Mjerumani amchambua Lowassa, awashangaa Watanzania

Mjerumani amchambua Lowassa, awashangaa Watanzania

OK kumbe unajielewa kumbuka quote ya kwanza ulivyoniita kajambanani je ilikuwa ni lugha sahihi kwangu? Then ukaja niita boya je nayo ilikuwa lugha sahihi? Matusi Sio lugha nzuri na nichukizo mbele ya Mungu so anza kujiheshim ndio wengine watakuheshimu. Bado lowasa hawezi kuwa msafi na kura yangu hawezi ipata nyie 9 mpeni.

Naona ww hujielewi ndugu yangu,rudia tena comment zangu huisome vizuri,nimekwambia unaweza kunitukana kama utapenda lakin tusiingize mama zetu au baba zetu katika hii mijadala yetu sio vizuri,tuwe na heshima na wazazi wetu na hata kajambanani,boya sio tusi ndugu yangu na Lowasa atapita tu maana tupo wengi tutakao mpigia kura na ndo atakuwa rais mpaka 2025
 
Hiyo inategemea ni asilimia ngapi ya watanzania wanaojitambua

Tunaojuwa utendaji wake na maamuzi yake magumu katika kuendeleza taifa hili tutamchagua na tupo wengi sana tunaojielewa na kujua mchezo mchafu aliochezewa alivyokuwa waziri mkuu kwa makundi machache yasiompenda na yasiyopenda utendaji wake
 
Pinga hoja zake siyo kutokwa povu, ndorobo ni wale waliosahau ufisadi wa Lowasa

Ufisadi gani????Richmond ni watu wengine kabisa walipiga na Lowasa hausiki kabisa,lakini cha kushangaza hao watu hawatajwi
 
Basi nenda ukaolewe naye zumbukuku we eti mzungu phuuuuuu tena mkoloni wa kijerumani ambao hawakutusaidia lolote zaidi ya kutuibia mali zetu

Maneno ya Mzungu yamekuchoma siyo? wewe ni moja ya Ndorobo wa Lowasa?
 
Yasamaki
Haaaaaaaaaa kila mtu ana haki ya kumshobokea mtu anayempenda,sasa kama ww unaona tyson ndo wakumshobokea sawa na kheri yako,sema sisi tunampenda lowasa angalau mnamwita fisadi but we dont care haaaa,tumemchagua yeye na ndo atakuwa rais anayefuata mtake msitake
 
Last edited by a moderator:
Basi nenda ukaolewe naye zumbukuku we eti mzungu phuuuuuu tena mkoloni wa kijerumani ambao hawakutusaidia lolote zaidi ya kutuibia mali zetu

Wewe nitukane lakini umeshindwa kutengua hoja za huyo Mzungu. Umeguswa pabaya, bt meseji sent
 
Basi nenda ukaolewe naye zumbukuku we eti mzungu phuuuuuu tena mkoloni wa kijerumani ambao hawakutusaidia lolote zaidi ya kutuibia mali zetu

Tuwe na heshima jaman,Ivi kama mjeruman asingekuwa Mkoloni reli ya kati ingekuwepo!!?????ivi ww unajua historia kweli????kuna vitu vingi tu mjeruman amaeifanyia hii nchii aisee
 
Kipofu akikubali kuona,ile nia yatosha.sasa watanzania wenzangu mm vipofu corrupted person ndio anafaa. Mtu mwenye akili timam naturale 'Hawezi kumuunga mkono lowasa atamwambia go home'
 
Ungemwambia maajabu mengine ya ccm kuwasafisha akina chenge wale wezi wa mabilioni na Raisi wa Tanzania kuuza unga
 
Mtoa mada eti anasema ana elmu ya chuo kikuu! halafu hajui kutofautisha kati ya mjeruman na mzungu,elimu....mzungu ni mtu hasa kutoka uingereza na maracphache u.s.a.kesho utakuja na hoja ya mchina kisa mweupe naye utamwita mzungu!

Mzungu ni mtu aliyetoka (Europe), Ujerumani ni moja katika nchi za Europe.
 
Hao marafiki wanaotoa mabilioni mjue tu pesa zao zitarud na faida ya asilimia 100
 
Tukio hili linanikumbusha kisa cha mwanake aliyetuhumiwa kuwa mzinzi katika biblia... Yule mwanamke alipopelekwa mbele ya Bwana Yesu wale jamaa wakiwa na mawe mkononi wakasema bwana mkubwa Musa aliagiza watu kama hawa wapigwe mawe, wewe una maoni gani?

Bwana mkubwa akawajibu asiye na doa awe wa kwanza kurusha jiwe. Mwandishi anaelezea kuwa jamaa walianza kudondosha mawe kuanzia wadogo mpaka wakubwa na kuondoka...

Nikiangalia katika hao waliojitokeza na watakao jitokeza ambao kuna fununu kuwa wana mpango wa kujitokeza sijaona ambaye hana dosari hasa ikizingatiwa kuwa wote ni binadamu, hakuna Malaika kati yao.

Mtazamo wangu huko namna hii; kama yupo kiongozi anayeweza kusababisha au kutoa mchango uchumi wa nchi yetu kukua katika kiwango ambacho huduma za msingi kama elimu, afya, makaazi na lishe zikapatikana kiasi cha kutosha huyo kiongozi atakua anatufaa bila kujari anatokea kutoka katika chama gani cha kisiasa.

katika suala la kumpata kiongozi wa namna hiyo tusimtafute kama vile tunacheza kamali maana mwisho wa siku ni majuto. Na vitu kama ushabiki na upenzi vinapaswa kuwekwa pembeni kama siyo mbali. Na hisia kama huruma ndiyo viwekwe mbali kabisaaaa.

