Kuelekea uchumi wa kidigitali Serikali kupitia Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imeitaka mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA kufikiri namna ya kutoa fursa kwa waTanzania wenye uwezo wa kuanzisha mitandao ya kijamii ya ndani ya nchi ili kukuza uchumi na usalama wa nchi.
Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari mhandisi Kundo Andrea amesema kuwa sehemu kubwa ya uchumi wa makampuni ya mawasiliano unaendeshwa na mitandao ya kijamii na inachangia kiwango kikubwa cha uchumi wa nchi kupitia vifurushi kwa mitandao ya kijamii "Facebook, Instagram, whatsapp zikiwa shutdown leo makampuni ya simu yatalia na uchumi wetu ukashuka.
Sasa tuhakikishe tunapromote local content siku moja tuwe na Facebook, Instagram, twitter yetu itafanya uchumi wetu kuwa stable na tutakuwa tumeimarisha usalama wa nchi yetu" Eng. Kundo
Source: millard ayo
Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari mhandisi Kundo Andrea amesema kuwa sehemu kubwa ya uchumi wa makampuni ya mawasiliano unaendeshwa na mitandao ya kijamii na inachangia kiwango kikubwa cha uchumi wa nchi kupitia vifurushi kwa mitandao ya kijamii "Facebook, Instagram, whatsapp zikiwa shutdown leo makampuni ya simu yatalia na uchumi wetu ukashuka.
Sasa tuhakikishe tunapromote local content siku moja tuwe na Facebook, Instagram, twitter yetu itafanya uchumi wetu kuwa stable na tutakuwa tumeimarisha usalama wa nchi yetu" Eng. Kundo
Source: millard ayo