Mjengwa atishia kujidhuru sababu ya JF

Mjengwa atishia kujidhuru sababu ya JF

Status
Not open for further replies.

Pdidy

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,678
Reaction score
37,863
11 October 2010

' Mwenyekiti' wenu naandamwa na maneno kule Jamii Forums ( JF). Nimeishi Iringa na Wahehe kwa miaka sita sasa. Mkisikia nimechukua kamba na kujinyonga, basi, ni JF!

Yafuatayo ndio yanayoandikwa kuhusu mimi, nimewajibu pia:

Quote Originally Posted by Kichuguu:

Nadhani hii ni dhana potofu sana kutolewa na Mjengwa, huenda ni kwa vile amekulia ndani ya CCM huku kaka yake, Colonel Mjengwa, akiwa DC wa muda mrefu sana chini ya CCM. Sidhani kama kweli Tanzania tunahitaji misitu ya marais, tunahitaji rais mmoja tu. Kumkataa mtu mwenye uwezo eti kwa vile chama chake hakina miti mingine ni makosa sana kwa vile rais huyo ana mamlaka ya kuunda serikali yake akichukua wasaidizi wake kutoka sehemu yoyote ya nchi ambao ni pamoja na wanachama na wasiokuwa wanachama wa chama chake. Kwa mfano sishangani kuona kuwa Slaa akimfanya Mwakyembe kuwa waziri wa sheria na mambo ya Katiba"

Majibu yangu:

Kichuguu,

Unachoandika si sahihi. Sitamzungumzia Colonel Mjengwa. Sijakulia kwenye CCM, bali nimekulia kwenye siasa. Na wengine wanadhani tukiandika haya tunafikiria vyeo. Asubuhi hii nimetoka kumjibu mwenzetu huyu;

Quote Originally Posted by Sir R:

JK akishinda Mjengwa utakuwa DC

Majibu yangu;

Hata nikipewa dhamana ya U-RC nitasema; " Mheshimiwa, Asante sana, lakini HAPANA kwa sasa". Ndio, nina mke, na watoto wanaonihitaji zaidi katika makuzi yao. Kibarua ninachokifanya sasa na kipato changu, japo kidogo, kinaniwezesha kujikimu. Mimi ni mjamaa, na kamwe sijawahi kuupenda ubepari. Tatizo letu Watanzania ni hulka yetu ya kuangalia ' vyeo' na vyote vyenye kuambatana na vyeo hivyo, kama vile gari la fahari, safari za ndani na nje na posho. Badala ya kuangalia zaidi dhamana inayoendana na vyeo hivyo.

Ni ujinga pia, kudhani kila mtu anayefikiri tofauti , basi, ni fisadi au kanunuliwa na mafisadi.

CHANZO: Mjengwa Blog



mjengwa_cow.jpg
 
Kama anakwazwa na jf, basi asipost wa kusoma... Matatizo mengine ni ya kujitakia... Btw, siamini mtu unaweza kujiuza kwa tofauti za kiitikadi
 
kachoka maisha kimpango wake huyu, ana matatizo yake binafc huyu...maisha matamu bwana kufikia uamuzi huo sio mchezo.
 
Kama anakwazwa na jf, basi asipost wa kusoma... Matatizo mengine ni ya kujitakia... Btw, siamini mtu unaweza kujiuza kwa tofauti za kiitikadi

halafu kujiua coz ya vivuli, me hapa cmjui Acid, hata tukilumbana humu naayachia humu humu mana nalumbana na kivuli, vingenevyo labda anawajua aliokuwa anapishana nao maneno.
 
Ovyo kabisa, kama yupo serious aseme tumpelekee zana zitakazomsaidia kwa haraka zaidi...
Hiyo kamba hadi afikie lengo lake ni saa ngapi :mad2::mad2:
What is he still doing in JF anyways??? :mad2:
 
mm nitaaanzisha sasa hivi mwanakijiji akiua,

mbona siku hizi tunaelekea siko

na mamoderator hawachukui hatua hadi tutoane ngeu

haya yanakidhalilisha kibaraza chetu
 
Ovyo kabisa, kama yupo serious aseme tumpelekee zana zitakazomsaidia kwa haraka zaidi...
Hiyo kamba hadi afikie lengo lake ni saa ngapi :mad2::mad2:
What is he still doing in JF anyways??? :mad2:

unajua amefika mbali sana, yaani cjui nisemeje.....samahani lakini huu ni ujinga wa kiwango cha juu sana.
 
Anatafuta huruma ya wasomaji wa blog yake!

Wrong move.
Hawezi kuipata, kwa wasomaji wenye upeo mpana wa kufikiria lazima watakuwa wameshamsoma yeye ni character wa aina gani hadi sasa.
Anapoteza muda na nguvu ambazo angeweza kuzitumia kujenga hoja ambazo ni constructive na sio hayo ambayo anayaongea sasa.
 
Ajiue tu kwani wangapi wamekufa na hatujawakumbuka tena!
 
Mjengwa, mimi nnakuaminia wewe ni chuma cha pua, huna sababu ya kulia lia kwa kusakamwa humu JF. Unavyosakamwa humu ndio uthibitisho wa power of your writings, yaani maandishi yako ni makali na yanakata na kuchoma kama ncha ya upanga wa makali kuwili.


Hizo critic ndizo tupa zinazozidi kunoa ncha ya mkuki wako kufikia kiwango ukiandika tuu, zitachoma mpaka mioyoni mwa nyoyo za watu.
 
Mjengwa, mimi nnakuaminia wewe ni chuma cha pua, huna sababu ya kulia lia kwa kusakamwa humu JF. Unavyosakamwa humu ndio uthibitisho wa power of your writings, yaani maandishi yako ni makali na yanakata na kuchoma kama ncha ya upanga wa makali kuwili.

Hizo critic ndizo tupa zinazozidi kunoa ncha ya mkuki wako kufikia kiwango ukiandika tuu, zitachoma mpaka mioyoni mwa nyoyo za watu.

Great thinker mwingine huyu! wenzako wanafikiria kumpotezea!
 
unajua amefika mbali sana, yaani cjui nisemeje.....samahani lakini huu ni ujinga wa kiwango cha juu sana.

Mno. hawezi kuwa na akili timamu akaongea vitu vya namna hiyo.
Hivi ameshakaa na kujiuliza kwanini watu wengi wanatofautiana na yeye kifikra?:confused2:
labda ingemsaidia kama angekaa chini kidogo na kutafakari hili.
lazima atakuwa na tatizo :mad2:
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom