Mitambo yashindwa kuondoa mti wa asili Hifadhi ya Taifa ya Nyerere

Niliwahi sikia miongoni mwa sababu zilizokuwa zinakwamisha ujenzi wa barabara ya kusini tokea dsm ni haya mambo, wakandarasi walipata nayo tabu sana na kingine kulikuwa na mradi wa kuongeza kina cha bandari ya lindi na kwenyewe mauzauza yakakwamisha
 
Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa ya Nyerere katika mikoa ya Morogoro na Pwani imelazimika kuuhifadhi mti wa asili jamii ya Marula uliokuwa ukitumiwa na watu mbalimbali wa zamani kufanya matambiko ya asili kuwa kama sehemu ya kivutio ndani ya hifadhi hiyo baada ya kushindwa kukatika kwa zana na mitambo mbalimbali ya kisasa ili upishe upanuzi na matengenezo ya barabara kuu inayokatiza hifadhini hapo.

Duuh
 
niliwahi sikia miongoni mwa sababu zilizokuwa zinakwamisha ujenzi wa barabara ya kusini tokea dsm ni haya mambo, wakandarasi walipata nayo tabu sana na kingine kulikuwa na mradi wa kuongeza kina cha bandari ya lindi na kwenyewe mauzauza yakakwamisha
Hayo mauza uza yapo ni lzm uongee na wazee wakupe ruhusa.Maeneo mengine ni kambi za kutunzia misukule, matambiko,madhabau za kichawi,milango ya kuzimu,nk.
 
Ukiona mtu haamini haya mambo bado mtoto mdogo. Kariakoo maeneo ya kamata, shirika la reli liliamishia kituo cha train kwamuda, eneo lile palikuwa na makaburi sasachaajabu makaburi yote wameyafukua lakn lipo moja lilishindikana had leo lipo anaebisha aende akaangalie. Hilo ni kaburi la chifu Kibasila.
 
Ukiona mtu haamini haya mambo bado mtoto mdogo. Kariakoo maeneo ya kamata, shirika la reli liliamishia kituo cha train kwamuda, eneo lile palikuwa na makaburi sasachaajabu makaburi yote wameyafukua lakn lipo moja lilishindikana had leo lipo anaebisha aende akaangalie. Hilo ni kaburi la chifu Kibasila.
Sehemu gan?
 
Weee usiniambiye
Nimependa ulivyopinga mwanzoni kabisa, nikawa nasubiri uthibitisho wa kubishia hicho.

Kuna sehemu Dar, wanapaita MBUYUNI, sijui Ali Hassan road imejengwa mwaka gani, ila ukipita sasa unaona ni kama barabara imepinda kuupisha mbuyu, wajuvi wana stori zake, watafute wakueleze.

Kuna dogo mmoja alinipia kuniambia, imebidi matambiko yafanyike kumuondoa nyoka kwenye mti ambao walikuwa wakipambana kuukata bila mafanikio kule idodomya kwenye ujenzi w sirikali, ila walifanikiwa baada ya wazee kufanya tambiko na kumuamisha nyoka.
 
Back
Top Bottom