kuwa ataongea na wakuu wengine, nimekuwa nikiwafahamisha kwa nia njema kabisa kwa faida kuanzia ya chama na taifa kwa ujumla kuwepo kwa watu huko hapa watakakuwa wakijibu kwa facts hoja nzito za wananchi,

Maana yangu ni kwamba tulioko hapa tunaandika kwa matakwa yetu binafsi, lakini hakuna anyetumwa na CCM, kuja kaundika hapa unless kama inapendeza tu kusema kuwa fulani ametumwa na CCM, ninarudia kuwa hakuna mtu anayetumwa na CCM hapa, unless kama wanaotumwa na vyama vingine, tunaandika hapa kwa mapenzi yetu binafsi ya vyama,

halafu ikumbukwe kuwa Kada Mpinzani, siku zote alikuwa ni mpinzani mkubwa wa CCM, sasa siamini kuwa alipokuwa akiandika kama mpinzania wa CCM alikuwa akitumwa na upinzani au Chadema, ni kweli kuwa tumeingiliwa lakini ni vyema kwanza hao waliotuingilia wakapewa nafasi kwanza lili tuone their case, nafikiri so far inaanza kuwa very clear kuwa hawana a serious case na the more wanavyaoandika ni the more wanaji-expose level ya uwezo wao kufikiri which is good, kabla ya ku-make a move!

Kwa wale tunaolilia good governance, ninasema kuwa vyema wapewe hiyo nafasi ya kuonyesha uwezo wao wa kufikiri kwanza, so far so good tatizo ni pale tu na sisi tukianza kuwaiga, then wenye akili watashindwa kujua nani mwenye akili kuliko mwingine.

Hapa nadhani ufafanuzi unahitajika. Inatarajiwa kuwa JF ni ya watu wote sasa hapa nani kamuingilia nani?
 
Hapa nadhani ufafanuzi unahitajika. Inatarajiwa kuwa JF ni ya watu wote sasa hapa nani kamuingilia nani?


JF we are very good kwa kuandika kwa code, sasa kuna yanyohitaji ufafanuzi na yasiyohitaji anything, zaidi tu ya kuwaachia wenye macho waone wenyewe na hili ni mojawapo, yaani mwenye macho asiambiwe aone!
 
That's correct Painkiller,

May be after this "show of force and power" from ccm members passes, we can all be spared of constant complaints against the forum. For now I can see as many ccm supporters in the forum as oppostion and independents.

For a long time, we have members like FMES, Mtu wa Pwani, Masatu, FD, Kasheshe, and many others who have stood for ccm here throughout.

We have also had the likes of Kada, mswahili, mtalii, chinga, and now kubwajinga, zemarcopolo, mapambano, mtarajiwa etc just as we have had so many staunch supporters of opposition parties.

I have never understood where this notion of JF being one sided comes from. Let 'em show what they have. So far we all see what to expect from them. It is okay to let this play as it is right now.

Thanks!

sidhani kama kweli mengi yanasemwa hapa na kama tukiamua kuanza kusema ukweli half ya vigogo wa forum hii wataudhika ! Nilikuwepo hapa tokea mwanzoni jf haikuwa the way ilivyo sasa, kipindi kile cha tanzatl ilipokuwa hai wakati ambao hata members wengine humu walikuwa hawachangii chochote kwenye siasa bali walikuwa wakiandika hadithi za mapenzi, maishairi na ngonjera.... as the forum grew, watu wakaanza kuwa opportunists kitu ambacho wengi waliojiandikisha humu ndani hawakupata kuona ukweli wa hilo jambo. Sasa kama kuna watu watasema mie nimetumwa na ccm, sawa semeni ! hayo ni maoni yenu na kila mtu atayaheshimu maoni yenu ! Hiyo ni changamoto tu kwangu mimi kama kada ! Huo uanachama wa ccm, nilivishwa na hao ambao walianza kunufaika kwa kuanza kubagua na kukiponda chama cha mapinduzi ccm, na kusifia chama kimoja kitu ambacho kilinistua, maana nilipoamua kujiunga humu nilikuwa na nia moja ambayo ni kuwa mwangalifu wa kutojiingiza kwenye makundi yoyote ya siasa which am glad up to now sipo kwenye kundi lolote la siasa BALI ISIPOKUWA OPPORTUNISTS NDANI YA JF WALIAMUA KUNIVIKA UANACHAMA WA CCM KWA LAZIMA, hivyo mzee mzima kada sikuukata na kamwe sitoukataa, hadi pale watakapoamua kunivua huo uanachama walionipachika na kuanza kuwa fair kwa vyama vyote vya tanzania na kupunguza propaganda, basi nadhani tutakuwa katika ile ile hali ya mwanzoni kabisa ambapo kila mtu alikuwa na mawazo huru, kuheshimiana na pia kuwa karibu kama ndugu. Lakini hii tabia ya kuonea vyama vingine ni kitu ambacho nakiita utovu wa nidhamu na sidhani kama nitakuja kueleza tena kwa nini mambo hayapo fair !

Sasa kama itaeleweka hadi hapa, SAWA, kama haitoeleweka haya !Mawazo yenu yaendelee kama kawaida !
 
JF we are very good kwa kuandika kwa code, sasa kuna yanyohitaji ufafanuzi na yasiyohitaji anything, zaidi tu ya kuwaachia wenye macho waone wenyewe na hili ni mojawapo, yaani mwenye macho asiambiwe aone!

