gaintoo broisser
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 307
- 378
Kama Kichwa cha Habari Hapo Juu.
Kwanini haki za Wanaume na Wanawake hazipo sawa na kama zimeegemea kimwegemea Sana Mwanamke haijalishi mtoto au Mkubwa.
Dunia mzima inapinga Ukatili wa Juu ya Wanawake wanaofanyiwa na Wanaume na linatilia mkazo Sana katika Haki hiyo. Tofauti na Wanaume Wanaofanyiwa Ukatili na Kutofatiliwa sana au Kutoaminiwa Sana kama wamefanyiwa Hivyo na Wanawake.
Mtoto Mdogo wa kike akifanyiwa Ukatili wa Jinsia Nivirahisi Sana kusaidiwa tofauti na Wa kiume, Unakuta Mwanamke Anamika 18 amemfanyia Ukatili Mtoto wa Kiume mwenye Miaka 15 ,Lakini wakienda kwa Koti au MAHAKAMANI Mwanamke anashinda kesi.
Kwanini maranyingi mwanamke ni selfish Kwa Dunia nzima wakati mwingi anajijali yeye sana na siyo na Mwanaume.
Unakuta ata kwenye siasa Utawakuta wanapigiana Kampeni ya Kura, Wanawake tunaweza Tumpigie Kura Mwanamke mwenzetu.
NDOA
NDOA nyingi zinavunjika Kwa sababu ya Utandawazi wa Sasa wa Haki sawa yaani 50 kwa 50 ,Mwanamke analazimisha Naye afanye kazi Kama Mwanaume uku Kwa Biblia imeandikwa Mwanamke ni Msaidizi wa Mwanaume nyumbani, Nyumbani Mshahara unaotumika kwa matumizi ni Wa Mwanaume , Kumununulia Mwanamke nguo House Lents zote Mwanaume alafu et Haki Sawa.
Mwanamke akimlazimisha Mwanaume Kufanya Mapenzi ataonekana Kalala Kwa Wanawake Wengine au Hamlizishi Mwanamke Hampi HAKI za NDOA, ILA Mwanaume akimlazimisha Mke wake Kufanya Mapenzi hiyo inasemeka Amebaka Mke wake au amemwingilia Bila lizaa yake, Mwanaume Kufungwa ni Chapu Tu.
This world is Unfair.
HAPPY WOMEN'S DAY
NAWATAKIA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI.
Kwanini haki za Wanaume na Wanawake hazipo sawa na kama zimeegemea kimwegemea Sana Mwanamke haijalishi mtoto au Mkubwa.
Dunia mzima inapinga Ukatili wa Juu ya Wanawake wanaofanyiwa na Wanaume na linatilia mkazo Sana katika Haki hiyo. Tofauti na Wanaume Wanaofanyiwa Ukatili na Kutofatiliwa sana au Kutoaminiwa Sana kama wamefanyiwa Hivyo na Wanawake.
Mtoto Mdogo wa kike akifanyiwa Ukatili wa Jinsia Nivirahisi Sana kusaidiwa tofauti na Wa kiume, Unakuta Mwanamke Anamika 18 amemfanyia Ukatili Mtoto wa Kiume mwenye Miaka 15 ,Lakini wakienda kwa Koti au MAHAKAMANI Mwanamke anashinda kesi.
Kwanini maranyingi mwanamke ni selfish Kwa Dunia nzima wakati mwingi anajijali yeye sana na siyo na Mwanaume.
Unakuta ata kwenye siasa Utawakuta wanapigiana Kampeni ya Kura, Wanawake tunaweza Tumpigie Kura Mwanamke mwenzetu.
NDOA
NDOA nyingi zinavunjika Kwa sababu ya Utandawazi wa Sasa wa Haki sawa yaani 50 kwa 50 ,Mwanamke analazimisha Naye afanye kazi Kama Mwanaume uku Kwa Biblia imeandikwa Mwanamke ni Msaidizi wa Mwanaume nyumbani, Nyumbani Mshahara unaotumika kwa matumizi ni Wa Mwanaume , Kumununulia Mwanamke nguo House Lents zote Mwanaume alafu et Haki Sawa.
Mwanamke akimlazimisha Mwanaume Kufanya Mapenzi ataonekana Kalala Kwa Wanawake Wengine au Hamlizishi Mwanamke Hampi HAKI za NDOA, ILA Mwanaume akimlazimisha Mke wake Kufanya Mapenzi hiyo inasemeka Amebaka Mke wake au amemwingilia Bila lizaa yake, Mwanaume Kufungwa ni Chapu Tu.
This world is Unfair.
HAPPY WOMEN'S DAY
NAWATAKIA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI.