Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,103
- 43,347
- Thread starter
- #2,181
Mwenye namba yake naomba....!!
He he kuna kazi hapa sasa, tutaamini vipi huyu mama na mafisadi wengine lao sio moja dhidi ya kufuta ushahidi?
Hata hivyo, press conference ita solve nini? Akiendelea kukataa tutafanya nini?
Hili suala la mtu kuiba na kwenda kwao kujiosha kwa kutoa pilau, sadaka misikitini au makanisa na kuwafuraisha watu wa kwao haitatufikisha popote. Na hicho ndicho kinachofanyika sasa.
... Mama Muganda ana very low approval rating and significantly higher negative rating kulinganisha na Ballali. Sidhani kama hata yeye atapona kwenye hili la wizi BoT.
M wa Kike, kama wazungu wanavyo sema "do not hold your breath over it."
Mama Muganda alisha kuwa cleared na Serikali.
Sasa utakaa chini mwenyewe ukiona ni nani ali m clear Mama Muganda!
Kutoka Bungeni. July 1st 2007
THE government yesterday dismissed as "false and fabricated," claims by the opposition camp that the wife of BoT governor Daudi Ballali, Anna Muganda, directed and owned shares in mining companies associated with the Central Bank.
The Minister for Energy and Minerals, Mr Nazir Karamagi, told the National Assembly here after question time, that the allegations in the House by the Deputy Leader of the Opposition, Dr Willbroad Slaa, had no iota of truth and were deliberately aimed at misleading the public...
(Habari Kamili: http://www.afronewz.com/Tanzania/tanzanian_government_opposition.html)
RAIS Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa amekanusha matumizi mabaya ya ofisi yake na kuanzisha biashara akiwa madarakani....... alisema; Msisikilize uongo huo kwa sababu hauna msingi wowote isipokuwa ni chuki hasa inayotokana na watu ambao walifikiri nitawapendelea sikuwapendelea, alisema Mkapa huku akishangiliwa na wanakijiji wenzake waliohudhuria makabidhiano hayo.
Hmm.. wasn't Anna Muganda who introduced Ballali to Mkapa pale DC, jioni moja ya mwaka 1996?
"Sina uwezo wa fedha ingawa najua mnasikia na kusoma mengi …naishi kwa pensheni yangu kutoka serikalini kutokana na kuwa kiongozi kwa miaka 10 ambayo hata Mzee Mwinyi anaishi hivyo maana sisi sote ni wastaafu. Huo (uvumi) ni uongo …uongo ….uongo ….uongo …uongo….uongo….uongo," alisema Mkapa.
Hmm.. wasn't Anna Muganda who introduced Ballali to Mkapa pale DC, jioni moja ya mwaka 1996?
Haya Baba ila hukuwa na haja ya kurudi hili neno "Uongo" mara kibao maana tunaamini ONLY TIME WILL TELL
Time will not tell kama hajashitakiwa. Mahojiano mjini au kijijini hataya saidia lolote. Atarudia tena kusema "uongo" "uongo." Halafu atapotelea hospitali kabla time haija tell!
Tumeiona hii sinema na tunajua inavyo isha.
Wenye vidhibiti wamshitaki. Sasa hivi!
Hatutaki maelezo!
kwi kwi kwi...
yaani hapa imebidi nicheke kwenye hii ya kupotelea hospitalini...
...teh teh teh, kazi ipo!Bubu,
Tume ya Madini imependekeza iundwe Tume ya Madini kuchunguza mgodi ulivyo milikishwa!
Tume ya Madini No.2 itashauri Mkurugenzi wa Mashitaki afanye tathmini kuona kama kuna kesi ya Kujibu!
DPP akimaliza tathmini yake tutahitaji Tume ya Katiba kuangalia, je, Mkapa anaweza kushitakiwa?
At that time, Kikwete yuko ngwe ya pili ya Awamu ya Nne, na Mkapa atakuwa "Mahutihuti" katika hospitali inayolipiwa - lakini isiyo julikana - na Serikali, au mtu yeyote isipokuwa Anna. The other one, sio Anna Muganda.
Ili kum locate Mkapa na hospitali aliko, tutahitaji Tume kuchunguza hili: Hundi za Serikali za kulipa bills za hospitali huwa zimeandikwa nani azikeshi, zimeandikiwa ziende hospitali gani, kama sio ya Prof. Maji Marefu?
Hiyo ndio script ya maonyesho ya Mchiriku wa Kikwete Administration!