unaandika ukiwa unakunya kwenye choo cha shmo kilichojaa mavi mpaka mdomon halafu ukishusha kimba unaruka pemben kwanza


kabet mkuuUsitegemee kuongezwa mshahara kwa utawala huu mtumishi jaribu kutafuta njia mbadala ya kujiongezea mshahara na sio kwa utawala huu

tunakusalimiaAfisa utumishi niko hapa mnasemaje?
Litakuwa daraja la Tazara hiloPay imetoka watu tuko foleni hapa jamaa amekuta nyongeza ya Tsh.78000 na Amepandishwa daraja kupitia ATM
Inawekwaga Tarehe ngapi,au na wewe umehadithiwa tu.Acheni kuumiza kichwa bwaneee ulizeni masojaa maana yenyewe huwa inawekagwa mapema kuliko ingine subiri masojaa ikiwa kimya ujue hiyo poyoyo tu
ameinvest kwenye kusoma ili apate ....watanzania na kuinvest utadhani wanainvest kweli...hizo investments mbona hatuzioni!Badala ya kuinvest unavizia vizia mishahara kuongezeka!!....shame!!
Quality of service iendane na resources. Mipango mizuri fedha hakuna mnataka watumishi watumie fedha zao?Nyongeza ya mishahara iendane na quality of service; huduma zenu nyingi ni mbovu sana.