FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
- Thread starter
- #1,561
Bibi kwema? Naomba nialike karamu isiyo ya tumbo, kunywa na kusaza.
Kwa majaliwa ya Allah, umejaliwa visivyoisha hata uhai ujapotamatika.
Mimi ni jirani yako.
Shindana dau na wenzako juu huko, wacheni vituko.
Ataepanda dau kubwa ndiyo yeye huyo.
Halafu siku hizi situmii shillingi kabisa natumia Dirhams.
Haya anza kupanda dau.