Emmanuel Robinson
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 1,503
- 1,139
Hahahahhaha vpn huna?
Inauzwa shillingi 50,000/= tu, lakini mimi ninayo nitakuuzia 35,000/= tuma pesa chap kwenye namba hii 07666123678.Halafu VPV hadi ununue?
Acha mambo ya kitapeli MkuuInauzwa shillingi 50,000/= tu, lakini mimi ninayo nitakuuzia 35,000/= tuma pesa chap kwenye namba hii 07666123678.
Asante Sana.Wanaotumia twitter kwa sasa wote wanatumia VPN,
Download hiyo kitu,utaenjoy
turbo vpn freeHalafu VPN hadi ununue?
Hata yakwangu haifunguki kabisaTangu Jumapi nafungua Twitter inazungusha tuu haifunguki. Kuna mwenye Shida kama yangu? Naombeni Msaada. Nina Bando la kutosha Ila ndio sipati huu Mtandao.
Hata cm yangu inatatixo Hilo mwezi sasaTangu Jumapi nafungua Twitter inazungusha tuu haifunguki. Kuna mwenye Shida kama yangu? Naombeni Msaada. Nina Bando la kutosha Ila ndio sipati huu Mtandao.
Lakini wanasema ni kosa kisheriaTumia VPN.
twitter bado imefungwa na malaika,kama unatumia kwenye pc au mac download TOR browser simu iunge kama modem au kwa simu download vpnHata cm yangu inatatixo Hilo mwezi sasa
mi naona kule twitter hadi jeshi la polisi,viongozi wa serikali ,teams za mpira taasisi za serikali zina post ,wanatumia nini sasa kama siyo vpn?Lakini wanasema ni kosa kisheria
Hata mkulu jiwe? Maana taarifa zake ame twitt sasa kama ametwitt nani atasoma kama ndiyo imefingiwa?Wanaotumia twitter kwa sasa wote wanatumia VPN,
Download hiyo kitu,utaenjoy
Two wrongs doesn't make one right.twitter bado imefungwa na malaika,kama unatumia kwenye pc au mac download TOR browser simu iunge kama modem au kwa simu download vpn
mi naona kule twitter hadi jeshi la polisi,viongozi wa serikali ,teams za mpira taasisi za serikali zina post ,wanatumia nini sasa kama siyo vpn?
sawa bossTwo wrongs doesn't make one right.
Lakini wanasema ni kosa kisheria
Sasa wew na mimi mkulu?,Hata mkulu jiwe? Maana taarifa zake ame twitt sasa kama ametwitt nani atasoma kama ndiyo imefingiwa?
Tumia "opera mini with free VPN" set VPN on kwenye setting fungua Twitter ikigoma Kuna sehem ya kuchange location change kwenda nchi nyingine yoyoteTangu Jumapi nafungua Twitter inazungusha tuu haifunguki. Kuna mwenye Shida kama yangu? Naombeni Msaada. Nina Bando la kutosha Ila ndio sipati huu Mtandao.