Mitambo yashindwa kuondoa mti wa asili Hifadhi ya Taifa ya Nyerere

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,011
9,879
Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa ya Nyerere katika mikoa ya Morogoro na Pwani imelazimika kuuhifadhi mti wa asili jamii ya Marula uliokuwa ukitumiwa na watu mbalimbali wa zamani kufanya matambiko ya asili kuwa kama sehemu ya kivutio ndani ya hifadhi hiyo baada ya kushindwa kukatika kwa zana na mitambo mbalimbali ya kisasa ili upishe upanuzi na matengenezo ya barabara kuu inayokatiza hifadhini hapo.

1.jpg
 
Imani potofu tu hiyo inakatika buana
Dodoma Mjini kabisa karibia na St Gasper Hotel kuna mbuyu upo pembeni kabisa ya rami, barabara ya rami imepita pembeni yake kabisa. Umeshindikana mpaka leo. Aise dunia ina mambo.

Kumbuka ule mti ulikatwa kule Tabora asubuhi wakaukuta umesimama tena, wanume wakachukua magome yake wakaenda chemsha wakanywa wakawa na nguvu za kupitiza. Hahahaha!
 
Dodoma Mjini kabisa karibia na St Gasper Hotel kuna mbuyu upo pembeni kabisa ya rami, barabara ya rami imepita pembeni yake kabisa. Umeshindikana mpaka leo. Aise dunia ina mambo.

Kumbuka ule mti ulikatwa kule Tabora asubuhi wakaukuta umesimama tena, wanume wakachukua magome yake wakaenda chemsha wakanywa wakawa na nguvu za kupitiza. Hahahaha!
Weee usiniambiye
 
Back
Top Bottom