Mirror anaimba vizuri lakini mbona hang'ai?

Mirror anaimba vizuri lakini mbona hang'ai?

Mkuu data kampeni yako ni nzuri ila charity begins at home. Anzia hapa hapa jukwaani kwa kutoa hoja nzito ili zile thread mbili za Team Kiba na Team Chibu ziondolewa, ndo ifuate kwenye media zingine sasa.
 
Last edited by a moderator:
Haya matimu ushuzi mi mwenyewe siyapendi yanadhohofisha mziki sana. Natamani hata hawa majamaa wawili wafanye kolabo ili hivi vitimu vifilie mbali.

Team ziko duniani kote hata juzi Chris Brown aliposhinda BET tuzo mbili alishukuru #TeamBreezy kwa kua nae bega kwa bega tangia aingie jela atoke mpaka anaendelea kung'aa. Cha muhimu ni zitumike vzr sio zitumike moja kumshusha mwengine au kuleta chuki kati ya wasanii.
 
Mirror m namuona kawaida nilipenda nyimbo yake ile cjui inaitwa baby dah aliimba. Ila tangia hapo cjamuelewa tena.
 
Mkuu data kampeni yako ni nzuri ila charity begins at home. Anzia hapa hapa jukwaani kwa kutoa hoja nzito ili zile thread mbili za Team Kiba na Team Chibu ziondolewa, ndo ifuate kwenye media zingine sasa.

Pamoja.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu data kampeni yako ni nzuri ila charity begins at home. Anzia hapa hapa jukwaani kwa kutoa hoja nzito ili zile thread mbili za Team Kiba na Team Chibu ziondolewa, ndo ifuate kwenye media zingine sasa.
Na kwa nini ziondolewe wakati hapa jukwaani ni sehemu yake. Ushabiki upon kila sehemu na huwezi kupangia watu washabikie vtu vingine hata ka hawapendi. Na vile vile kuna watu wasio shabikia kati ya hizi timu mbili. Na kila kitu kina nafasi yake. Sioni umuhimu wa kutoa nyuzi eti ili kuondoa u timu.
 
Last edited by a moderator:
Team ziko duniani kote hata juzi Chris Brown aliposhinda BET tuzo mbili alishukuru #TeamBreezy kwa kua nae bega kwa bega tangia aingie jela atoke mpaka anaendelea kung'aa. Cha muhimu ni zitumike vzr sio zitumike moja kumshusha mwengine au kuleta chuki kati ya wasanii.
Timu dunia zipo Nazi na survive tu ila hapo kwa kushushwa na kupandishwa hebu nipe more clarification kivipi labda.
 
Na kwa nini ziondolewe wakati hapa jukwaani ni sehemu yake. Ushabiki upon kila sehemu na huwezi kupangia watu washabikie vtu vingine hata ka hawapendi. Na vile vile kuna watu wasio shabikia kati ya hizi timu mbili. Na kila kitu kina nafasi yake. Sioni umuhimu wa kutoa nyuzi eti ili kuondoa u timu.

Tatizo haya matimu yanafanya watu wanakuwa mapunguani, na upofu kabisa.

Lakin mbaya zaidi ni pressure iliyofika mpaka kwenye media.

Kuna mapimbi yalimlalamikia Dj Zero. , eti hachezi ngoma za Ali kiba wanazokua wameziomba. Huu ndo upofu nnao sema , watu wanakesha kuhesabu KIBA kechezwa mara ngapi na DI kachezwa mara ngapi. Dj asipocheza track majungu yanaanza. Damn it. Tumefikaje hapa?

HELL NO, WE HAVE SOME GOOD MUSIC S'WHERE ELSE.

Team hzi zife.
 
Mi binafsi yangu siko tayari kuacha unoko wa kumshabikia Rais wa Wasafi kiroho mbaya!Hao wasanii wengine wakitaka waanzishe team zao kama alivyoanzisha JUX,sio lazima tuwe na timu mbili za KIBA na MONDI.

Dawa kubwa hapa ni kila msanii aanzishe Team yake na hapo ndipo hizi team mbili zitakosa nguvu maana mashabiki ni walewale.
Maana naona Ally na Naseeb wanaona sifa sana tunavyotukanana kwa ajili yao!dawa ni kila msanii aanzishe team yake ndipo tutakapoheshimiana.
 
Tatizo haya matimu yanafanya watu wanakuwa mapunguani, na upofu kabisa.

Lakin mbaya zaidi ni pressure iliyofika mpaka kwenye media.

Kuna mapimbi yalimlalamikia Dj Zero. , eti hachezi ngoma za Ali kiba wanazokua wameziomba. Huu ndo upofu nnao sema , watu wanakesha kuhesabu KIBA kechezwa mara ngapi na DI kachezwa mara ngapi. Dj asipocheza track majungu yanaanza. Damn it. Tumefikaje hapa?

