Nani akutakee na ufia dini wako tafuta wafia dini wenzakoo nakuapia hutopata wakukuambia mamboWale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM. Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
OMG. Nimechelewa kuona huu Uzi tunatoaje hiyo sadaka SASA....Nataka nikuchukue Umjue Yesu Kristo . Yehova Shan. Bwana wa majeshi.kwanza unatakiwa uweke dau lako la sadaka kwa yatima, likiwa kubwa kuliko wengine, nakupa anuani unakuja live.
Wacha ushamba wa picha, picha siku hizi inafanya vyovyote. Vitu live bila chenga.
Uking'ang'ania sana nakutumia picha nipo soko la mboga na matunda Dubai.
Tupe tumumunyeKikongwe kwani hana? Muulize bibiyo.
Naamini yale maneno ya mzee mudi saidi wewe ni mwanaumeNyigu mbona wamejaa.
Wewe endelea kutazama porn ule ngunga.
Shaiza.
Kwani wewe ni mwanamke?Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM. Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Ila unatupatia...🥰😍🤩Kabla hujaja kwangu nikupe namba urushe sadaka yako kwa watoto yatima, utarusha ngapi?
Hakuna chakula cha bure. Kula uliwe.
Wapo wengi humu, yupo huyo anayejiita Ushimen , yupo cocastic, yupo anayejiita Lusungo.astaghfirullah , yaani Ushimen niliyekua nakuona kuwa ni threat kumbe unasemwa kuwa ni mkate wa kumimina?
Shee kipozeo nikija bongo huwa nanunuwa mirungi anakuja kula kwangu, anakodoa mimacho tu na denda linamtoka, anatamani ninyanyuke nilipokaa, mara atajidai, hakuna chai rangi, mara hakuna kahawa. Kwa tashtiti nawaambia watoto wamletee.Hii tumuachie shehe kipoozeo wengine dabo diff hatuwezi
Hii shepu huna wewe upo kama msumari tu kiboonge na kafupi kama shogako samia.
Kuna wanaume humu? Mwanamme eti anatongoza nyuma ya keyboard? Unanchekesha.Bila shaka kuna waliofanikiwa kula tunda
Njoo nikuoee we [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tafuta mke uoe achana na ushoga.
Basi mume wangu ndo anapendaa sanaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndoa ya shoga nayo ndoa, mfyuuuu, kununkishana choo kutwa kucha.
Bibi umevurugwaaa wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]