Miss Chit Chat 2012

Miss Chit Chat 2012

Editing inakubalika katika platform ya JF kaka...hivyo huwezi msema mtu kisa kahariri taarifa.Pia you could have PM'ed her if you thought she forgot to appretiate baadhi ya waheshimiwa rather than spoiling her name in front of everybody...that aint acceptable bro!!! halafu ni kama ulikua waibua mapya tu, maana watu walishayamaliza kwenye threads za awali.

Watu wengine huwa wana asili ya Gubu.... Ni kuwaignore tu... Utadhani wao wako perfect kwa kila kitu.....
 
Hahaha...nimeshindwa kumwelewa jirani yangu huyu kama anaChitChatika au yupo serious, maana hapo juu mhusika ambaye ndiye mleta mada kwa uwazi kabisa kaweka shukrani kwa kila mhusika aliyefanikisha kile kindumbwendumbwe chote....pengine hakusoma maneno yote!!!
Umeona eeeeh
Kabugi meeeeeen!
 
heheh eti yanakutia kinyaa!!

Ni kweli sipendezwi kuona member wanalumbana kwaajili yangu yangu,ndio maana nasema nahisi kinyaa,kwani vip Kipipi kunatatizo mi kusema hivyo?
 
Last edited by a moderator:
ThreadClosed400.jpg
 
Back
Top Bottom