Mkapa above the law?: Allegations

Mkapa above the law?: Allegations

Unajua wakati mwingine hufikiria pengine kusoma sana sio kujua zaidi, maanake huyu Mkapa na elimu yake hivi kweli anaona shida kuachia Kiwira mines ambayo kwa mtazamo wa mbali ndiyo itakuja kumchoma vibaya?...
I mean kama ni kuiba kesha iba sana za kutosha lakini hili la Kiwira limekaa vibaya sana kiasi kwamba litammaliza kabisaaa yeye na Yona kwa nini hawaachii hii kitu irudi mikononi mwa serikali?... ama ndio uroho wa fisi aliyeshika fupa lenye nyama kiduchu...
Duh! ama kweli wwatu wengine hawaoni mbali jamani..yaani cheche zinakolezwa yeye amekalia kung'ang'ania kitu hali wananchi wote wapo against yeye..Hiyo Kiwira itampeleka kaburini! nyie subirini myakuja nambia.
 
Asivyokuwa na akili huyu Mkapa anafikiri kila mtu Kbuntas... Leo anadai kuwa sii tajiri na anaishi kwa pensheni lakini huyo huyo Mkapa ktk issue ya Kiwira wanatuambia wameisha tumia kiasi cha Billioni 13 kukiendeleza kiwanda hicho..mmmmh umaskini upi anaozungumzia hapa?
Ama kweli kweli bado maskini maanake watu kama hawa dollar millioni moja ni vijisenti kwao..
 
kasubili Daudi amekufa ndio anaanza kuonekana sio???!!!!?? Najua yeye na genge lake wamefurahi kufariki kwa Daudi wakijua ushahidi umepotea,,,kumbukeni sauti ya watu ina muwakilisha mungu so atawaumbua enyi madalali

Mkuu Nyerereist,

I mean heshima mbele mkuu, unajua ndio maana ninaipenda hii kitu JF, kwa sababu hii yako ni the best ever analysis ya situation ya Mkapa kusema sasa, respect mkuu na keep it up!
 
Kila FISADI nasingiziwa nasigiziwa. Wanapata nguvu hizo kwa sababu TANZANIA hii hakuna mwenye UBAVU wa kumpeleka FISADI mahakamani. HAKUNa.

Si JK wala Pinda anaesema MAFISADI ni watu HATARI SANA hivyo wanaogopwa akimaanisha serikali na vyombo vyote vya USALAMA na serikali yote.

Mafisadi wote wataendelea kupeta, wataukuja wengine pia watapeta tu mpaka wote mtakufa na kuja kizazi kingine.

ILA walau tuendelee kuongea KUFURAHISHA nafsi zetu na kutoa stress
 
Mkulu boma,

This time hakuna kulala, maana hata maneno ya kumzomea tu kupitia vyombo vya habari itasaidia. Mbona hakuendelea kukaa kimya kwa nini asingeendelea kukaa kimya au kwa kuwa balali ameshakufa. tutaendelea kumsema kuwa niu raisi aliyeandika hitoria katika nchi yetu kwa kuiba mali ya umma.
 
Mkulu boma,

This time hakuna kulala, maana hata maneno ya kumzomea tu kupitia vyombo vya habari itasaidia. Mbona hakuendelea kukaa kimya kwa nini asingeendelea kukaa kimya au kwa kuwa balali ameshakufa. tutaendelea kumsema kuwa niu raisi aliyeandika hitoria katika nchi yetu kwa kuiba mali ya umma.

Sawa maneno hawayaogopi ila kama wangekamatwa ungeona UFISADI unaisha hata mafisadi wanaoibukia wasingekuwepo
 
Sawa maneno hawayaogopi ila kama wangekamatwa ungeona UFISADI unaisha hata mafisadi wanaoibukia wasingekuwepo

Boma,

We umeshaona mwizi akimkamata mwizi? Wapi na wapi?

Si vizuri kulifikiria hili, ila I can see our country look like Liberia in the near future, wait and see!!! Historia itawashtaki wanaojitia viziwi na mabubu kwa sasa, ingawa tumeanza kushuhudia baadhi ya mabubu wakianza kusema.
 
1. Tuliambiwa huko nyuma kuwa Lowassa, hawezekaniki anajua siri nyingi za rais hawezi kumtosa, halafu ni mshikaji wake sana, mimi nikasema hivi muungwana alienda kuiona nyumba ya mtoto wa Lowassa saa za usiku, hakwenda kule bila sababu, the next thing mkulu akatemwa,

Muungwana, akakutana na wabunge wote waliomtwanga Lowassa bungeni kwa siri na kuwapa ahsante, na pia kuwapa barua nzito inayowakataza viongozi wote wa juu wa serikali na ccm, kuwatisha wabunge wakati wakismama kidete bungeni, hii ilikuwa ni baada ya viongozi hao kulalamika kwa muungwana kuwa kuna wabunge wa ccm wanaoshirikiana na wabunge wa upinzani,

2. Tukaambiwa Chenge, ana siri nyingi sana za muungwana na hela za wauza unga alizopewa nao kwenye kampeni za urais, kwa hiyo hawezi kumgusa kabisa, boy! tumejionea Chenge akiadhirika. Karamagi, Msabaha.

