Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Sio utani yaani hapa najua nitaitwa babu kabla sijafika hata miaka 40 hasa ukizingatia mtoto mwenyewe wa kike na mwaka huu kaingia form 3 bwana haahahaha!
Mwanao anaenda kutawanywa miguu nae ukiwa bado na akili. Safi sana.
 
Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.

Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana

Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
faiza mi nimmojawapo hope unajua kweli nakupenda sitanii Uko serious au unatania niambie niko tayari kwa lolote
 
We nawe, lini umeona Mtu anatongoza hadharani?

Kama upo tayari kutongozwa fuata njia sahihi utongozwe.
 
Faiza plz njoo inbox am real mke wangu sitanii plz mke Wangu nimeona Huu uzi wako nimeona wivu kuna wanaume wajinga humu wengi plz niamini njoo inbox mke wangu
 
Hata babu yake na mwanao kwa mama nae anasema kuna fala alimtawanya mwanangu miguu.
Mimi sio fala nilikuwa innocent boy by that time sema ndo circumstances tu zilitoke, anyway tuishie hapa mana Faiza Fox atatunanga kuchafua uzi wake pendwa wa Mtongozo thread
 
Back
Top Bottom