Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Mwanahabari gwiji kwa njia ya blog Tanzani Mr Maggid Mjengwa amewatolea uvivu wanachadema waliojazana JF kwa tabia yao ya kushambulia kwa ushabiki na kejeli bila kufikiri wala kujadili mambo kwa hoja na logic...............BIG UP MJENGWA