Na akilijua hili amevuka .....yeye asiangalie wenzakeAmini wakati wako upo njiani
Don't pressurize yourself by looking others,
Trust the process,your time will come.
Mkuu nina 32 kama Mtoa mada, gari najua kuendesha, nina leseni hai yenye madaraja D na E. Pamoja na cheti cha VETA cha udereva wa magari makubwa.Una miaka mingapi?unajua kuendesha gari?
Mbona umesoma vitu ambazo ni rahisi kujiajiri binafsi tena kwa ulimwengu wa sasa wa maendeleo ya science na teknolojia umejipata.Mostly, mpaka leo na-master....
1. Android development
2. Sql server database developer
3. C# developer
4. PC mantainance (but si sana hii)....
5. Website developer
Sijisifu lakini ndiyo ukweli.
Mjukuu wangu yupo "form three" Tanzania hii tena mbali na jiji, hajawahi kukaa bila kufanya kazi siku za Jumamosi, Jumapili, Holidays na Livu zao za shule.
Ni malezi tu. Huyo analelewa na FaizaFoxy toka ana mwaka mmoja na nusu. Nimemlea kwa mtindo wa "No free Lunch". N asijam "influence" kabisa kumtafutia kazi za kufanya "connections" anazitafuta mwenyewe, mimi nampa ushauri tu inapobidi. Yupo huru kuufata au kuutosa.
Kuna nddugu yangu mmoja siku moja alinilalamikia mwanae kamaliza chuo mwaka juzi hana kazi, kama kuna mpango wowote nisimsahau. Nikamwambia mpango upo, amlete kwangu, akamleta, baada ya wiki tu, huyu kijukuu ambacho bado kipo "form three" ndiyo kinamtafutia kazi za kufanya "anko" wake.
Mie nawatazama tu, unaenda mwezi wa pili na zaidi huu.
Vijana mnaotafuta kazi, ulizeni niwape ushauri. Tanzania kuna kazi nyingi sana za kufanya na na zinakutafuta wewe, siyo wewe uzitafute.
Nipo tayari kupokea ushauri wako. Natanguliza shukran.Sijisifu lakini ndiyo ukweli.
Mjukuu wangu yupo "form three" Tanzania hii tena mbali na jiji, hajawahi kukaa bila kufanya kazi siku za Jumamosi, Jumapili, Holidays na Livu zao za shule.
Ni malezi tu. Huyo analelewa na FaizaFoxy toka ana mwaka mmoja na nusu. Nimemlea kwa mtindo wa "No free Lunch". N asijam "influence" kabisa kumtafutia kazi za kufanya "connections" anazitafuta mwenyewe, mimi nampa ushauri tu inapobidi. Yupo huru kuufata au kuutosa.
Kuna nddugu yangu mmoja siku moja alinilalamikia mwanae kamaliza chuo mwaka juzi hana kazi, kama kuna mpango wowote nisimsahau. Nikamwambia mpango upo, amlete kwangu, akamleta, baada ya wiki tu, huyu kijukuu ambacho bado kipo "form three" ndiyo kinamtafutia kazi za kufanya "anko" wake.
Mie nawatazama tu, unaenda mwezi wa pili na zaidi huu.
Vijana mnaotafuta kazi, ulizeni niwape ushauri. Tanzania kuna kazi nyingi sana za kufanya na na zinakutafuta wewe, siyo wewe uzitafute.
Pole mkuu tuko wengi ila tulipoona kazi hazipatikani tuamua kuangalia sehemu tofauti na maisha yanasonga tu freshHabari wanaJF....
Toka nko Primary school (PS), walimu wetu walipenda sana kutusihi kusoma kwa bidii ili tufanikiwe kimaisha. Toka mentality hiyo ya PS, niliwekeza mda wangu kwenye kusoma kwa bidii ili niyaishi maisha wanayosema walimu wetu.
Nmesoma shule kwa takilibani miaka 16 (toka Primary school mpaka nachukua degree yangu) kwa juhudi kubwa sana. Hatimae mambo yaligeuka toka pale nilipomaliza chuo na kurudi mitaani kufuata maisha yale walimu wetu walituambia, chakushangaza mambo yako tofauti kabsa.
Sasa na miaka 8 toka nmemaliza chuo, sjawahi kupata kazi ya maana. Tofauti na vibarua vidogo vidogo baada ya kumaliza chuo. Si kwamba skutafuta kazi, nmezunguka almost mikoa 8 Tanzania, nmefanya interviews za serikali zaidi ya 20, private sector zaidi ya 60. Nmerudi nyumban wale niliowaacha la 7 na F4, wana nyumba, biashara wengine magari.
Conclusion:
Tanzania [emoji1241] elimu haina maana.
Kwanza sina PM mimi.Ukiacha uzombi wa dini ya waarabu huwa uko smart sana,mwaga mtama huku mambo ya kukutafuta pm yatafaidia wachache.
7yrs ukaanza shule. Ukasoma kwa 16yrs . Unatafuta kazi kwa 8yrs. Hivyo umri wako ni kati ya miaka 30-33. Bado Jua halijazama una muda wa kupambana ila kama hujapata mtoto umezingua.Habari wanaJF....
