Mjerumani amchambua Lowassa, awashangaa Watanzania

Mjerumani amchambua Lowassa, awashangaa Watanzania

ana hoja za msingi haijalishi nani kaongea, awe mzungu au mnyamwezi!
 
Doesn't matter nani kaongea, ila ukweli ni kwamba sisi watz tu wasahaulifu sana. Mimi mwenyewe huwa najiuliza sana hayo maswali ila naamua ku-give time. Ukitokea ufisadi watu huzungumza sana ila it take a week watu kusahau kila kitu. Kifupi tz tunaishi kwa matukio. Mungu atusaidie
Tatizo ni kuwa tumeruhusu mfumo kuwaona wezi na mafisadi kuwa mashujaa...kwahiyo hawahitaji kusafishwa na mahakama au yeyote kuonekana wasafi. Ndiyo maana ccm watakuwa na taabu sana kutumia kigezo cha rushwa na ufisadi kumzuia mgombea...ni sawa na kuhukumu kesi ya need ere wakati wewe ni nyani.
 
Ripoti ya Mwakyembe ilisomwa bungeni. Mpaka haijapingwa na huyo aliekuwa PM taratibu anazijuwa. Mbona alikuwa kimya. Au aliwapa nyie ushahidi gani

shangaa sasa na huu upuuzi inabidi wabunge wa wananchi waukemee nafasi alipewa ya kujitetea kaishia kusema kama tatizo uwaziri mkuu najiuzulu
 
Wakati tunaelekea kuwakumbuka mashujaa wetu waliopambana na ukoloni,
leo tunaanza kuwasikiliza na kuwashabikia waliotutesea ndugu zetu.

Haiwezekani kila kitu tupangiwe na wazungu eti kwa sababu wana
tupatia misaada na mikopo,hii si sawa hata kidogo.

Ninavyomfahamu mh. El hiyo inaitwa misaada na mikopo itakuwa
historia nyingine anayokwenda kuifuta kabisa.

Ni ujinga kumshabikia mzungu anayechukua rasilimali zenu na
kuwaachia mashimo labour input yote anaipeleka kwake eti
kwa kisingizio cha hali nzuri ya maisha ulaya.

Ni ujinga mtu mmoja kumshabikia mzungu na wengine kumsifu
bila hata ya kumuuliza japo sauti au picha tu ili tuthibitishe
alachoandika.
 
Nipo kwa mama yako mbwa wewe then siwezi kuwa ndugu yako kwa maneno yako machafu zaidi naweza kuwa baba yako tu kama unabisha muulize mama yako. Usijitie upofu kwa kupokea hivyo vihongo ili mje kumpamba MTU ambaye hadi mtoto mdogo anajua kuwa lowasa alishindwa uwaziri Mkuu kwa tuhuma za rushwa hivyo ananuka rushwa sawa yawezekana akashinda sitashangaa kwa nchi yetu kama wapiga kura ndio watu Wa type yako lakini Mimi kamwe siwezi kuwa sehemu ya kura zitakazompeleka ikulu na wala siendekez njaaa kama wewe sawa kijana Wangu.

Matusi ya nini sasa!!???mbona unakuwa sio Mstaarabu ???hapa ni mjadala kila mtu anatoa fikra zake na fikra zangu haziwezi kuwa sawa na zako na zako pia haziwezi kuwa sawa na zangu,so heshima ni kitu cha bure aisee,alafu ni bora unitukane me,kwanini unamuingiza mama yangu katika huu mjadala ???mama yangu hawezi kukuzaa ???na akawa mama yako pia???ivi utaona raha kama mtu akimtukana mtu aliyekuwa na ww zaidi ya miezi 9 akiteseka nawe mpaka ulivyoiina hii dunia???so nakuomba tuwe na heshima na mama zetu maana mama yangu naweza kuwa mama yako na mama yako pia anaweza kuwa mama yangu,
 
huyo mzungu amesikia kauli ya mh EL KUWA HATARUHUSU MALI ZIPOLWE NA WAGENI ndio kaanza kutapatapa halafu usifikiri wazungu wote wana akili! kwanza huyo atakuwa mwizi anajifanya ana NGO
 
Kama Ni uongo kwanini asiwashtaki kina Dr Slaa na wengine waliomchafua kama alivyoahidi?

ivi sasa kama ni kweli kwann achuliwi hatua?
huyo padri wenu asifikiri kila anachokisema yeye ni torati ya Musa mwambie atulie na mke wa mtu huyo urais sio nyumba useme ukiwa na mji wako baasi.
hii ni sekta tofauti kabisaaa....................
 
Watz tunanjaa mno, tunadiriki kuhongwa 20,000/- na chakula kwa ajili ya kumuunga mkono fisadi kwa pesa zetu alizotuibia, kweli?
 
bahati mbaya una kura moja,sauti ya wengi ni sauti ya mungu,kuna watu tuko wengi na tuna kura nyingi,tutampigia,achana na drama za wana siasa,jiunge na sauti ya mungu

kwa kuwa umejiunga mwezi mei, nina imani uko hapa kuchumia tumbo lako. kumbuka hizo posho mnazopewa zina ukomo wake, baada ya hapo mnarudi tena kupiga makelele hapa dawa hakuna mahospitali, maisha magumu n.k,kama hujionei aibu wewe, onea aibu kizazi chako majununi wewe.
 
Kuna mijitu ikisikia mzungu kasema basi yako tayari kuoana yenyewe kwa yenyewe!
 
kwa kuwa umejiunga mwezi mei, nina imani uko hapa kuchumia tumbo lako. kumbuka hizo posho mnazopewa zina ukomo wake, baada ya hapo mnarudi tena kupiga makelele hapa dawa hakuna mahospitali, maisha magumu n.k,kama hujionei aibu wewe, onea aibu kizazi chako majununi wewe.

Watazilipa akiingia madarakani, wala msije lalamika
 
Lowasa ananuka rushwaaaaaaaaaaa hadi hapo atakaposema mchongo wa richmond ulikuwa wa nani vinginevyooo yeye ndie fisadi na hafai kabisaa kuudogelea mlango wa ikulu

Utake Usitake but jua lowasa ndo chaguo la wengi aisee,
 
Matusi ya nini sasa!!???mbona unakuwa sio Mstaarabu ???hapa ni mjadala kila mtu anatoa fikra zake na fikra zangu haziwezi kuwa sawa na zako na zako pia haziwezi kuwa sawa na zangu,so heshima ni kitu cha bure aisee,alafu ni bora unitukane me,kwanini unamuingiza mama yangu katika huu mjadala ???mama yangu hawezi kukuzaa ???na akawa mama yako pia???ivi utaona raha kama mtu akimtukana mtu aliyekuwa na ww zaidi ya miezi 9 akiteseka nawe mpaka ulivyoiina hii dunia???so nakuomba tuwe na heshima na mama zetu maana mama yangu naweza kuwa mama yako na mama yako pia anaweza kuwa mama yangu,

ivi unapata shida na mtu anayejiita uvungu??
huyu hata akili ni ya uvunguni tuuuuu..........
ndio shida ya wafuasi wa CDM wengi kwao matusi ndo jadi yao.

waambie sasa waproove kwa Lowassa ni fisadi utacheka, hakuna anyekupa jibu zaid ya Slaa alisema, eti alifukuzwa uwazir mkuu. Nani aliyemfukuza uwazir Lowassa? Watuambie with facts ufisadi wa Lowassa ulipo, na serikal ituambie kwann hajawajibishw adi leo?
 
Last edited by a moderator:
Matusi ya nini sasa!!???mbona unakuwa sio Mstaarabu ???hapa ni mjadala kila mtu anatoa fikra zake na fikra zangu haziwezi kuwa sawa na zako na zako pia haziwezi kuwa sawa na zangu,so heshima ni kitu cha bure aisee,alafu ni bora unitukane me,kwanini unamuingiza mama yangu katika huu mjadala ???mama yangu hawezi kukuzaa ???na akawa mama yako pia???ivi utaona raha kama mtu akimtukana mtu aliyekuwa na ww zaidi ya miezi 9 akiteseka nawe mpaka ulivyoiina hii dunia???so nakuomba tuwe na heshima na mama zetu maana mama yangu naweza kuwa mama yako na mama yako pia anaweza kuwa mama yangu,

OK kumbe unajielewa kumbuka quote ya kwanza ulivyoniita kajambanani je ilikuwa ni lugha sahihi kwangu? Then ukaja niita boya je nayo ilikuwa lugha sahihi? Matusi Sio lugha nzuri na nichukizo mbele ya Mungu so anza kujiheshim ndio wengine watakuheshimu. Bado lowasa hawezi kuwa msafi na kura yangu hawezi ipata nyie 9 mpeni.
 
Team Membe na Nyalandu wanaamini kuwa Wazungu ndo wenye kutoa miongozo sahihi... Team Membe inamtumia Chris Opperman na JACK GOTHAM matapeli n assassins wa kimataifa kuwashauri... hawa wote wanatoa fedha kwa niaba ya Makampuni makubwa ya Gas duniani! Hawataki kusikia wananchi wananufaika kwa Rasilimali zao: Bahati mbaya sana Wajinga wengi hawajui Roles za NGOs kwenye kukwapua Rasilimali zetu: Rushwa ipi aliyohusika nayo Lowassa? Ikawaje USA wakajitokeza hadharani na wote wakafyata? ... Itoshe kusema Lowassa hazuiliki tena... Kama jana Umeona Mziki wake ni vema hao makanjanja wakafungasha virago mapema kurudi kwao maana Lowassa anachukia kuitwa Omba Omba .... Rsilimali zetu zitatufanya tuombwe misaada si kuomba hiyo misaada ya kilaghai ...
Angalia Manzombi, njaa bhana.
 
Binafsi najisikia aibu sana kwa kuona Wa-Tanzania wenzangu wanavyomshobokea Lowasa jamani tumerogwa na nani? tunamatatizo gani ? kwani hakuna watu wengine ? kashfa ni kashfa tu uwepo usiwepo , bora uliwajibika yatosha tusonge mbele , hivi tunarudiji nyuma ?? mara mia mngemshobokea Tyson ningewaelewa sio Lowassa
 
ivi unapata shida na mtu anayejiita uvungu??
huyu hata akili ni ya uvunguni tuuuuu..........
ndio shida ya wafuasi wa CDM wengi kwao matusi ndo jadi yao.

waambie sasa waproove kwa Lowassa ni fisadi utacheka, hakuna anyekupa jibu zaid ya Slaa alisema, eti alifukuzwa uwazir mkuu. Nani aliyemfukuza uwazir Lowassa? Watuambie with facts ufisadi wa Lowassa ulipo, na serikal ituambie kwann hajawajibishw adi leo?

Asanteeee sana ndugu,hawana jipya zaidi ya chuki na hawana ushahidi wowote,inasemekana chuki zilianza pale alivyochaguliwa kuwa waziri mkuu maana kuna kundi lilimpendekeza mtu kuwa waziri mkuu,sasa Kikwete akakataa aisee,ilo ndo lilikuwa tatizo na ndo mana wakamtafutia kashfa
 
Last edited by a moderator:
LOWASSA mpigaji tangu enzi za Nyerere. Hata Richmond ana kifua cha kusema sio yeye maana anajua kuna mikono ya wakubwa. Hakuna mtu wa kumsema mwenzie ndani ya CCM, yote yananuka Rushwa. Ila watu wakishaahidiwa vitu, wanaweza kusaliti familia zao. Sishangai wanaomsapoti maana kuna wazazi wanawaua watoto wao ili wapate wali, sembuse kumsapoti Lowassa ukapata shavu. Ila CCM hawampitishi, na wakimpitisha ndo utakuwa mteremko kwa wapinzani.
 
Back
Top Bottom