Mishahara mipya Novemba 2017 kuna ongezeko?

Mishahara mipya Novemba 2017 kuna ongezeko?

Sure mkuuu.. na mimi kuna afisa utumishi mmoja nilikutana nae nikamuuliza alicheka sana.ila akasema ni ndogo tu ndo imeongezwa bila kusema ni Kiasi gani...
Tujiandae kisaikolojia..
Kuanzia elfu 10 ila haifiki elfu 20,wakuu wa idara hawajapewa chochote.kazi kwako mkuu ongezeko ndo hilo.
 
Mishahara ni haki yetu hata mkitoa maneno ya dhihaka tunastahili nyongeza za mishahara uhaini tunaofanyiwa siku tukijiongezea wenyewe msilalamike

Kuna watu mnajifanya wasemaji wa serikali hata mkisema Kwa kutumia vipaza sauti na masipika Kwa matarumbeta nyengeza ya mishahara ni haki ya kila mtumishi yeyeto kwenye serikali yoyote hata sekta binafsi

Kuna watu mnasema watumishi njaa Mara oooh hatuwekezi tunaishi Kwa kutegemea mishahara wewe unaesema haya ungekuwa umewekeza Tanzania ingekuwa mbali .

Watuongeze Tu hata 900 itapendeza salary zina viraka hatari
Point! Watumishi wakijiongeza wanaoumia watu wa chini sio waliokaa kwny viyoyozi sahv
 
Nmemcheki Afisa utumishi mmoja wa halmashauri fulani kanda ya ziwa kanitonya kuna ka ongezeko 'kidogo' japo anakua mgumu sana kudadavua kiundani (scales)...sijui kwa nini
Vipi kwa wanaosubiria mafao yao toka June mosi?
 
Back
Top Bottom