Mishahara mipya Novemba 2017 kuna ongezeko?

Mishahara mipya Novemba 2017 kuna ongezeko?

Watumishi wanahangaika sana kujenga uchumi wa nchi hii ila bila faida.
Wanachoshwa mno bila nyongeza ya kila mwaka. Serekali hii imekua na blablabla za uhakiki zisizo isha. Huu ni uonevu kwa watumishi. Mwezi May alisema rais, wataongeza mishahara kwa watumishi. Mpaka leo, hamna kitu. Ni uongo mtupu wakati yeye anajenga kwao. Watumishi hewa walitolewa, vyeti fake walisha tolewa, umebaki uongo gani tena kuwambia watumishi waliobaki kazi kwanini maslahi yao yasi boreshwe? Usani wa serekali hii umepitiliza.
Wapeni nyongeza watumishi makusanyo ya kodi yaongezeke. Nashangaa waziri wa fedha hamshauri rais hivi. Ukibana pesa zikakaa BoT, hazizarishi. Wape watumishi purchasing power ili wafashana biashara nao wailipe kodi vizuri.
Tusitafute kodi bila kuwawezesha. Nchi zote duniani, watumishi wa uma ndo muhimu kwa kuendesha uchumi wa nchi husika. Ukiwabana watumishi hamna biashara. Rais wangu, that is the only way unakuza uchumi.
 
Watumishi wanahangaika sana kujenga uchumi wa nchi hii ila bila faida.
Wanachoshwa mno bila nyongeza ya kila mwaka. Serekali hii imekua na blablabla za uhakiki zisizo isha. Huu ni uonevu kwa watumishi. Mwezi May alisema rais, wataongeza mishahara kwa watumishi. Mpaka leo, hamna kitu. Ni uongo mtupu wakati yeye anajenga kwao. Watumishi hewa walitolewa, vyeti fake walisha tolewa, umebaki uongo gani tena kuwambia watumishi waliobaki kazi kwanini maslahi yao yasi boreshwe? Usani wa serekali hii umepitiliza.
Wapeni nyongeza watumishi makusanyo ya kodi yaongezeke. Nashangaa waziri wa fedha hamshauri rais hivi. Ukibana pesa zikakaa BoT, hazizarishi. Wape watumishi purchasing power ili wafashana biashara nao wailipe kodi vizuri.
Tusitafute kodi bila kuwawezesha. Nchi zote duniani, watumishi wa uma ndo muhimu kwa kuendesha uchumi wa nchi husika. Ukiwabana watumishi hamna biashara. Rais wangu, that is the only way unakuza uchumi.
Pole mkuuu una miaka 7 mbele Mungu akijalia tuwe hai
 
Pole mkuuu una miaka 7 mbele Mungu akijalia tuwe hai
Nadhani ifike pahali kila MTU ajipange kimaisha kupambana na maisha yake mwenyewe. jiwekee utaratibu wa kuanzisha vyanzo vya mapato nje ya mshahara. hautapiga kelele ukiongezwa au usiongezwe
 
Tunalenga kuboresha maisha ya watanzania wa kawaida waliowengi sio nyinyi wafanyakazi wachache. Kama mnaona haziwatoshi acheni kazi, tutaleta wachina hapa wachukue nafasi zetu. Kwanza Wafanyakazi wenyewe ni wavivu, wezi, walalamishi, wachelewaji, wazinzi wasio na shukrani. Wakulima, wafugaji, na wavuvi nani atawaongezea mapato yao?
Maneno ya "sizitaki mbichi hizi"
 
Kwanza mtu anayepandishwa daraja mshahara wake huongezeka kwa kiasi gani?
 
kidato cha nne wameshamaliza mitihani. na baadhi ya kidato cha pili nasikia wamesharudi mitaani !!!!!!
 
Yani wakiongeza tu mnarudi kwenye akili zenu za kushikiwa, bora wasiongeze ili akili zije ili 2020 tufanye kitu kinachopendeza.
Si watumish wote ni Pro CCM ndugu,usikariri
 
Watumishi wanahangaika sana kujenga uchumi wa nchi hii ila bila faida.
Wanachoshwa mno bila nyongeza ya kila mwaka. Serekali hii imekua na blablabla za uhakiki zisizo isha. Huu ni uonevu kwa watumishi. Mwezi May alisema rais, wataongeza mishahara kwa watumishi. Mpaka leo, hamna kitu. Ni uongo mtupu wakati yeye anajenga kwao. Watumishi hewa walitolewa, vyeti fake walisha tolewa, umebaki uongo gani tena kuwambia watumishi waliobaki kazi kwanini maslahi yao yasi boreshwe? Usani wa serekali hii umepitiliza.
Wapeni nyongeza watumishi makusanyo ya kodi yaongezeke. Nashangaa waziri wa fedha hamshauri rais hivi. Ukibana pesa zikakaa BoT, hazizarishi. Wape watumishi purchasing power ili wafashana biashara nao wailipe kodi vizuri.
Tusitafute kodi bila kuwawezesha. Nchi zote duniani, watumishi wa uma ndo muhimu kwa kuendesha uchumi wa nchi husika. Ukiwabana watumishi hamna biashara. Rais wangu, that is the only way unakuza uchumi.
Kwa baba Jesca huu ushauri ni uchochezi
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Nyongeza ya mishahara iendane na quality of service; huduma zenu nyingi ni mbovu sana.
He he heee,serikali haijanunua chaki mwl aandike kwa vidole?
Hosp hakuna dripu aweke maji ya bomba kwenye nailoni la kandoro?
Mahakaman hakuna katatas akanunur kaunta buku HAKIMU?
 
Si watumish wote ni Pro CCM ndugu,usikariri
Watu wengi Hawajui tu tena Hawajui kwanini mkulu hawapendi watumishi.Watumishi wengi walishajitambua kitambo sana.Watumishi wachache waliokuwa wanakula keki ya nchi ndio walikuwa pro CCM.Mkulu analipiza kisasi kwa watumishi maana anajua wengi hawakumpa kura
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Sasa mkuu mm nimeelewa kuwa ukikopa utalipa riba ya 5% ya pesa uliopewa. Hapo ulipokopa 95, 000/ asilimia tano ni 4,750/ na sio 5,000/. Kama wakikata 5, 000/ walipaswa wakupe 100, 000/. Na 5% ya 190,000/ ni 9,500/ sio 10,000/ utakayolipa.
Hujamuelewa huyo kuhusu crdb.... Ni kwamba katika comment yake amesema alikopa laki akapewa 95,000 na mara ya pili alikopa laki mbili akapewa 190,000.
Ina maana hawa crdb wanakata kabisa pesa yao toka ktk ile unayokopa.... Ina maana ktk kila laki wanakata 5000
 
Back
Top Bottom