DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 5,960
- 11,432
Pole sana mkuu... Komaa tu
Umesoma lakini hukuelimika.Habari wanaJF....
Toka nko Primary school (PS), walimu wetu walipenda sana kutusihi kusoma kwa bidii ili tufanikiwe kimaisha. Toka mentality hiyo ya PS, niliwekeza mda wangu kwenye kusoma kwa bidii ili niyaishi maisha wanayosema walimu wetu.
Nmesoma shule kwa takilibani miaka 16 (toka Primary school mpaka nachukua degree yangu) kwa juhudi kubwa sana. Hatimae mambo yaligeuka toka pale nilipomaliza chuo na kurudi mitaani kufuata maisha yale walimu wetu walituambia, chakushangaza mambo yako tofauti kabsa.
Sasa na miaka 8 toka nmemaliza chuo, sjawahi kupata kazi ya maana. Tofauti na vibarua vidogo vidogo baada ya kumaliza chuo. Si kwamba skutafuta kazi, nmezunguka almost mikoa 8 Tanzania, nmefanya interviews za serikali zaidi ya 20, private sector zaidi ya 60. Nmerudi nyumban wale niliowaacha la 7 na F4, wana nyumba, biashara wengine magari.
Conclusion:
Tanzania [emoji1241] elimu haina maana.
Unaujuzi gani?Habari wanaJF....
Toka nko Primary school (PS), walimu wetu walipenda sana kutusihi kusoma kwa bidii ili tufanikiwe kimaisha. Toka mentality hiyo ya PS, niliwekeza mda wangu kwenye kusoma kwa bidii ili niyaishi maisha wanayosema walimu wetu.
Nmesoma shule kwa takilibani miaka 16 (toka Primary school mpaka nachukua degree yangu) kwa juhudi kubwa sana. Hatimae mambo yaligeuka toka pale nilipomaliza chuo na kurudi mitaani kufuata maisha yale walimu wetu walituambia, chakushangaza mambo yako tofauti kabsa.
Sasa na miaka 8 toka nmemaliza chuo, sjawahi kupata kazi ya maana. Tofauti na vibarua vidogo vidogo baada ya kumaliza chuo. Si kwamba skutafuta kazi, nmezunguka almost mikoa 8 Tanzania, nmefanya interviews za serikali zaidi ya 20, private sector zaidi ya 60. Nmerudi nyumban wale niliowaacha la 7 na F4, wana nyumba, biashara wengine magari.
Conclusion:
Tanzania [emoji1241] elimu haina maana.
Una miaka mingapi?unajua kuendesha gari?Habari wanaJF....
Toka nko Primary school (PS), walimu wetu walipenda sana kutusihi kusoma kwa bidii ili tufanikiwe kimaisha. Toka mentality hiyo ya PS, niliwekeza mda wangu kwenye kusoma kwa bidii ili niyaishi maisha wanayosema walimu wetu.
Nmesoma shule kwa takilibani miaka 16 (toka Primary school mpaka nachukua degree yangu) kwa juhudi kubwa sana. Hatimae mambo yaligeuka toka pale nilipomaliza chuo na kurudi mitaani kufuata maisha yale walimu wetu walituambia, chakushangaza mambo yako tofauti kabsa.
Sasa na miaka 8 toka nmemaliza chuo, sjawahi kupata kazi ya maana. Tofauti na vibarua vidogo vidogo baada ya kumaliza chuo. Si kwamba skutafuta kazi, nmezunguka almost mikoa 8 Tanzania, nmefanya interviews za serikali zaidi ya 20, private sector zaidi ya 60. Nmerudi nyumban wale niliowaacha la 7 na F4, wana nyumba, biashara wengine magari.
Conclusion:
Tanzania [emoji1241] elimu haina maana.
usikate tamaaHabari wanaJF....
Toka nko Primary school (PS), walimu wetu walipenda sana kutusihi kusoma kwa bidii ili tufanikiwe kimaisha. Toka mentality hiyo ya PS, niliwekeza mda wangu kwenye kusoma kwa bidii ili niyaishi maisha wanayosema walimu wetu.
Nmesoma shule kwa takilibani miaka 16 (toka Primary school mpaka nachukua degree yangu) kwa juhudi kubwa sana. Hatimae mambo yaligeuka toka pale nilipomaliza chuo na kurudi mitaani kufuata maisha yale walimu wetu walituambia, chakushangaza mambo yako tofauti kabsa.