Toka nko Primary school (PS), walimu wetu walipenda sana kutusihi kusoma kwa bidii ili tufanikiwe kimaisha. Toka mentality hiyo ya PS, niliwekeza mda wangu kwenye kusoma kwa bidii ili niyaishi maisha wanayosema walimu wetu.
Nmesoma shule kwa takilibani miaka 16 (toka Primary school mpaka nachukua degree yangu) kwa juhudi kubwa sana. Hatimae mambo yaligeuka toka pale nilipomaliza chuo na kurudi mitaani kufuata maisha yale walimu wetu walituambia, chakushangaza mambo yako tofauti kabsa.
Sasa na miaka 8 toka nmemaliza chuo, sjawahi kupata kazi ya maana. Tofauti na vibarua vidogo vidogo baada ya kumaliza chuo. Si kwamba skutafuta kazi, nmezunguka almost mikoa 8 Tanzania, nmefanya interviews za serikali zaidi ya 20, private sector zaidi ya 60. Nmerudi nyumban wale niliowaacha la 7 na F4, wana nyumba, biashara wengine magari.
Conclusion:
Tanzania [emoji1241] elimu haina maana.
naam, jielezee kwa uchache, uko wapi na umesoma mpaka kiwango kipi? Towa shaka kijana, hapa umefika kwao.Nipo tayari kupokea ushauri wako. Natanguliza shukran.
Uko wapi?Habari wanaJF....
Toka nko Primary school (PS), walimu wetu walipenda sana kutusihi kusoma kwa bidii ili tufanikiwe kimaisha. Toka mentality hiyo ya PS, niliwekeza mda wangu kwenye kusoma kwa bidii ili niyaishi maisha wanayosema walimu wetu.
Nmesoma shule kwa takilibani miaka 16 (toka Primary school mpaka nachukua degree yangu) kwa juhudi kubwa sana. Hatimae mambo yaligeuka toka pale nilipomaliza chuo na kurudi mitaani kufuata maisha yale walimu wetu walituambia, chakushangaza mambo yako tofauti kabsa.
Sasa na miaka 8 toka nmemaliza chuo, sjawahi kupata kazi ya maana. Tofauti na vibarua vidogo vidogo baada ya kumaliza chuo. Si kwamba skutafuta kazi, nmezunguka almost mikoa 8 Tanzania, nmefanya interviews za serikali zaidi ya 20, private sector zaidi ya 60. Nmerudi nyumban wale niliowaacha la 7 na F4, wana nyumba, biashara wengine magari.
Conclusion:
Tanzania [emoji1241] elimu haina maana.
Itakua from IFM hiiInformation Technology (IT)
Ni kijana wa miaka 32, Niko Dar, kiwango cha juu cha elimu ni Diploma ya Sheria niliyohitimu 2013.naam, jielezee kwa uchache, uko wapi na umesoma mpaka kiwango kipi? Towa shaka kijana, hapa umefika kwao.
Habari wanaJF....
Toka nko Primary school (PS), walimu wetu walipenda sana kutusihi kusoma kwa bidii ili tufanikiwe kimaisha. Toka mentality hiyo ya PS, niliwekeza mda wangu kwenye kusoma kwa bidii ili niyaishi maisha wanayosema walimu wetu.
Nmesoma shule kwa takilibani miaka 16 (toka Primary school mpaka nachukua degree yangu) kwa juhudi kubwa sana. Hatimae mambo yaligeuka toka pale nilipomaliza chuo na kurudi mitaani kufuata maisha yale walimu wetu walituambia, chakushangaza mambo yako tofauti kabsa.
Sasa na miaka 8 toka nmemaliza chuo, sjawahi kupata kazi ya maana. Tofauti na vibarua vidogo vidogo baada ya kumaliza chuo. Si kwamba skutafuta kazi, nmezunguka almost mikoa 8 Tanzania, nmefanya interviews za serikali zaidi ya 20, private sector zaidi ya 60. Nmerudi nyumban wale niliowaacha la 7 na F4, wana nyumba, biashara wengine magari.
Conclusion:
Tanzania [emoji1241] elimu haina maana.
Nenda mahakama ya Kisutu pale maktaba, utawaona mawakili wengi tu, huwa wanavaa makoti myeusi.Ni kijana wa miaka 32, Niko Dar, kiwango cha juu cha elimu ni Diploma ya Sheria niliyohitimu 2013.
Fani nyinginezo;
Ufundi wa kunyoosha magari/Auto body repair level i (VETA) nilihitimu 2015,
Udereva wa magari madogo na makubwa (VETA) nilihitimu 2018.
Kuwa na F ya kiswahili hakuhalalishi wewe kuwa mpumbavu wa kushindwa kuandika kiswahili vizuri. Inawezekana hii ikawa sababu ya wewe kukosa kazi.So sorry,
Na D ya kiswahili F4,
Then, PCB (Bwiru boys)
Then, IT. So, sina uwezo wa kutofautisha ata na hata...nisamehe mkuu.