Jimmy George Sanga
Senior Member
- Jan 28, 2022
- 134
- 251
Tafuta connection kazi zipo mbona
Tafuta connection kazi zipo mbona
Kuna mtu nilimsikia akiongea kauli fulani fupi ila inamaana sana kwa kizazi hiki.Elimu ni Kwa manufaa yako ndugu yangu. Pambana Kwa ajili ya kesho yako. Ajira yako itokane na akili yako, nguvu zako na utimamu wa mwili uliojaaliwa na muumba. Usiweke matarajio yako Kwa watu. Success lies on your own shoulders. It's your burden dude! Pambana!!
Hujapoteza chochote comrade,,,hao waliokutangulia kujenga, wewe ukijenga Sasa hivi, nyumba yako itakuwa mpya na ya kisasa zaidi. Kama hujaoa, ukuoa, utaoa mwanamke mwenye malengo na mtazamo unao utaka. Una nafasi ya kufanya kila kitu unachokitaka kama utasahau kujilaumu na kuwekeza maarifa ulio nayo kujipatia kipato.Thanks for your most exciting highlights...
But, the only issues is my lost time...
Ningekwambia kama usingeweka emoj,mwaka huu kilimo pekee kimeniingizia pesa nyingi na bado kuna mazao shambani[emoji23][emoji23][emoji23]
Unalima mkoa gani kisomi...??
Mostly, mpaka leo na-master....IT ni pana
Umejikita kwenye nyanja ipi ya IT?
Programmer, Developer, Networking, Server/Storage?
Hapo sawa nimekuekewa,utajiri uko shambani,dirty hands clean money,niko kanda ya ziwa hukuNmeweka emoji sababu, umesema tulime kusomi. So nikajikuta nmefurahi tu. Forgive me.. mkuu
Asante sana, mkuuHujapoteza chochote comrade,,,hao waliokutangulia kujenga, wewe ukijenga Sasa hivi, nyumba yako itakuwa mpya na ya kisasa zaidi. Kama hujaoa, ukuoa, utaoa mwanamke mwenye malengo na mtazamo unao utaka. Una nafasi ya kufanya kila kitu unachokitaka kama utasahau kujilaumu na kuwekeza maarifa ulio nayo kujipatia kipato.
Komalia PC maintanence nenda Dodoma tafuta kijiwe fungua workshop,kuinstall window 10000,kucheki tatizo 5000,maintanence xxxxxMostly, mpaka leo na-master....
1. Android development
2. Sql server database developer
3. C# developer
4. PC mantainance (but si sana hii)....
5. Website developer
Exactly bongo soma km una connection hivhiv ni ushenzi tuHabari wanaJF....
Toka nko Primary school (PS), walimu wetu walipenda sana kutusihi kusoma kwa bidii ili tufanikiwe kimaisha. Toka mentality hiyo ya PS, niliwekeza mda wangu kwenye kusoma kwa bidii ili niyaishi maisha wanayosema walimu wetu.
Nmesoma shule kwa takilibani miaka 16 (toka Primary school mpaka nachukua degree yangu) kwa juhudi kubwa sana. Hatimae mambo yaligeuka toka pale nilipomaliza chuo na kurudi mitaani kufuata maisha yale walimu wetu walituambia, chakushangaza mambo yako tofauti kabsa.
Sasa na miaka 8 toka nmemaliza chuo, sjawahi kupata kazi ya maana. Tofauti na vibarua vidogo vidogo baada ya kumaliza chuo. Si kwamba skutafuta kazi, nmezunguka almost mikoa 8 Tanzania, nmefanya interviews za serikali zaidi ya 20, private sector zaidi ya 60. Nmerudi nyumban wale niliowaacha la 7 na F4, wana nyumba, biashara wengine magari.
Conclusion:
Tanzania [emoji1241] elimu haina maana.
Ninakushauri kitu ninachikifahamu,fuata huu ushauri wangu zingatia mkoa,Dodoma na sio kwingine utakuja kunikumbukaAsante sana mkuu. Ntalifanyia kazi hili wazo...