Naheshimu jibu lako, ingawa limezaa maswali mengine.
 
That's correct Painkiller,

May be after this "show of force and power" from ccm members passes, we can all be spared of constant complaints against the forum. For now I can see as many ccm supporters in the forum as oppostion and independents.

For a long time, we have members like FMES, Mtu wa Pwani, Masatu, FD, Kasheshe, and many others who have stood for ccm here throughout.

We have also had the likes of Kada, mswahili, mtalii, chinga, and now kubwajinga, zemarcopolo, mapambano, mtarajiwa etc just as we have had so many staunch supporters of opposition parties.

I have never understood where this notion of JF being one sided comes from. Let 'em show what they have. So far we all see what to expect from them. It is okay to let this play as it is right now.

Thanks!

Naona umeanza fabrication, hii ni sehemu ya conspiracy theories zako au?

Umeshanibadili jina toka kuwa mtetea fisadi sasa nimekuwa "staunch supporters of opposition parties" !!!

Kuna post gani niliyotuma humu kuonyesha support kwa chama fulani?
 
Naona umeanza fabrication, hii ni sehemu ya conspiracy theories zako au?

Umeshanibadili jina toka kuwa mtetea fisadi sasa nimekuwa "staunch supporters of opposition parties" !!!

Kuna post gani niliyotuma humu kuonyesha support kwa chama fulani?

mkuu achana nae huyo, wao wanachojua ni PROPAGANDA na CONSPIRACY THEORIES ili kuleta hoja katika chama chao. Ukiwaambia wasitumie propaganda na conspiracy theories, KWA KIFUPI UTAKUWA UMEKIZIKA CHAMA KABISAAAA maana tayari kimeshakufa !
 
Mgaya,
Dead on ! In this day and age, for the time JF has been on air and for a prominent JF member, only a thick-skulled one can dare link JF to a political party.

By the way, your grouping of supposedly JF nicknames above is savvy and frightening if you know what I mean. Have a nice day !

Thanks,

I have edited my post to make it reflective of my intentions.
 
mkuu achana nae huyo, wao wanachojua ni PROPAGANDA na CONSPIRACY THEORIES ili kuleta hoja katika chama chao. Ukiwaambia wasitumie propaganda na conspiracy theories, KWA KIFUPI UTAKUWA UMEKIZIKA CHAMA KABISAAAA maana tayari kimeshakufa !

Nimegundua hilo maana kila ukianza mjadala wa sera za chama chao wanaanza kugawa majina na uanachama wa vyama vingine! Wameshazoea kukaa kwenye vikao vya kupigiana makofi, unfortunately JF is no longer one of those.
 
Naona umeanza fabrication, hii ni sehemu ya conspiracy theories zako au?

Umeshanibadili jina toka kuwa mtetea fisadi sasa nimekuwa "staunch supporters of opposition parties" !!!

Kuna post gani niliyotuma humu kuonyesha support kwa chama fulani?

Hapana,

wewe ni ccm supporter kama alivyo kada, mtarajiwa, kubwajinga na wengine niliowataja.
 


wape wape vidonge vyao, watakimbia forum hao, na muda si mrefu nitaleta thread zaidi za ccm.

Its pay back time
.

Aha haa,

Kwa hiyo kinachofanyika hapa ni kuibadili hii forum kuwa ya ccm? Na hao ambao wanapewa vidonge ni kina nani? Je nini kitatokea kama wale ambao mnawapa vidonge watakimbia forum kama mnavyotaka?

Je kama forum ikiwa na mambo ya ccm peke yake then nini kitatokea? Je kuna makosa kwa wanachadema kutetea chama chao hapa? Na kama hii forum ikibaki ya wanaccm wenyewe kama inavyoonekana jioni hii je hiyo haitageuza hii forum kuwa ya upande mmoja?

Ni vizuri kuwa wengi mmekubali hapa kuwa ni wanaccm, kwa nini watu wachukie wakiitwa wana ccm? mbona wana chadema hawachukii kuitwa wana chadema? Kama mtu unasimamia chama sidhani kama kuna makosa kusimamia chama chako hapa. Au wewe unadhani vipi?

Watu hapa wanaandika maoni yao binafsi na sio msimamo wa JF. JF ina members na wanatoa maoni yao kwa hiyo sidhani kama kuwa na wana JF ambao wanatetea chadema au upinzani basi hiyo inaifanya JF kuwa tawi la upinzani.

Haya mkuu, mimi nimeshindwa na nimekubali kuwa wanaccm mmeshinda hapa na nitameza hivyo vidonge mnavyonipa. Nitakaa kimya tu kuona kitakachotokea kwenye issue za buzwagi, iptl, richmond, bot, kiwira, rada, na mengine mengi yanayoendelea tanzania.

Asante ndugu yangu, nimemeza vidonge vyako, natumaini utatulia sasa na kuacha kulalamika kuwa hii forum ni ya chama fulani maana kwa sasa nyie mmeshika usukani sasa.
 
nasikia watu wana ifno zaidi kuhusu kesi ya mkapa, imefikia hatua gani hiyo kesi maana hadi mara ya mwisho nilipoangalia ni kwamba hakuna kesi iliyopelekwa mahakamani !
 
Back
Top Bottom