HELL NO, WE HAVE SOME GOOD MUSIC S'WHERE ELSE.

Team hzi zife.

Sio tu mapunguani ni mahaba yaliowazidi kwa wawapendao ndo mana wanakua vipofu kabisa. Unafanya hata watu hawa reason vizuri kwenye mambo.
Hizi timu ni nzuri sana kwa Ku support wasanii sema watu wana go beyond kuweka chuki uadui simply kwa ajili ya kutofautiana na kugeuza hata kilicho kizuri kuwa kibaya.
Huyo DJ ka hachezi nyimbo za kiba mashabiki wana haki ya kumuuliza. Ukiwa shabiki unakua kipofu hao wanaohesabu ni Ku show concern kwa msanii wote.
Honestly nazipenda hizi timu na ctaki zife kabisa.
 
Team ziko duniani kote hata juzi Chris Brown aliposhinda BET tuzo mbili alishukuru #TeamBreezy kwa kua nae bega kwa bega tangia aingie jela atoke mpaka anaendelea kung'aa. Cha muhimu ni zitumike vzr sio zitumike moja kumshusha mwengine au kuleta chuki kati ya wasanii.

Nakupa 100 ya 100

Ucku mwema double B
 
Mi binafsi yangu siko tayari kuacha unoko wa kumshabikia Rais wa Wasafi kiroho mbaya!Hao wasanii wengine wakitaka waanzishe team zao kama alivyoanzisha JUX,sio lazima tuwe na timu mbili za KIBA na MONDI.

Dawa kubwa hapa ni kila msanii aanzishe Team yake na hapo ndipo hizi team mbili zitakosa nguvu maana mashabiki ni walewale.
Maana naona Ally na Naseeb wanaona sifa sana tunavyotukanana kwa ajili yao!dawa ni kila msanii aanzishe team yake ndipo tutakapoheshimiana.

Hapo dada unapotoka, unaposema kila msanii aanzishe team yake. Its very wrong.

Kumbuka hizi team zilianza kimizahamizaha, lakini ghafla mtu unajikuta unajenga chuki kali kabisa for no reason. Hili lilianza ntokea mimi, nashkuru nimeshtuka mapema. For sure nilianza chuki kali kabisa dhdi ya kiba, as kitu kinapoendekezwa na kupambwa sana kinageuka kinajenga mizizi na kinakuwa kweli. Kuja shtuka inakuwa too late. Mziki ushakufa.

Hapa tuwaite Matola na Chinga One wafanye consultations na Invisible na Moderator uzi hzi mbili zifutiliwe mbali., ambazo nimesha apa sintang'aa tena ktk uzi hzo mbili.

Kama tunataka tuwe chachu ya mabadiliko tuanze sisi. IT BEGINS WITH US.

"UA TIMU, BRING BACK BONGO FLAVOR TO ALL ARTISTS"
 
Last edited by a moderator:
Timu dunia zipo Nazi na survive tu ila hapo kwa kushushwa na kupandishwa hebu nipe more clarification kivipi labda.

Yani kua kiba au mondi akitoa ngoma kali basi mtu kwa chuki unaponda, no isiwe hivo yani cha kusifiwa kisifiwe isiwe upinzani ad wakuponda kilichobora kutoka upande wowote" hiz team mara nyingi ni kuvote kama ikiwa msanii yuko nominated kwenye tuzo ndio kazi yke kubwa, lkn c kusifia tu adi vibovu nop"
 
Hapo dada unapotoka, unaposema kila msanii aanzishe team yake. Its very wrong.

Kumbuka hizi team zilianza kimizahamizaha, lakini ghafla mtu unajikuta unajenga chuki kali kabisa for no reason. Hili lilianza ntokea mimi, nashkuru nimeshtuka mapema. For sure nilianza chuki kali kabisa dhdi ya kiba, as kitu kinapoendekezwa na kupambwa sana kinageuka kinajenga mizizi na kinakuwa kweli. Kuja shtuka inakuwa too late. Mziki ushakufa.

Hapa tuwaite Matola na Chinga One wafanye consultations na Invisible na Moderator uzi hzi mbili zifutiliwe mbali., ambazo nimesha apa sintang'aa tena ktk uzi hzo mbili.

Kama tunataka tuwe chachu ya mabadiliko tuanze sisi. IT BEGINS WITH US.

"UA TIMU, BRING BACK BONGO FLAVOR TO ALL ARTISTS"

Na nikikumiss nakukuta wapi, nilishakuzoea na mbolea zako ujue!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom