Mjerumani amchambua Lowassa, awashangaa Watanzania

Mjerumani amchambua Lowassa, awashangaa Watanzania

Ivi nijipendekeze kwako una nini???kula kulala ww na unayesubiri urithi,nina amini me ni mdogo kwako lakin Nishaiona future yangu kwa uwezo wa MUNGU wangu na bidii zangu mwenyewe,nawe utabaki kusubiri urithi wa mzee wako aisee

Nisaslimie Mkeo Huyo Wa Kihaya Uliyemwachisha Chuo UDSM Kwa Kumzalisha Na Sasa Ameshachoka Na Mwanao NDONDOCHA Unayembemenda.
 
Haaaaa izo naweza sema ni siasa na philosophy ww mtu mweusi umekalili aisee na bado utaendelea kukalili,lakini jua mwisho wake unakaribia,Haille alisema "until this philosophy which holds one race supérior and another inférior is finally and permanently descridited and abandoned...until that day every where is war."

Nitafsirie Hicho Kiingereza Chako Cha BRN.
 
Mzungu kasema ukweli watanzania tumelogwa na nani leo hii wamesahau Lowasa alifanya nini?
 
ivi unapata shida na mtu anayejiita uvungu??
huyu hata akili ni ya uvunguni tuuuuu..........
ndio shida ya wafuasi wa CDM wengi kwao matusi ndo jadi yao.

waambie sasa waproove kwa Lowassa ni fisadi utacheka, hakuna anyekupa jibu zaid ya Slaa alisema, eti alifukuzwa uwazir mkuu. Nani aliyemfukuza uwazir Lowassa? Watuambie with facts ufisadi wa Lowassa ulipo, na serikal ituambie kwann hajawajibishw adi leo?

Serikali iliwahi kumwadabisha nani
 
Last edited by a moderator:
Kuna Google traduction inaweza kukusaidia

Kwa Neno Hilo Ulilokosea La " Traduction " Nikikudharau Na Kusema Wewe POPOMA Nitakuwa Ninakosea? Umeshapoteza Sifa Ya Kujibizana Na Mimi Kwani Neno Dogo Tu Hilo La Kiingereza Linakushinda Je Mathematician Gentamycine Utamuweza? Mtafute Ras Simba Akusaidie Ujifunze Vizuri Kiingereza. Pole Sana!
 
Katika hali ya kunishangaza, nilikuwa nabadilishana mawazo na mzungu mmoja raia wa Ujerumani kwenye N.G.O yake. Katamka maneno yaliyonistaajabisha.

Tumeongea mambo mengi lakini baadae tukaanza kuongelea siasa. Akasema kuna yule aliekuwa waziri mkuu anaitwa Lowasa, nimeona sasa mnampenda sana. Mimi nikamjibu inaonekana kuna Watanzania wanampenda awe Rais. Yule Mzungu akaniuliza, si yule aliejiuzuru kwa sababu ya Corruption?, nikamjibu ndie huyo. Akasema, wakati ule alionekana amekula Rushwa, sasa anataka kuwa Rais na watu wanamuunga mkono!, akaongezea kwa kusema how can you easily forget?, how can you easily change your mind?, yaani mnawezaje kuwa wasahaulifu namna hii, mnawezaje kubadili fikra zetu haraka hivi juu yake?, hapo mimi nikabaki na kigugumizi. Akaongeza, au Lowasa amewahi kuwaelezea uhusika wake na hizo corruption?, mimi nikamjibu hapana. Akasema tena, Or was he cleared by the court? yaani, je Mahakama iliona hana hatia?, nikamjibu kesi haijawahi kwenda Mahakamani. Akauliza, then which criteria do you use support him?, yaani mnatumia kigezo gani kumuunga Lowasa mkono? nikamjibu kwakweli sijui wananchi wanatumia kigezo gani.

Yule mzungu akasema, anyway, you are such amazing country, with this style it may take you so many years to change. Yaani ninyi ni nchi ya ajabu, kwa style hii itawachukua miaka mingi kupata mabadiliko.

Je Mjerumani wako angekuambia uvue nguo ungekubali ?
 
Hapa nilipo naongea na mzungu toka Marekani (USA) ananiuliza eti nyie Watanzania mnataka kumchagua Dr........kuwa rais wenu? Nikamjibu wapo wanaotaka awe rais. Akaniuliza huyu si ndiye aliyempora masikini mkewe? Nikamwambia inawezekana kuwa kweli maana mwenye alilalamika,sijui yaliishia vipi? Akaniuliza si aliwahi kuwa mchunga wa dini? Nikamwambia sina hakika. Akaniuliza nini kilimfanya aache huko au alifukuzwa? Nikamwambia sijui kulitokea nini? Akaniambia kwa nini hamuwafatilii watu hawa kwa undani? Kiongozi wa nchi kabla hajateuliwa anatakiwa msafi kitabia,kama mtu anakiuka maadili ya dini yake ni kwa namna gani ataweza kuwa mtiifu kwa nchi yake? Akamalizia kama mko hivyo itawachukua miaka mingi kupata maendeleo kama hamumfuatilii mtu anayetaka kuwa kiongozi
 
Katika hali ya kunishangaza, nilikuwa nabadilishana mawazo na mzungu mmoja raia wa Ujerumani kwenye N.G.O yake. Katamka maneno yaliyonistaajabisha.

Tumeongea mambo mengi lakini baadae tukaanza kuongelea siasa. Akasema kuna yule aliekuwa waziri mkuu anaitwa Lowasa, nimeona sasa mnampenda sana. Mimi nikamjibu inaonekana kuna Watanzania wanampenda awe Rais. Yule Mzungu akaniuliza, si yule aliejiuzuru kwa sababu ya Corruption?, nikamjibu ndie huyo. Akasema, wakati ule alionekana amekula Rushwa, sasa anataka kuwa Rais na watu wanamuunga mkono!, akaongezea kwa kusema how can you easily forget?, how can you easily change your mind?, yaani mnawezaje kuwa wasahaulifu namna hii, mnawezaje kubadili fikra zetu haraka hivi juu yake?, hapo mimi nikabaki na kigugumizi. Akaongeza, au Lowasa amewahi kuwaelezea uhusika wake na hizo corruption?, mimi nikamjibu hapana. Akasema tena, Or was he cleared by the court? yaani, je Mahakama iliona hana hatia?, nikamjibu kesi haijawahi kwenda Mahakamani. Akauliza, then which criteria do you use support him?, yaani mnatumia kigezo gani kumuunga Lowasa mkono? nikamjibu kwakweli sijui wananchi wanatumia kigezo gani.

Yule mzungu akasema, anyway, you are such amazing country, with this style it may take you so many years to change. Yaani ninyi ni nchi ya ajabu, kwa style hii itawachukua miaka mingi kupata mabadiliko.

Na wewe vipi bana unashindwa kumwelekeza mzungu kisa ni employer wako! ungemwambia hapa tz hakuna kashfa ya corruption inayohusisha mtu mmoja! ila mmoja hutolewa kama mbuzi wa kafara ili abebe msalaba! Miwatu inabeba lumbesa ya viroba vya fedha za ukwapuzi tukifuatilia hatutapata msafi hata mmoja hata hivyo si wajerumani wenyewe akina Johannes Rebmann na Ludwig Krapf walituletea maandiko ya injili yanayosomeka hivi katika Mathayo 7:1-2 "Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi. Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa." Unaona ee!? Usikute huko kwao huyo m-NGO amecheza rafu ndio maana kaja kujificha huku porini kwa kichaka cha NGO.
 
Kwa Neno Hilo Ulilokosea La " Traduction " Nikikudharau Na Kusema Wewe POPOMA Nitakuwa Ninakosea? Umeshapoteza Sifa Ya Kujibizana Na Mimi Kwani Neno Dogo Tu Hilo La Kiingereza Linakushinda Je Mathematician Gentamycine Utamuweza? Mtafute Ras Simba Akusaidie Ujifunze Vizuri Kiingereza. Pole Sana!

Haaaa ww mtu wa ajabu sana,ilo ni neno la kifaransa,so kaz angalia katika kiingereza lina maana gani,sio lazima kila mtu haandike english
 
Wenzetu wanatengeneza katiba nzuri mawazo ya wananchi kama ilivyokuwa ya warioba basi, mawazo yote na ndio dira 'mawazo ya wazalendo'. Mkuu hachezi pengine, sasa sisi hatuna hicho. Ndio maana lazima tuwe na rais imara kwani tunakikosa.sasa wekeni 'fisadi' na hakuna katiba ya wazalendo. Kazi kweli.
 
Haaa umekosa cha kuongea

Umeshapunguza Huo UNENE Wa Choo Wako? Ujanja Wote Umekwenda Kuoa Demu Sura Mbaya Kama Huyo? Hilo Siyo Kosa Lako Wapenzi Wengi Wa Arsenal Mna Kilema Cha KUFIKIRI Mlichopewa Na Kocha Wenu Wenger!
 
Oya kaambali mafuriko yapite baki na mzungu wako hao walioko madarakani mbona wasifungue viwanda vya nguo ?
 
Umeshapunguza Huo UNENE Wa Choo Wako? Ujanja Wote Umekwenda Kuoa Demu Sura Mbaya Kama Huyo? Hilo Siyo Kosa Lako Wapenzi Wengi Wa Arsenal Mna Kilema Cha KUFIKIRI Mlichopewa Na Kocha Wenu Wenger!

Dah!!kweli jamii forum ni shida aisee,ww haunijui na hata haujawahi niona aisee lakini izo imaginations zako unazitoa wapi aisee???alafu me ni Chelsea damu
 
Back
Top Bottom