Mimi nina imani kiongozi wa namna hiyo yupo ila anaweza hasijitokeze kwa sababu ya kuona uzito wa jukumu lenyewe la nafasi ya urais. Aina ya kiongozi huyo sisi ndio tunatakiwa tumfuate na kumsihii awe kiongozi wetu kwa sababu tuna imani kuwa yeye anaona sisi wengine kama siyo tuna chongo basi ni vipofu kabisaaa.

Ninasistiza tena hapo inatupasa kumchagua kiongozi anayeona. Tukimchagua kiongozi kipofu atatupeleka shimoni bila shaka.

Tuchague kiongozi anayethamani utu wa watu. Tusichague kiongozi anayependa sana mali kuliko watu. Tuchague kiongozi ambaye anatambua kuwa hapa duniani siyo makaazi yake ya kudumu anafanya kupita hivyo anaona haina haja ya kujilimbikizia mali binafsi sana kama walivyokuwa akina Mobutu Seseko kuku Wazabanga....

Kiongozi ambaye yupo tayari kupika majungu na fitina ila awe kiongozi huyo hatatufaa. Kwani ni lazima uwe rais? Hakuna kazi nyingine za kufanya?

Kiongozi anayetaka kazi ya urasi aje na mipango yake ya sasa, kesho na kesho kutwa. Tuiingalia sasa, kesho na kesho kutwa tunaiona ikibadirika sasa. Mipango ambayo akituelezea tushawishike kuwa inatekelezeka. Ntarudi tena baadaye....


 
Tunazungumzia maisha ya watanzania unakuja tuletea habari za wazungu??who is Mzungu?

Nyie ndio aina ya viumbe wa ajabu duniani na kuzimu, akili na ubongo wako umeshikwa kwenye kiganja duuuu hii ni zaidi ya hatari
 
Tukio hili linanikumbusha kisa cha mwanake aliyetuhumiwa kuwa mzinzi katika biblia... Yule mwanamke alipopelekwa mbele ya Bwana Yesu wale jamaa wakiwa na mawe mkononi wakasema bwana mkubwa Musa aliagiza watu kama hawa wapigwe mawe, wewe una maoni gani?

Bwana mkubwa akawajibu asiye na doa awe wa kwanza kurusha jiwe. Mwandishi anaelezea kuwa jamaa walianza kudondosha mawe kuanzia wadogo mpaka wakubwa na kuondoka...

Nikiangalia katika hao waliojitokeza na watakao jitokeza ambao kuna fununu kuwa wana mpango wa kujitokeza sijaona ambaye hana dosari hasa ikizingatiwa kuwa wote ni binadamu, hakuna Malaika kati yao.

Mtazamo wangu huko namna hii; kama yupo kiongozi anayeweza kusababisha au kutoa mchango uchumi wa nchi yetu kukua katika kiwango ambacho huduma za msingi kama elimu, afya, makaazi na lishe zikapatikana kiasi cha kutosha huyo kiongozi atakua anatufaa bila kujari anatokea kutoka katika chama gani cha kisiasa.

katika suala la kumpata kiongozi wa namna hiyo tusimtafute kama vile tunacheza kamali maana mwisho wa siku ni majuto. Na vitu kama ushabiki na upenzi vinapaswa kuwekwa pembeni kama siyo mbali. Na hisia kama huruma ndiyo viwekwe mbali kabisaaaa.

Mimi nina imani kiongozi wa namna hiyo yupo ila anaweza hasijitokeze kwa sababu ya kuona uzito wa jukumu lenyewe la nafasi ya urais. Aina ya kiongozi huyo sisi ndio tunatakiwa tumfuate na kumsihii awe kiongozi wetu kwa sababu tuna imani kuwa yeye anaona sisi wengine kama siyo tuna chongo basi ni vipofu kabisaaa.

Ninasistiza tena hapo inatupasa kumchagua kiongozi anayeona. Tukimchagua kiongozi kipofu atatupeleka shimoni bila shaka.

Tuchague kiongozi anayethamani utu wa watu. Tusichague kiongozi anayependa sana mali kuliko watu. Tuchague kiongozi ambaye anatambua kuwa hapa duniani siyo makaazi yake ya kudumu anafanya kupita hivyo anaona haina haja ya kujilimbikizia mali binafsi sana kama walivyokuwa akina Mobutu Seseko kuku Wazabanga....

Kiongozi ambaye yupo tayari kupika majungu na fitina ila awe kiongozi huyo hatatufaa. Kwani ni lazima uwe rais? Hakuna kazi nyingine za kufanya?

Kiongozi anayetaka kazi ya urasi aje na mipango yake ya sasa, kesho na kesho kutwa. Tuiingalia sasa, kesho na kesho kutwa tunaiona ikibadirika sasa. Mipango ambayo akituelezea tushawishike kuwa inatekelezeka. Ntarudi tena baadaye....



Nadhani yote uliyoelezea watu wengi wanayajua ila sasa fedha, ubinafsi na ushabiki ndio unawapoteza. Watu wapo tayari kuingiza milioni moja ili kumtetea fisadi kama Lowassa.
 
.........Kwani hujamuambia huyo Mzungu wako kuwa Lowassa anaungwa mkono na CCM wenzie sio Watanzania kwa ujumla. Japokuwa EL anaonekana mwizi ila CCM wanamuona afadhali kuliko matatizo waliyonayo waliobakia wanaotamani uraisi.
 
Back
Top Bottom