Ujengelele
JF-Expert Member
- Jan 14, 2008
- 1,253
- 22
Kwani kalazimishwa kuingia huku? akiandika pumba zake za kumsagia mkombozi wa Watanzania lazima apewe kibano kinachostahili vinginevyo aache kuandika pumba kuhusu CHADEMA na Dr Slaa.
Siyo "Dog" ndio maana anabweka bweka hapa?Magid tangu ameanza kula panya mikono yake imekua ikiandika utumbo mtupu.
Kwa upande fulani lazima nisema kuwa Mjengwa anaandika mambo mengine mazito sana ila tatizo anaweka mengine mengi yenye utani mkubwa sana. Kuna baadhi wameelewa na wengine bado hawajaelewa.
Hamuwezi amini kuwa katika jumbe zake hizi mbili, kuna kitu alikiandika na nimeona kweli kabisa kuwa Dr. Slaa kakifanyia kazi na harudii makosa hayo. Kosa hilo ni lile alilifanya Kyela kwa kumpa MWAKYEMBE ushindi wa moja kwa moja.
Kila mtu anafahamu kuwa Mwakyembe atashinda Kyela na wameahidi kuwa watamchagua yeye kama Rais. Ila je, CCM maadamu watakuwa wamebaki peke yao, hawatachakachua Matokeo? Si watakuwa peke yao vituoni?
Alipofika Kigoma kama mlisoma na kuona, hakumpa Kafulila ushindi wa moja kwa moja. Kampa kijana moyo kuwa agombee hata mara 10 asikate tamaa. Matokeo yake ni kuwa kijana atasaidia kulinda kura za dr. Slaa huko jimboni kwake. Kyela sasa hivi kijana kasharudi kabisa Mbeya na kampeni kwishieni. Hakuna tena mtu wa kusema Dr. SLAA.
Hili alilisema MJENGWA kwenye makala zake ila nafikiri wachache tu waliliona. Mtakuwa mnafanya MAKOSA kumsoma Maggid kwa juu juu tu bila kuelewa nini hasa anaeleza. Anaweza kuwa anaandika kwa undani zaidi kiasi kwamba gret Sinkers wakawa hawaoni ndani. Wanaona tu kile wanataka wao kuona na si kile yeye anataka watu waone. Tatizo wataona wachache sana na wengine kubaki wanatukana.
Mjengwa, endelea na makala zako kwani ujumbe wako unafika vizuri tu na Chadema / Slaa wataufanyia kazi. Wengi wataona kuwa UNASHAMBULIA ila wengine wataona kwa ndani na kuelewa nini unataka kuwaambia WAJIREKEBISHE. Keep it real mtani wangu.
waungwana salamu sanaaa sana,mi niko nje ya topic,huyo jamaa mwenye kanzu huko nyuma ya mjengwa naona yuko bize anajishughulisha??mi siwaamini hawa wavaa kanzu:A S 13:.
Ukimtizama huyu jamaa vizuri na ukasoma maandishi yake huna sababu ya kuangaika kubishana nae...
waungwana salamu sanaaa sana,mi niko nje ya topic,huyo jamaa mwenye kanzu huko nyuma ya mjengwa naona yuko bize anajishughulisha??mi siwaamini hawa wavaa kanzu:A S 13:.
waungwana salamu sanaaa sana,mi niko nje ya topic,huyo jamaa mwenye kanzu huko nyuma ya mjengwa naona yuko bize anajishughulisha??mi siwaamini hawa wavaa kanzu:A S 13:.
Magid tangu ameanza kula panya mikono yake imekua ikiandika utumbo mtupu.
waungwana salamu sanaaa sana,mi niko nje ya topic,huyo jamaa mwenye kanzu huko nyuma ya mjengwa naona yuko bize anajishughulisha??mi siwaamini hawa wavaa kanzu:A S 13:.
Nina uhakika Mjengwa alipost hivyo kuwadhiaki wahehe. Ila kama uko serious tafuta msaada mapema kabla haijawa too late.