Sasa na miaka 8 toka nmemaliza chuo, sjawahi kupata kazi ya maana. Tofauti na vibarua vidogo vidogo baada ya kumaliza chuo. Si kwamba skutafuta kazi, nmezunguka almost mikoa 8 Tanzania, nmefanya interviews za serikali zaidi ya 20, private sector zaidi ya 60. Nmerudi nyumban wale niliowaacha la 7 na F4, wana nyumba, biashara wengine magari.
Conclusion:
Tanzania [emoji1241] elimu haina maana.
pole bana,[emoji23][emoji23] mimi pia ni muhanga wa ajira.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna muokota makopo aliwaambia wanafunzi wako form secondary wanamcheka akawaambia. Mtaani ni kama chooni mtakuja tu huku
Endelea kukariri kiimgereza cha google
Points sana💯Elimu ni Kwa manufaa yako ndugu yangu. Pambana Kwa ajili ya kesho yako. Ajira yako itokane na akili yako, nguvu zako na utimamu wa mwili uliojaaliwa na muumba. Usiweke matarajio yako Kwa watu. Success lies on your own shoulders. It's your burden dude! Pambana!!
IT za sasa hawajui hands on plus config....ndio maana hawaajiriki...hawajui chochote ni theory tu wamesoma kama notes....nani atakuajiri ukajifunze kazini ? Labda Govt sekta binafsi anataka kesho abakupa password unaingia kazini....sio uanze kufundishwa servers config au routers config.....database plus language zake.....nawaona IT wemgi siku hizi hawajui hands on wana depend suppliers kila kitu.......Duuuh,mzee IT mbona jobs online za kutosha tu unakwama wapi
Hasa kwa tusiokuwa na connection😃😃😃Conclusion:
Tanzania [emoji1241] elimu haina maana.
Shida kubwa mfumo wetu wa elimu ni wa kikoloni sana, unatuandaa kuajiriwa na ajira zenyewe hazipoHabari wanaJF....
Toka nko Primary school (PS), walimu wetu walipenda sana kutusihi kusoma kwa bidii ili tufanikiwe kimaisha. Toka mentality hiyo ya PS, niliwekeza mda wangu kwenye kusoma kwa bidii ili niyaishi maisha wanayosema walimu wetu.
Nmesoma shule kwa takilibani miaka 16 (toka Primary school mpaka nachukua degree yangu) kwa juhudi kubwa sana. Hatimae mambo yaligeuka toka pale nilipomaliza chuo na kurudi mitaani kufuata maisha yale walimu wetu walituambia, chakushangaza mambo yako tofauti kabsa.
Sasa na miaka 8 toka nmemaliza chuo, sjawahi kupata kazi ya maana. Tofauti na vibarua vidogo vidogo baada ya kumaliza chuo. Si kwamba skutafuta kazi, nmezunguka almost mikoa 8 Tanzania, nmefanya interviews za serikali zaidi ya 20, private sector zaidi ya 60. Nmerudi nyumban wale niliowaacha la 7 na F4, wana nyumba, biashara wengine magari.
Conclusion:
Tanzania [emoji1241] elimu haina maana.
Aisee! Inakuwaje msomi wa IT unalalamikia ajira! Kuna mwenzako nipo naye huku kijijini, ana degree yake ya IT kutoka Mzumbe! Aisee anapiga hela mpaka basi kupitia ofisi yake.Information Technology (IT)
Just form four fanya kozo songa mbeleAisee. Elimu ni ufunguo wa maisha, si kwamba haina maana.
Huwezi Fuga kuku bila kuwa na elimu yake.
Huwezi kuwa na biashara yenye mafanikio bila kuwa na elimu na uzoefu.
Elimu ni muhimu sana. Never give up. Keep trying at all cost, jifunze elimu mbadala, pambana.
Kama ni mwanaume, be a man.
Hii mtoto wangu wa Darasa la tatu Tena WA kike anafanya kwa majirani, kweli mtu aisomee mpaka university?Komalia PC maintanence nenda Dodoma tafuta kijiwe fungua workshop,kuinstall window 10000,kucheki tatizo 5000,maintanence xxxxx
Nakumbuka kipindi hicho hii fani ndiyo ilikuwa inaanza na watu wanasema ina dili sana hivyo wengi wakaikimbilia DIT na vyuo vingine kumbe famba tu!!!Information Technology (IT)