Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,813
- 59,393
Huku kwetu Pwani hali hiyo tunaiita Schizophrenia
And it might not even be that.....
Huku kwetu Pwani hali hiyo tunaiita Schizophrenia
Mi sijawahi sikia mungu mama popote pale
Huku kwetu Pwani hali hiyo tunaiita Schizophrenia
Hehehe kwa hiyo mapepo yamewaingia asilimia 30 ya vijana wa vijijini Brazil?!
Nani kakwambia Mungu ana jinsia?
Mimi sijui ila nilichosoma na kufahamu, huku uswahilini tunasema kuwa, "wana tabia mbaya" hadi wanaamua kubaka wanyama...tena hata kuku jamani!!
Acha tu mambo ya jinsia,
Kwanza huyo anayemwita Mungu ni nani??? Yule Rais wa nchi kubwa kubwa ambaye baba yake alizaliwa kwenye mazizi ya ng'ombe au mzee wa Mabwabwa!!!???
Acha tu mambo ya jinsia,
Kwanza huyo anayemwita Mungu ni nani??? Yule Rais wa nchi kubwa kubwa ambaye baba yake alizaliwa kwenye mazizi ya ng'ombe au mzee wa Mabwabwa!!!???
Okay let's leave maandiko aside.
Let's go with logic and science
1. God is loving to both females and males equally, why would He make females with demons?
2. Science talks about hysterics and depression. Are females prone to these then males?
Kwani Mungu anabadilika kutokana na anaemwita? :]
Hivi hujui kwamba kuna watu hawana idea kabisa kama kuna Mungu?
Nawajua kuwa wapo tele.
Lakini nimeshangaa kuwa unamdefine Mungu kwa kuzingatia misimamo binafsi ya kimaisha ya wanaomzungumzia Mungu
Anyway, tuendelee na mapepo.
Hebu tufafanulie kidogo
Kwa sehemu kubwa hayo ambayo watu wengi wanaita (tunayaita) mapepo ni matatizo tu ya akili...sasa mara nyingi watu tukishindwa kuelezea tatizo fulani tunaishia kusema mapepo...na kama ni kitu kizuri tutasema miujiza (hata kama sio miujiza kwa maana yake hasa!)....2. Science talks about hysterics and depression. Are females prone to these then males?
Kwa sehemu kubwa hayo ambayo watu wengi wanaita (tunayaita) mapepo ni matatizo tu ya akili...sasa mara nyingi watu tukishindwa kushindwa kuelezea tatizo fulani tunaishia kusema mapepo kama ni kitu kizuri tutasema miujiza (hata kama sio miujiza kwa maana yake hasa!). Wataalamu wamegundua kuwa kuna tofauti ya namna ubongo wa mwanaume na mwanamke ulivyoumbwa (structured) na hivyo jinsia hizi mbili ku react kwa namna tofautii katika matukio au stimuli. Kwa jinsi ubongo wao ulivyoumbwa uwezekano wa wanawake kupata mood disorders (depression, anxiety etc) ni mkubwa zaidi kuliko wanaume.
Afadhali wewe mwenzangu unasubiri ushahidi wa kimaandiko.....mie nilidhani kuwa kuna watu wanatuletea empirical data zinazotokana na utafiti wa kisayansi...
Mbado kuona...Labda Teamo atatembelea search engines kadha wa kadha ili atusaidie!