3. Now here comes Mkapa, tayari tumeshaanza kuambiwa yale yale kuwa hawezi kuguswa, nilitabiri siku nyingi sana kuwa kuna siku muungwana atamtema tena kiroho mbaya sana Mkapa, wanaosema eti hakuna ushahidi naomba mteme mate chini maana kuna ushahidi wa kutosha kwamba hata siku Mkapa alipokuwa anakwenda Uwanja Wa Taifa kukabidhi urais, alisaini hela nyingi sana kuchukuliwa huko BOT, kuna ushahidi wa kutosha wa viongozi wote waliopewa special "viinua mgongo" dakika za mwisho na Mkapa kutoka BOT, kuna ushahidi wa kutosha jinsi alivyoitumia Wizara ya Miundo Mbinu kujitajirisha, kuna ushahidi wa kutosha jinsi alivyomtumia Mramba kujitajirisha,

I mean ushahidi upo tena wa kutosha sana kisheria na analijua sana hilo, na anajua sana kuwa kuna wabunge wanao huo ushahidi, siku ile Kimaro alipoongea haikuwa bure tu, kulikuwa na sababu nzito sana nyuma yake, Mkapa is going down tena sio mbali, mkewe analijua sana hilo na tayari ameshanza kuchekesha mbele ya wenziwe, mapesa mengi sana yalitumika kujaribu kuwanyamzisha wabunge ile siku ya kipigo cha Lowassa, tunaambiwa kuwa billions of our money zilimwagwa kwa wabunge ili waikatae ile ripoti, inasemekana kuwa haijawahi kutokea maana kuna wabunge waliopewa mpaka shillingi millioni 10 to 20, na kwamba Mkapa alikuwa pia anahusika na hizi kutolewa kwa hizi hela, kwa sababu alijua Lowassa akitolewa, basi next wataishia mlangoni kwake, ninasema hivi haoo wanakuja,

na sisi wananchi tunakuja, kuanzia kikao kijacho cha bajeti kutakuwa na moto ambao Mkapa hatauweza, it is only a matter of time kabla mvua haijamuangukia, he is done! Ni kweli Tanzania nchi yangu ina matatizo mengi sana ya uongozi, lakini this one Mkapa hawezi pona hata afanye nini he is next on line!

Unajua hakuna watu wanaojua kusoma upepo wa siasa za nchi kama Wahindi, sasa hawakubali tena deal yoyote toka Lowassa apigwe chini, unafikri wameona nini hao? Viongozi wengi wanaopitia hapa JF wanasema kuwa tunaonekana kutokumbuka kauli ya muungwana kuwa hana ubia na mtu yoyote kwenye urais wake, na pia wanasema kuwa inaonekana kuwa hatujui kuwa ile siku ya interview ya Lowassa kwenye ITV baada ya kutemwa, ilikatishwa na yeye muungwana na kwamba alishawapa warning walinzi wake na uwt kwa ujumla kuwa hataki kumuona huyo mkulu karibu yake bila sababu maalum, meaning kwamba sasa hivi ni rahisi kwangu mimi na wewe kumuona muungwana kuliko Lowassa kumuona muungwana!
 
JK asipoangalia ataunda tume zaidi ya 20 katika hiki kipindi cha miaka miwili iliyobaki kwani kila sehemu ni ufisadi, hamana haja ya tume kwenye swala kama la kiwira liko wazi sana.

Mkapa ni mvivu wa kufikiri hivi hajui kama watu wanajua kuwa kuna anaben, au tanresources aliyojaza ndugu zake na kujiuzia kiwira?
 
Yeah its the matter of time kwani kitendo cha kuanza kuongea tu kinatosha kuonyesha kuwa sasa anaogopa na ndo maana anatafuta kusameewa na watu wake.
 
Mwache Mkapa atanue misuli yake kwa sasa akidhani Ballali amezikwa na mafaili yake.
Ushahidi wote upo na muda ukifika utatolewa. Hii ni ahadi, wana JF, take it from me.
 
Mwache Mkapa atanue misuli yake kwa sasa akidhani Ballali amezikwa na mafaili yake. Ushahidi wote upo na muda ukifika utatolewa. Hii ni ahadi, wana JF, take it from me.

Mkuu Jasusi,

Heshima mbele mkuu, binafsi ninaichukulia hii kauli yako very serious, na by kesho asubuhi itakuwa imewakuta wakulu wote muhimu,

Ahsante Sana kwa Hili, na ubarikiwe mkuu!
 
Hivi huyu Muganda ana uhusiano na yule Muganda (MR.) aliyekuwa balozi wetu wakati fulani.
 
Last edited by a moderator:
Kanisa nalo kumbe lina colaborate na mafisdi sio?? eh na wananji wanamshangilia?????? kwa lipi? naona ndiyo sababu kaamua kuvunjia ukimya kijijini> Si kama ana ubavu wa kupinga hili jambo na aje maelezo, kisha ajaribu kuzungumza upuuzi huu na aulizwe maswali??
 
This guy BWM has an addiction for ladies called "Anna". Yule Anna wa kwanza alimpora kutoka kwa mshkaji wake wa Makerere, Mramba, akabeba pamoja na mwanae! Halafu kuna yule Anna Rweyemamu, maarufu sana. Na huyu Anna Muganda, hamjahisi chochote? Na wengine wa jina hilo tuwatilie shaka pia? Kama udaku vile, lakini bongo naiogopa siku hizi, likisemwa jambo sipuuzii, wahenga waliposema "lisemwalo lipo" walisikia na kuona mengi kabla ya kufikia conclusion hiyo.

now what does this have to do with any development ? kweli mambo yamepamba moto !
 
JF kwa data kweli siwawezi! Dua you must be talking about Alex Muganda, no?
 
Back
Top Bottom