Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,327
- 24,192
Jeshi si mgambo wa kutumika kiholela.Hivi hata unaelewa maana ya Jeshi? Unajua hata JKT ni Jeshi pia? Sasa unajua kazi JKT wanazofanya?
Mimi nimefika Uswisi wanaolinda Balozi za nchi mbali mbali ni Wanajeshi wa Uswisi na siyo Polisi, yaani ukienda Ubalozini unakutana na Mwanajeshi wa Uswisi analinda!