Tumia vpn inapatikanaMimi napendelea You tube imefungwa
Ushamba, hofu, insecurity!Ujima huu,
Njoo mkuuNitumie mkuu na mimi niwe kama nipo ulaya
Hafai, mitano ishamtosha!! AtatuuaHuyu ndie ana waambia mkimpa ridhaa ya tano tena ata kuwa mtiifu. Leo hamja piga kura ana wazimia mitndao mliyo lipia pesa kupata taarifa.
Akili kichwani.. Keaho mpe kura atakae toa haki.
Dah, nahis mda c mrefu na washarestrict playstoreYaani wakifunga na hii jamii forum ndiyo basi tena hata sisi tusio kunywa inabidi tukajiliwaze tu bar. Kwa pamoja tutoe laana moja matata sana! haya mateso wanayo tupa ni makubwa sana.
Piga ila usimtoboe macho utaharibu kura ha ha haKesho kura za hasira
Jaribu kubypass kwa kuinstall apk..googleDah, nahis mda c mrefu na washarestrict playstore/ apk cjui ntapatia wap VPN???? Huu ni usenge wa kiwango cha chato
Hata WhatsApp imekata.YouTube na Facebook hazifanyi kazi vizuri