Military Politics: Is Magufuli in danger?

Military Politics: Is Magufuli in danger?

Hivi hata unaelewa maana ya Jeshi? Unajua hata JKT ni Jeshi pia? Sasa unajua kazi JKT wanazofanya?
Mimi nimefika Uswisi wanaolinda Balozi za nchi mbali mbali ni Wanajeshi wa Uswisi na siyo Polisi, yaani ukienda Ubalozini unakutana na Mwanajeshi wa Uswisi analinda!
Basi tushajua umefika uswiz

Ova
 
Toeni ujinga wenu hapa..watu wanakaa hawana kazi wanakunywa tu bia na kula mishahara..Ni lazima washiriki na shughuli za uchumi..kaulizie nchi ya Misri ni Vipi imepiga hatua.
Akili za kuambiwa bhana, misri imeendelea kutokana na wajeda? Kweli mkuu?? Urudi darasan ww
 
Hivi hata unaelewa maana ya Jeshi? Unajua hata JKT ni Jeshi pia? Sasa unajua kazi JKT wanazofanya?
Mimi nimefika Uswisi wanaolinda Balozi za nchi mbali mbali ni Wanajeshi wa Uswisi na siyo Polisi, yaani ukienda Ubalozini unakutana na Mwanajeshi wa Uswisi analinda!
Aisee nina dollar zangu Credit Swiss kama 10 US $
 
ukisikia kauli za maafisa waaandaamizi wa majeshi wanavyoongea kuhusu awamu hasa baada ya sharia mpya ya mafao basi unajua dhahiri muda wowote hii nchi itavurugika..majeshi yetu yamevurugwa na hawana hamu tena na awamu hii
 
Hebu sikiliza vizuri ufafanuzi wa Gavana, anasema wamelazimika kutumia Jeshi la wananchi kwa sababu Polisi walikuwa kwenye mitihani ya form 2. Kwa maana nyingine matumizi ya JW ni dharura ila wapo waliostahili kutumika. Sisi tusioshikiwa akili tunasema waliostahili wapo wa kutosha. Sasa wewe hizi ngonjera zilizo tofauti na maelezo ya Gavana unazitoa wapi?
Wanajeshi wengi hawapendi sana kufanyishwa kazi za Polisi.

Wanaona kama wamedharaulika.
 
Toeni ujinga wenu hapa..watu wanakaa hawana kazi wanakunywa tu bia na kula mishahara..Ni lazima washiriki na shughuli za uchumi..kaulizie nchi ya Misri ni Vipi imepiga hatua.
Poole. Hujui usemacho
 
Mnanishangaza sana kwani jeshi limekatazwa kazi yeyote kati ya wanazopangiwa na Magufuli?

Onesha kifungu chochote kinachoonesha kwamba jeshi linakatazwa kufanya kazi gani na kazi gani?

Yeye ndo amiri jeshi mkuu hata akiamua kwamba wao ndo wasafishe jiji msiulize

Hata akisema ndo walinde mabenki yote hakuna haja ya kuuliza

Hata akisema kwamba wao ndo walinde clubs zote hakuna mtu wa kuuliza

Hata akisema kila headmaster wa shule za serikali awe mjeda hakuna haja ya kuuliza

Hata akisema call centres kwenye mitandao wakae wajeda kaa kimya
Samahani Mkuu, upo serious au unatuchora
 
Back
Top Bottom