Mjerumani amchambua Lowassa, awashangaa Watanzania

Mjerumani amchambua Lowassa, awashangaa Watanzania

Hali halisi we ulikuwa huijui mpaka isemwe na mzungu!!!????

Ni kwa sababu ya watu kama wewe ambao mnajifanya hamuoni wala kusikia kinachoendelea, na kwa mtizamo wako naona hata wizi wa fedha za escrow, EPA and the like you do not give a damn care do you? That being the case let us drop the fucking discussion.
 
Ni kwa sababu ya watu kama wewe ambao mnajifanya hamuoni wala kusikia kinachoendelea, na kwa mtizamo wako naona hata wizi wa fedha za escrow, EPA and the like you do not give a damn care do you? That being the case let us drop the fucking discussion.

Quiting is for the weak minded, shrink-ed will, non-patriotic and dunders . . . . . . with false conscious. . . bout the "f word" next time check yo mama's diary to see who you went to kindergat with. . . . . . . . .

Note; watu kama mimi hawasubiri mzungu aseme ili ndio iwe topic for discussion, watu kama mimi wanajua nini baya na nini zuri from a word go. . . . wanajua nani mzuri na nani hafai kwa rekodi zao sio nani kasema nini juu ya nani. .. .hao ndio watu kama mimi. . . . .:ranger:
 
mtoa mada umenichefua baada ya kusema mlikua mnatujadili na mzungu na ukanichafua zaidi baada ya kusema kua ni mjerumani, nakumbuka hao hao wanatushangaa mababu zake ndio walikaa berlin 1884 katika mkutano wa kutugawa na kututawala, pia huyohuyo mjerumani ndio kizazi cha taifa la akina adolf hitler walio wachoma moto wayahudi milion 6 huko sobibo, umejidhalilisha na kujidharau napia mi nakuona kama mhaini kuongea mambo ya ndani ya nchi yetu na gai jin wa kijeruman.
 
mtoa mada umenichefua baada ya kusema mlikua mnatujadili na mzungu na ukanichafua zaidi baada ya kusema kua ni mjerumani, nakumbuka hao hao wanatushangaa mababu zake ndio walikaa berlin 1884 katika mkutano wa kutugawa na kututawala, pia huyohuyo mjerumani ndio kizazi cha taifa la akina adolf hitler walio wachoma moto wayahudi milion 6 huko sobibo, umejidhalilisha na kujidharau napia mi nakuona kama mhaini kuongea mambo ya ndani ya nchi yetu na gai jin wa kijeruman.

Unamdhalilisha mfalme wa kungfu bure
 
Sasa mbona sijaona uchambuzi zaidi ya umbea?
 
Back
Top Bottom