Miss Chit Chat 2012

Miss Chit Chat 2012

CharmingLady

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2012
Posts
18,304
Reaction score
12,999
Habari zenu wapendwa wanaChitChat??

Awali ya yote napenda kutoa shukrani zangu za kwa Uongozi wa Jamii Forums kwani bila wao kutoa ushirikiano shindano hili lisingefanikiwa.

Kama muonavyo hiyo BADGE (gold membership) hapo pembeni yangu ndio zawadi mliyonitunuku pamoja na airtime.

Pili napenda kuishukuru familia yangu ya Chitchat ikiongozwa na my lovely daddy watu8 ambaye pia alikuwa kampeni manager wangu kwa ushirikiano wa hali na mali. Mama yangu mpendwa measkron na dada zangu wapendwa sweetlady, WiseLady, kaka yetu wa hiyari Davie S.M, cousins ladyfurahia pamoja na FirstLady.

Vile vile natoa shukrani za dhati kabisaaaa kwa my x-husband C6 kwa mchango wake mkuuuubwa (anaujua mwenyewe) Ubarikiwe saaana.....

Pia napenda kumshukuru muandaaji wa shindano hili Ruhazwe JR a.k.a Mr. Lundenga pamoja na wadhamini woote akiwemo masopakyindi, Ruhazwe JR mwenyewe, Samaritan, kitalolo, Mu-sir, Chimbuvu, Slave na wengineo.... Shukrani saaaana!!"!""!!


Sijawasahau Chitchat friends ikiongozwa na Erickb52, shostito wa ukwenhe Elizabeth Dominick, Evelyn Salt wote hao niliowataja na ambao sijawataja ila walinipigia kura asanteni saaaana. Sina cha kuwalipa ila mbarikiwe saaana.

Sitakuwa na busara kuwasahau members wooote wa JF walio nje ya Chitchat kwani nina imani kubwa wao ndio waliofanikisha ushindi wangu.....

Nimesubiri sana nitangazwe rasmi ila naona bado nimeamua kujitangaza rasmi kuwa mie ndie natetea taji la MISS CHITCHAT kwa mwaka wa 2012....

Ng'wabeja gheteghete bhakima na bhagosha! Mulungu amsungulile lubango!
 
Last edited by a moderator:
charminglady,nasikitika kusema wewe na baadhi ya members wa Chit Chat hamjaonesha ukomavu wa utu katika shindano hili,hivyo kuwa Wanafiki wakubwa!
Ruhazwe JR alipata matatizo makubwa,na ninyi hamkutaka hata kumuelewa,na kuendelea kumshushia lawama,utafikiri ninyi si binadamu,na mmeweka mkataba na Mungu matatizo yasiwapate!
Huo si utu hata kidogo,na sidhani kama hizo zawadi ndizo ziliwafanya mkose utu kwa kiasi kile!
Mmekera sana aisee,na mumuombe radhi Ruhazwe JR kwa heshima mliyo mvunjia.
Shame on you!
 
Last edited by a moderator:
charminglady,nasikitika kusema wewe na baadhi ya members wa Chit Chat hamjaonesha ukomavu wa utu katika shindano hili,hivyo kuwa Wanafiki wakubwa!
Ruhazwe JR alipata matatizo makubwa,na ninyi hamkutaka hata kumuelewa,na kuendelea kumshushia lawama,utafikiri ninyi si binadamu,na mmeweka mkataba na Mungu matatizo yasiwapate!
Huo si utu hata kidogo,na sidhani kama hizo zawadi ndizo ziliwafanya mkose utu kwa kiasi kile!
Mmekera sana aisee,na mumuombe radhi Ruhazwe JR kwa heshima mliyo mvunjia.
Shame on you!

mkuu naomba uwe mstaarabu basi, ndio mambo gani unachakachua uzi wa watu.
kwa nini haya uliyoyaandika usingeandika katika ule uzi husika wa Ruhazwe JR???
 
Last edited by a moderator:
charminglady,nasikitika kusema wewe na baadhi ya members wa Chit Chat hamjaonesha ukomavu wa utu katika shindano hili,hivyo kuwa Wanafiki wakubwa!
Ruhazwe JR alipata matatizo makubwa,na ninyi hamkutaka hata kumuelewa,na kuendelea kumshushia lawama,utafikiri ninyi si binadamu,na mmeweka mkataba na Mungu matatizo yasiwapate!
Huo si utu hata kidogo,na sidhani kama hizo zawadi ndizo ziliwafanya mkose utu kwa kiasi kile!
Mmekera sana aisee,na mumuombe radhi Ruhazwe JR kwa heshima mliyo mvunjia.
Shame on you!

Yaani ungewataja kwa majina hao unaowaita wanafiki, ndio ningekuona wewe kidume....otherwise, hoja yako haina mashiko wala mantiki.
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu wapendwa wanaChitChat??

Awali ya yote napenda kutoa shukrani zangu za kwa Uongozi wa Jamii Forums kwani bila wao kutoa ushirikiano shindano hili lisingefanikiwa.

Kama muonavyo hiyo BADGE (gold membership) hapo pembeni yangu ndio zawadi mliyonitunuku pamoja na airtime.

Pili napenda kuishukuru familia yangu ya Chitchat ikiongozwa na my lovely daddy watu8 ambaye pia alikuwa kampeni manager wangu kwa ushirikiano wa hali na mali. Mama yangu mpendwa measkron na dada zangu wapendwa sweetlady, WiseLady, kaka yetu wa hiyari Davie S.M, cousins ladyfurahia pamoja na FirstLady.

Sijawasahau Chitchat friends ikiongozwa na Erickb52, shostito wa ukwenhe Elizabeth Dominick, Evelyn Salt wote hao niliowataja na ambao sijawataja ila walinipigia kura asanteni saaaana. Sina cha kuwalipa ila mbarikiwe saaana.

Sitakuwa na busara kuwasahau members wooote wa JF walio nje ya Chitchat kwani nina imani kubwa wao ndio waliofanikisha ushindi wangu.....

Nimesubiri sana nitangazwe rasmi ila naona bado nimeamua kujitangaza rasmi kuwa mie ndie natetea taji la MISS CHITCHAT kwa mwaka wa 2012....

Ng'wabeja gheteghete bhakima na bhagosha! Mulungu amsungulile lubango!

Hongera sana shosti, ukipewa ile mihela usinikose vocha ya MB please. ZANTEL sawa mama.
 
Yaani ungewataja kwa majina hao unaowaita wanafiki, ndio ningekuona wewe kidume....otherwise, hoja yako haina mashiko wala mantiki.

Wanajijua.
Si tabia nzuri hata kidogo waliyo onesha.
Inabidi wamwombe radhi Ruhazwe JR.
 
Last edited by a moderator:
charminglady,nasikitika kusema wewe na baadhi ya members wa Chit Chat hamjaonesha ukomavu wa utu katika shindano hili,hivyo kuwa Wanafiki wakubwa!
Ruhazwe JR alipata matatizo makubwa,na ninyi hamkutaka hata kumuelewa,na kuendelea kumshushia lawama,utafikiri ninyi si binadamu,na mmeweka mkataba na Mungu matatizo yasiwapate!
Huo si utu hata kidogo,na sidhani kama hizo zawadi ndizo ziliwafanya mkose utu kwa kiasi kile!
Mmekera sana aisee,na mumuombe radhi Ruhazwe JR kwa heshima mliyo mvunjia.
Shame on you!

Hebu tuambie hayo matatizo makubwa aliyopata.
 
Last edited by a moderator:
Wapendwa katika bwana,msigombane kwaajili yangu.sijisikii sawa kabisa kuona malumbano juu yangu,ingawa natambua hisia za ndani ya moyo wa charminglady hadi kutopelekea kutambua ufanikishaji wangu katika thread yake.lakini pia natambua hisi za ndani ya moyo wa Free Thinker hadi kumpelekea kuyatamka hayo ndani ya uzi huu.all in all nawasihi sana MSIGOMBANE
 
Last edited by a moderator:
Wapendwa katika bwana,msigombane kwaajili yangu.sijisikii sawa kabisa kuona malumbano juu yangu,ingawa natambua hisia za ndani ya moyo wa charminglady hadi kutopelekea kutambua ufanikishaji wangu katika thread yake.lakini pia natambua hisi za ndani ya moyo wa Free Thinker hadi kumpelekea kuyatamka hayo ndani ya uzi huu.all in all nawasihi sana MSIGOMBANE

Msg delivered!
 
Last edited by a moderator:
Wapendwa katika bwana,msigombane kwaajili yangu.sijisikii sawa kabisa kuona malumbano juu yangu,ingawa natambua hisia za ndani ya moyo wa charminglady hadi kutopelekea kutambua ufanikishaji wangu katika thread yake.lakini pia natambua hisi za ndani ya moyo wa Free Thinker hadi kumpelekea kuyatamka hayo ndani ya uzi huu.all in all nawasihi sana MSIGOMBANE

Mkuu shaka ondoa... hakuna anayegombana hapa... All in all shukrani sana!!!
 
Last edited by a moderator:
freethinker, Ruhazwe JR na Nicas Mtei huu uzi nimeuanzisha kwa nia ya kutoa shukrani zangu kwa wana CC na member wote wa JF kwa ujumla.

Mkisoma thread yote kwa makini nadhani mtaona hakuna sehemu yoyote niliyolalamika. Nawaomba malalamishi na ugomvi wenu mfungue thread muanze kuulizana. na kujibizana huko tafadhalini.......

Siku njema.....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom