Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Anza tu, kama yupo mweny zaidi atakupiku.

Huna pesa wewe, wacha kupotezea watu muda.

mwanamme mwenye pesa atakuja kutongoza mtandaoni? Si anawatuma kina Lusungo wakamtongezee mitaani huko.
Bado tu unadanga kwa umri huo bibiye? Unapenda pesa kama shogaako ndo maana kauza nchi kwa DP world!!
 
Bado tu unadanga kwa umri huo bibiye? Unapenda pesa kama shogaako ndo maana kauza nchi kwa DP world!!
Tena na Kilimanjaro tushawapa Waarabu wa Oman.

Eyapoti ya Dar tunaanzankuwapa Wasaudi mdogo mdogo👇🏾

Saudia Airlines on Sunday made its maiden direct flight to Julius Nyerere International Airport (JNIA) in Dar es Salaam, Tanzania and back to King Abdulazz International Airport in Jeddah. The direct flight is now less than 5 hours. Photo/ArabiaBusiness
1688146917810.png

Soma zaidi 👇🏾

 
Tena na Kilimanjaro tushawapa Waarabu wa Oman.
Saudia Airlines on Sunday made its maiden direct flight to Julius Nyerere International Airport (JNIA) in Dar es Salaam, Tanzania and back to King Abdulazz International Airport in Jeddah. The direct flight is now less than 5 hours. Photo/ArabiaBusiness
View attachment 2674528
Soma zaidi 👇🏾

Wewe mwanamke, taja mahari yako. Nataka nikutie ndani, ukae utulizane. Acha porojo..
 
Ulidannganywa, mtume gani huyo unamuogelea?


Pesa zako kunipata. Una dirham?

Wewe pesa za data zenyewe huna utakuwa na pesa za kunipata mimi? Hii gari kubwa, siyo ki passo hiki.


View attachment 2674188


Haya, mambo hayo, tangaza ufalme.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kama una pesa pitia uzi uone wenzako wameishia ngapi, wewe uongeze walipofika.


Kama ni mwiko basi usilete lugha za kishoga.


Una pesa, weka dau lako hapa, huna, sepa. Sitaki kupoteza muda na mashoga wasio na pesa.

Time is money.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Eti bimkubwa niambie,

Kwani imekuwaje Eid el Haji siku hizi gafla sio el haji tena badala yake mnaita Eid el adhaa?
 
Tena na Kilimanjaro tushawapa Waarabu wa Oman.

Eyapoti ya Dar tunaanzankuwapa Wasaudi mdogo mdogo👇🏾

Saudia Airlines on Sunday made its maiden direct flight to Julius Nyerere International Airport (JNIA) in Dar es Salaam, Tanzania and back to King Abdulazz International Airport in Jeddah. The direct flight is now less than 5 hours. Photo/ArabiaBusiness
View attachment 2674528
Soma zaidi 👇🏾

Wapeni tu lakini yana mwisho.
Na mwisho ni 2025 maana hicho kibibi kitapelekewa moto hadi kisuse kikimbilie kwao Oman.
 
Jibu swali, unamuongelea "mtume" gani?

Wewe undelea kuwa poa. Mimi nataka Jibaba moto mtindo mmoja, pochi moto, mapigo moto. Poa yako itanisaidia nini?

Ntolee shombo hapa.
Hivyo vyote mi ninavyo, sihitaji kuongea sana bila vitendo, niruhusu niku PM ili tuyajenge vizuri

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Shee kipozeo nikija bongo huwa nanunuwa mirungi anakuja kula kwangu, anakodoa michaccho tu na dena linamtoka, anatamani ninyanyuke nilipokaa, mara atajidai, hakuna chai rangi, mara hakuna kahawa. Kwa tashtiti nawaambia watoto wamletee.
Sheikh kipozeo anatafuna wanaume wenzake?
 
Nimefika

Sasa najua
Umekua kama mfupa mgumu mbele ya hawa vibogoyo
Nimefika fisi mwenyewe
Ngoja niulainishe huu mfupa
 
kama una pesa pitia uzi uone wenzako wameishia ngapi, wewe uongeze walipofika.


Kama ni mwiko basi usilete lugha za kishoga.


Una pesa, weka dau lako hapa, huna, sepa. Sitaki kupoteza muda na mashoga wasio na pesa.

Time is money.
Toka umekula pesa za waarabu wa bandari hutaki hata kuwasikiliza vijana na pesa zao za mawazo.
 
Toka umekula pesa za waarabu wa bandari hutaki hata kuwasikiliza vijana na pesa zao za mawazo.
Mama Samia kaachoia pesa mitaani alivyoingia tu, kaona haitoshi anazileta Za Dubai, kaona isiwe tabu analeta za Oman, anaona bado kaleta za za Saudi Arabia.

Midege ya Saudia inatuwa kila wiki Dar hapo, halafu bado mtu ukae unahangaika na vihela vya madafu? Khaaa.
Midege ya Qatar, midege ya Emirates, midege ya Oman SAir. Halafu mwanake ahangaike anadanga mitaani?

Ujinga huo.

DP World hoyeee, nanuka dirham hapa nilipo.
 
Tangu 2019 mpaka leo hayupo aliefanikiwa?
Hawana hela wewe, kuna mwanamme anaeingia JF ana pesa? Usijidanganye, kama unadanga kaweke kambi eyapoti siyo JF.

Fanya urafiki na mi eyahostess inayoshuka kila siku, wote wauza uchi wale, wanakudangia humohumo ndani ya ndege, we unasikia simu inaita eyapoti. Mnadhani kila mwanamke wa kuliwa kwa chai na andazi asubuhi? Khaa. Kinyaa.
 
Back
Top Bottom