Military Politics: Is Magufuli in danger?

Military Politics: Is Magufuli in danger?

IGP kashindwa kazi?
kapangiwa huku
tapatalk_1521573172425.jpeg
 
Nianze kwa kusema kwamba miaka mitatu inatosha

JPM anatumia Jeshi katika operesheni mbalimbali lakini je anaelewa kwamba The army has no loyalty?Katika siasa za majeshi mwanajeshi hafundishwi siasa ya loyalty anafundishwa survival.

Unapoamua kutumia Jeshi katika operesheni yoyote ila lazima iwe na lengo moja Kutishia,kuogopesha na kushurutisha.Lakini unapolitumia Jeshi kushughulika na mambo ya raia unatakiwa ujue kwamba mahaba kati ya Jeshi na Raia yanaweza kufanya kuibuka kwa mawazo ya kimapinduzi kwa wanajeshi hasa iwapo unawatumia kukandamiza wananchi na wanyonge.

Kumbuka Soldiers have no Loyalty,they train to survive.

Nimshauri tu mheshimiwa raisi hata kama hana imani na watendaji wa serikali yake awe makini na matumizi ya jeshi letu.

Asiwageuze wanajeshi wetu vibarua wakutumwa kushughulikia hata issue zisizo na maslahi ya taifa.

Ha wa watu hawajawa trained kubeba magunia ya korosho na kubangu,Hawajawa trained kujenga kuta na kufanya shughuli za suluba.Wamefundishwa Vita,Kama usipowapa Vita watakuletea Vita.
Uzi mzito huu!! Siongezi neno. Naamini mwandishi ni mwanajeshi au ana uzoefu na mambo ya kijeshi
 
Nianze kwa kusema kwamba miaka mitatu inatosha

JPM anatumia Jeshi katika operesheni mbalimbali lakini je anaelewa kwamba The army has no loyalty?Katika siasa za majeshi mwanajeshi hafundishwi siasa ya loyalty anafundishwa survival.

Unapoamua kutumia Jeshi katika operesheni yoyote ila lazima iwe na lengo moja Kutishia,kuogopesha na kushurutisha.Lakini unapolitumia Jeshi kushughulika na mambo ya raia unatakiwa ujue kwamba mahaba kati ya Jeshi na Raia yanaweza kufanya kuibuka kwa mawazo ya kimapinduzi kwa wanajeshi hasa iwapo unawatumia kukandamiza wananchi na wanyonge.

Kumbuka Soldiers have no Loyalty,they train to survive.

Nimshauri tu mheshimiwa raisi hata kama hana imani na watendaji wa serikali yake awe makini na matumizi ya jeshi letu.

Asiwageuze wanajeshi wetu vibarua wakutumwa kushughulikia hata issue zisizo na maslahi ya taifa.

Ha wa watu hawajawa trained kubeba magunia ya korosho na kubangu,Hawajawa trained kujenga kuta na kufanya shughuli za suluba.Wamefundishwa Vita,Kama usipowapa Vita watakuletea Vita.
Loyalty ya jeshi kwa rais huvunjika hali inapokuwa mbaya na rais kawa madarakani muda mrefu, hapa Tz mpaka army ije poteza loyalty kwa rais bado sana. Mnayoongea ni ya kufikirika na kufurahisha genge.
 
In short tuseme tu kuwa ana-abuse power tuliyompa ya u-kamanda-in-chifu vibaya mno

Kuna haja ya Bunge kuanza process ya kumu-impeach huyu Bwana kabla nchi yetu haijatumbukia jumla jumla shimoni
Commander in chif, army itatekeleza chochote wanachoambiwa na c in c.
 
Loyalty ya jeshi kwa rais huvunjika hali inapokuwa mbaya na rais kawa madarakani muda mrefu, hapa Tz mpaka army ije poteza loyalty kwa rais bado sana. Mnayoongea ni ya kufikirika na kufurahisha genge.
Unakumbuka ya nyerere ....?!
 
Chama cha kisiasa kinapo nadi Sera zake kwenye kampeni kikashinda uchaguzi maana yake ni kwamba kitakapo kabidhiwa dola bila kuvunja katiba ya nchi kitatumia rasilimali zilizomo nchini kutimiza ilani zake kwahiyo punguzeni CHUKIMIHEMKO.
 
Inanikumbusha ile ya Mobutu kuipeleka timu yake ya taifa kwenye kambi ya jeshi na kuwaabia wakifungwa zaidi ya bao TANO na Brazil wote wakirudi watakula shaba hahahahahah!!!...
 
Nianze kwa kusema kwamba miaka mitatu inatosha

JPM anatumia Jeshi katika operesheni mbalimbali lakini je anaelewa kwamba The army has no loyalty?Katika siasa za majeshi mwanajeshi hafundishwi siasa ya loyalty anafundishwa survival.

Unapoamua kutumia Jeshi katika operesheni yoyote ila lazima iwe na lengo moja Kutishia,kuogopesha na kushurutisha.Lakini unapolitumia Jeshi kushughulika na mambo ya raia unatakiwa ujue kwamba mahaba kati ya Jeshi na Raia yanaweza kufanya kuibuka kwa mawazo ya kimapinduzi kwa wanajeshi hasa iwapo unawatumia kukandamiza wananchi na wanyonge.

Kumbuka Soldiers have no Loyalty,they train to survive.

Nimshauri tu mheshimiwa raisi hata kama hana imani na watendaji wa serikali yake awe makini na matumizi ya jeshi letu.

Asiwageuze wanajeshi wetu vibarua wakutumwa kushughulikia hata issue zisizo na maslahi ya taifa.

Ha wa watu hawajawa trained kubeba magunia ya korosho na kubangu,Hawajawa trained kujenga kuta na kufanya shughuli za suluba.Wamefundishwa Vita,Kama usipowapa Vita watakuletea Vita.
Kama usipowapa vita watakuletea vita.... [emoji848][emoji848][emoji848][emoji15][emoji15][emoji15][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]
 
Back
Top Bottom