Mjerumani amchambua Lowassa, awashangaa Watanzania

Mjerumani amchambua Lowassa, awashangaa Watanzania

Ina maana watanzania tumekuwa mambumbu kiasi cha kushindwa hata kumtambua mtu tunayempigia debe kutuongoza kuwa ni mtu wa aina gani mpaka tupate msaada wa ma Tx kutoka nje ndio watujulishe kuwa mtu tunae mpigia debe hafai kutuongoza?.
 
Na wewe unataka kuturudisha enzi ya ujima. Yaani mzungu ni mungu?
 
Kapita wapi? Uchaguzi tayari? Sawa Mimi kajamba nani hongera wewe Tajiri kwa kulipwa Pesa na fisadi lakini ukweli ndani ya moto wako unajua hakika nakuambia ujira unaolipwa na huyo fisadi hautabadilisha maisha yako kama hautajituma ktk kazi wewe sio familia ya lowasa wala huna hisa nae watakao faidi ni watoto wake we mbwa koko utabaki kubweka tu kipindi hiki baada ya muda mfupi utaendelea kula jalalani wakati wenzio kina Freddy lowasa wakila ikulu.jinga kubwaaaaa weeeee mwana hizaya unayelewa visenti vya hongo

Ww upo wapi boya ww??tulia tu alafu utaona ndo utaamini aisee,time will tell ndugu yangu
 
Ripoti ya Mwakyembe ilisomwa bungeni. Mpaka haijapingwa na huyo aliekuwa PM taratibu anazijuwa. Mbona alikuwa kimya. Au aliwapa nyie ushahidi gani
 
Nimesoma semantics, mantiki ya jambo hubadilika kulingana na msisitizo wa mtamkaji. Kwa mfano nikiandika " JUMA AMENIIBIA SHILINGI MILIONI MOJA", msisitizo wangu unakuwa kwa Juma kwa sababu ndio nimeanza kumtaja hapo. Lakini nikisema " SHILINGI YANGU MILIONI MOJA, IMEIBWA NA JUMA " msisitizo wangu unakwenda kwenye shilingi mia moja. Umesema " Mjerumami ' amchambua Lowassa. Hapo ndio unapo niacha hoi. Haukuwa na ulazima wa kumtaja mjerumani hapo. Ungeweza kusema ' Mtaalamu wa masuala ya siasa na uongozi kutoka nje ya nchi " or something, bado ungeeleweka

Mkuu, kwa watu waliosoma maswala ya habari wameelewa heading yangu. Lazima uwe na kidokezo kitakachovutia watu kujua kuna nini. Pia huyo jamaa si mtaalam wa siasa, yeye ana shughuli zake tu
 
Sawa, mimi ni mtoa habari tu, huyu Mzungu anaishi hapa tangu miaka ya 1998, anajua matukio mengi ya nchi hii, mimi nimeongea nae mambo ya kazi, lakini tukaongelea na siasa. Sijui wanataka mimi niseme nini?

ndiye anayekufadhili kwenye NGO yako? mwambie watanzania wanamtaka lowasa
 
Kaka UNAJIPENDEKEZA Kweli Kwangu Kama Vipi Nipe Basi NYABE Hiyo Nicheze Nayo ILI Ufurahi Zaidi Kuwa Nami. Sema Tu Usione Soo!

Ivi nijipendekeze kwako una nini???kula kulala ww na unayesubiri urithi,nina amini me ni mdogo kwako lakin Nishaiona future yangu kwa uwezo wa MUNGU wangu na bidii zangu mwenyewe,nawe utabaki kusubiri urithi wa mzee wako aisee
 
Ripoti ya Mwakyembe ilisomwa bungeni. Mpaka haijapingwa na huyo aliekuwa PM taratibu anazijuwa. Mbona alikuwa kimya. Au aliwapa nyie ushahidi gani

taratibu zikoje???? mbona mwakyembe hakumuhoji lowasa??? mwakyembe anaandamwa na laana hii ya kutomuhoji lowasa,na itamwandama mpaka vizazi na vizazi,haki ya mtu haipotei,hucheleweshwa tu,watanzania walimpa kodi zao afanye utafiti lakini akaacha kumuhoji anayemtuhumu
 
Nionyeshe Ktk Kitabu Chochote Cha Dini Unachokijua Wewe Kama Kuna Picha Ya MWAFRIKA. Sisi Ni Wa Maporini Tu Utake Usitake Na Tena Wewe Ndiyo Unaonena MPORI PORI Haswa!

Pia hakuna kitabu chochote Chenye picha ya Mzungu. Mitume wote wanatokea Middle east, wengi ni Wayahudi. Hata Ulaya wameipokea dini kama ulivyoipokea wewe Muafrica, tofauti ni kwamba wao walikuwa wa kwanza
 
Ww upo wapi boya ww??tulia tu alafu utaona ndo utaamini aisee,time will tell ndugu yangu

Nipo kwa mama yako mbwa wewe then siwezi kuwa ndugu yako kwa maneno yako machafu zaidi naweza kuwa baba yako tu kama unabisha muulize mama yako. Usijitie upofu kwa kupokea hivyo vihongo ili mje kumpamba MTU ambaye hadi mtoto mdogo anajua kuwa lowasa alishindwa uwaziri Mkuu kwa tuhuma za rushwa hivyo ananuka rushwa sawa yawezekana akashinda sitashangaa kwa nchi yetu kama wapiga kura ndio watu Wa type yako lakini Mimi kamwe siwezi kuwa sehemu ya kura zitakazompeleka ikulu na wala siendekez njaaa kama wewe sawa kijana Wangu.
 
Lowasa ananuka rushwaaaaaaaaaaa hadi hapo atakaposema mchongo wa richmond ulikuwa wa nani vinginevyooo yeye ndie fisadi na hafai kabisaa kuudogelea mlango wa ikulu
 
Ninacho jua watanzania wengi wamekula kafara la Lowasa ndiyo maana pamoja na madudu aliyofanyia nchi na watanzania kwa ujumla lakini bado mijitu sijui niseme akili zimewaisha au ni upuuzi wa kuzaliwa nao eti linasimama na kumsifu mtu kama lowasa nafikiri Tanzania ina watu wengi sana lakini wengi wao ni mataahira na malimbukeni!
Sasa mnashaangaa nini mzungu kuona ujianga wenu Bado hayashtuki yanaanza kuleta lugha chafu eti mzungu ni Nani we hujui mzungu ni Nani maswali ya utaahira tu?
 
Duh!hapo umeuwa bendi!iweje kila kitu tunachotumia kimetoka kwa Wazungu halafu leo tunajipiga kifua tukijifanya tunajithamini kisa tumeambiwa kile tusichotaka kukisikia?Kama tunatumia nguo zao, viatu vyao,tv zao,simu zao,kompyuta zao basi na ushauri tuuchukue tu,there is no need to feel inferior.

Sawa kabisa, kila kitu unachukua kwao, iweje maoni yake usiyaamini? hayo mambo ya kujifanya eti mimi siamini mzungu lakini wakati huo huo unatumia kila kitu chake ni uenda wazimu.
 
Nionyeshe Ktk Kitabu Chochote Cha Dini Unachokijua Wewe Kama Kuna Picha Ya MWAFRIKA. Sisi Ni Wa Maporini Tu Utake Usitake Na Tena Wewe Ndiyo Unaonena MPORI PORI Haswa!

Haaaaa izo naweza sema ni siasa na philosophy ww mtu mweusi umekalili aisee na bado utaendelea kukalili,lakini jua mwisho wake unakaribia,Haille alisema "until this philosophy which holds one race supérior and another inférior is finally and permanently descridited and abandoned...until that day every where is war."
 
huyo mzungu muulize kama walishafidia tanganyika kwa wizi,ukatili,ubakaji,ujangili waliotufanyia,bado unaabudu wazungu?? hopeless

Kwa hiyo ndiyo mumpendekeze MTU atakaeendeleza hayo yote wazungu walifanya naona umechoka kubakwa na wazungu saivi unataka ubakwe na watanzania wenzako hongera Kwa uzalendo huo
 
Back
Top Bottom