Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,907
- 1,080
Team Membe na Nyalandu wanaamini kuwa Wazungu ndo wenye kutoa miongozo sahihi... Team Membe inamtumia Chris Opperman na JACK GOTHAM matapeli n assassins wa kimataifa kuwashauri... hawa wote wanatoa fedha kwa niaba ya Makampuni makubwa ya Gas duniani! Hawataki kusikia wananchi wananufaika kwa Rasilimali zao: Bahati mbaya sana Wajinga wengi hawajui Roles za NGOs kwenye kukwapua Rasilimali zetu: Rushwa ipi aliyohusika nayo Lowassa? Ikawaje USA wakajitokeza hadharani na wote wakafyata? ... Itoshe kusema Lowassa hazuiliki tena... Kama jana Umeona Mziki wake ni vema hao makanjanja wakafungasha virago mapema kurudi kwao maana Lowassa anachukia kuitwa Omba Omba .... Rsilimali zetu zitatufanya tuombwe misaada si kuomba hiyo misaada ya kilaghai ...![]()
Umezaliwa jana nadhani.
Lowasa alikuwa ombaomba mpaka aliomba wathai watusaidie kututengenezea mvua! bogus sana.