Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,741
- 861,143
Scared owl?The President is being intimidated by and is trying to run away from his own shadow!
Scared owl?The President is being intimidated by and is trying to run away from his own shadow!
Yule ya jaribio la mjeremani wa timu ya simba ilikuwa ni baadae sana kama nilivyosema ktk maelezo yangu.Unakumbuka ya nyerere ....?!
Wanajeshi wakitumika kufyeka nyasi mitaani it is ok, wakilinda forex bureaux sio ok. Wakibeba korosho sio ok.Ushauri mzuri huu. Wsnajeshi wabaki kwenye field yao. Maana sasa kufanya kazi za kiraia ni matumizi mabaya ya rasilimali
Wanajeshi wakitumika kufyeka nyasi mitaani it is ok, wakilinda forex bureaux sio ok. Wakibeba korosho sio ok.
Magufuli ameletwa kwama njia ya ukombozi wa watanzania, kwamba yeye ni njia ya kuiua ccm dhalimu na serikali yake ili ile nyingine iweze kuja. Na njia hizi ni sahihi kabisa ktk kuibonoa serikali hii ya kibabeli.Nianze kwa kusema kwamba miaka mitatu inatosha
JPM anatumia Jeshi katika operesheni mbalimbali lakini je anaelewa kwamba The army has no loyalty?Katika siasa za majeshi mwanajeshi hafundishwi siasa ya loyalty anafundishwa survival.
Unapoamua kutumia Jeshi katika operesheni yoyote ila lazima iwe na lengo moja Kutishia,kuogopesha na kushurutisha.Lakini unapolitumia Jeshi kushughulika na mambo ya raia unatakiwa ujue kwamba mahaba kati ya Jeshi na Raia yanaweza kufanya kuibuka kwa mawazo ya kimapinduzi kwa wanajeshi hasa iwapo unawatumia kukandamiza wananchi na wanyonge.
Kumbuka Soldiers have no Loyalty,they train to survive.
Nimshauri tu mheshimiwa raisi hata kama hana imani na watendaji wa serikali yake awe makini na matumizi ya jeshi letu.
Asiwageuze wanajeshi wetu vibarua wakutumwa kushughulikia hata issue zisizo na maslahi ya taifa.
Ha wa watu hawajawa trained kubeba magunia ya korosho na kubangu,Hawajawa trained kujenga kuta na kufanya shughuli za suluba.Wamefundishwa Vita,Kama usipowapa Vita watakuletea Vita.
Jeshi La Kubangua Korosho Tanzania ( JLKT)Rais anatumia Jeshi kama vibaraka wake wa kutekelezasera zake za kisiasa.
Asichokijua Rais ni kwamba Jeshi(JWTZ)ni jeshi la ULINZI na sio KIKOSI cha uzalishaji mali.
JWTZ wanapaswa kulinda amani ya nchi na majirani zetu sio kwenda kufanya kazi za JKT!
Rais wetu hana staha kabisa ......JWTZ wapo kwa kazi za kifani sio kubangua korosho.....hawa wachache anaowateua kwenye nyadhifa za kisiasa sio wawajibikaji wa jeshi maana wengi wao ni wastaafu(wanajeshi hawastaafu kwenye fani zao za kijeshi)...!
A Country is Not a Company Running a Government is Not like Family MattersNajua na kukubali msisitizo wa matukio ambayo Amiri Jeshi mkuu amedhamiria kuyafanya, hasa yenye tija kwa Taifa.
Hata hivyo kwa maoni yangu, sikubsliani na matumizi ya Jeshi letu tukufu kwa mambo ambayo kimsingi na kikatiba ni ya kiraia.
Jeshi letu ni tiifu na proffessionals, lakini hili la kuwapeleka kusomba korosho, kwa kauli kuwa watazibangua na meno, na sasa kule Arusha kulinda maduka ya Forex!
Kuwachanganya wanajeshi na shughuli za kiraia kutaleta conflicts ambazo si za lazima, na mbaya zaidi kuwapunguzia morali.
Sokoine aliwahi kusema, wito wa jeshi ni ya vijana walio waliokalia harufu ya damu, kulinda nchi.
Tunaomba watumike kwa wito huo.
Wanatumika sababu hao waliotakiwa wameshindwa timiza majukumu yao eidha kiutendaji kazi au uaminifu.Kuna kazi zao muhimu, za kufanya sasa Raia wa kawaida wafanye shughuli gani? Maana wajeda sio wanasiasa kulinda mabenki hufanywa na kampuni za ulinzi sasa ukitumia wajeda Raia wengine watapata wapi kazi.
Wanatumika sababu hao waliotakiwa wameshindwa timiza majukumu yao eidha kiutendaji kazi au uaminifu.
Toeni ujinga wenu hapa..watu wanakaa hawana kazi wanakunywa tu bia na kula mishahara..Ni lazima washiriki na shughuli za uchumi..kaulizie nchi ya Misri ni Vipi imepiga hatua.
Kazi gani zaidi ya lindo wewe.acheni wafanye KAZI wajenge nchi yetuAliekwambia kuwa jeshini hakuna kazi ni nani. Wanazonyingi sana.., naish karibia na kambi.. wanajeshi wanachakarika muda wote.
Ww ndio hufaluatilii mambo
Mzee soldiers are warriors.Any other duty/training is militaristic.Yaani hata ukiwa mpishi,Daktari,Rubani,Mwalimu,Mkunga etc ni wa Kijeshi sio kwa ajili ingineni kweli wanajeshi hufundishwa vita pekee!!??......tunawasubili wataalam mje mthibitishe.
mbona wanafanya kazi nyingi tu mnataka wakae tu makambini bila kufanya kazi mimi binafisi na mshukru baba jesca kuwapa kazi waache kufuga vitambi tuAliekwambia kuwa jeshini hakuna kazi ni nani. Wanazonyingi sana.., naish karibia na kambi.. wanajeshi wanachakarika muda wote.
Ww ndio hufaluatilii mambo
Nadhan hujanipata uzuri. Sipingi kuwa wasipangiwe kazi hapana, ila mule kambini kuna kada kama za uraiani, na wanachapa kazi muda wote.. amna mtu unamkuta amekaa kizembe mle ndani.mbona wanafanya kazi nyingi tu mnataka wakae tu makambini bila kufanya kazi mimi binafisi na mshukru baba jesca kuwapa kazi waache kufuga vitambi tu