Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,559
- 11,496
Remmy acha kuingilia maneno bila kuwa na uhakika. Ulichokidakia hakina ukweli wowote na nakushangaa na wewe unakuja na maneno yako bila mpangilio.Hivi hakutaja kushukuru hata kidogo?
Yaani hakuutambua mchango wa Ruhazwe?
Nimeshangazwa.
Kweli tometofautiana duniani.
Hebu logout uje baadae achana na hawa watu wa ID tano tano watakugombanisha na sisi ndugu zako ujute nafsi.
Last edited by a moderator: