Sawa,ndivyo tunavyotaka.
Kuna mtu anaitwa Lawrence Mafuru, ni banker anayeheshimika kimataifa. Alikuwa Msajili Hazina hapo.
Alimshauri rais dhidi ya kubana sana mzunguko wa fedha kwa mara moja, akampa hoja za kisomi na njia mbadala za kufuata ilikupata matokeo yale yale aliyoyataka rais,bila kuharibu uchumi.
Rais akakataa,akampiga Mafuru bench.
Sasa hivi tunaona ushauri wa Mafuru ulivyopuuzwa, matatizo ya mzunguko wa fedha yaliyopo nchini.
Mtu kama huyu inatakiwa unamshauri, akikataa, unajiuzulu, unaanika madudu yote kutoka nje watu wajue.