Miaka 8 bila kazi, tangu nimalize chuo kikuu

Miaka 8 bila kazi, tangu nimalize chuo kikuu

Habari wanaJF....

Toka nko Primary school (PS), walimu wetu walipenda sana kutusihi kusoma kwa bidii ili tufanikiwe kimaisha. Toka mentality hiyo ya PS, niliwekeza mda wangu kwenye kusoma kwa bidii ili niyaishi maisha wanayosema walimu wetu.

Nmesoma shule kwa takilibani miaka 16 (toka Primary school mpaka nachukua degree yangu) kwa juhudi kubwa sana. Hatimae mambo yaligeuka toka pale nilipomaliza chuo na kurudi mitaani kufuata maisha yale walimu wetu walituambia, chakushangaza mambo yako tofauti kabsa.

Sasa na miaka 8 toka nmemaliza chuo, sjawahi kupata kazi ya maana. Tofauti na vibarua vidogo vidogo baada ya kumaliza chuo. Si kwamba skutafuta kazi, nmezunguka almost mikoa 8 Tanzania, nmefanya interviews za serikali zaidi ya 20, private sector zaidi ya 60. Nmerudi nyumban wale niliowaacha la 7 na F4, wana nyumba, biashara wengine magari.

Conclusion:
Tanzania [emoji1241] elimu haina maana.
Umesoma lakini hukuelimika.

Ulienda shule kusomea ujinga.
 
Sijisifu lakini ndiyo ukweli.

Mjukuu wangu yupo "form three" Tanzania hii tena mbali na jiji, hajawahi kukaa bila kufanya kazi siku za Jumamosi, Jumapili, Holidays na Livu zao za shule.

Ni malezi tu. Huyo analelewa na FaizaFoxy toka ana mwaka mmoja na nusu. Nimemlea kwa mtindo wa "No free Lunch". Na sijam "influence" kabisa kumtafutia kazi za kufanya "connections" anazitafuta mwenyewe, mimi nampa ushauri tu inapobidi. Yupo huru kuufata au kuutosa.

Kuna ndugu yangu mmoja siku moja alinilalamikia mwanae kamaliza chuo mwaka juzi hana kazi, kama kuna mpango wowote nisimsahau. Nikamwambia mpango upo, amlete kwangu, akamleta, baada ya wiki tu, huyu kijukuu ambacho bado kipo "form three" ndiyo kinamtafutia kazi za kufanya "anko" wake.

Mie nawatazama tu, unaenda mwezi wa pili na zaidi huu.

Vijana mnaotafuta kazi, ulizeni niwape ushauri. Tanzania kuna kazi nyingi sana za kufanya na na zinakutafuta wewe, siyo wewe uzitafute.
 
Habari wanaJF....

Toka nko Primary school (PS), walimu wetu walipenda sana kutusihi kusoma kwa bidii ili tufanikiwe kimaisha. Toka mentality hiyo ya PS, niliwekeza mda wangu kwenye kusoma kwa bidii ili niyaishi maisha wanayosema walimu wetu.

Nmesoma shule kwa takilibani miaka 16 (toka Primary school mpaka nachukua degree yangu) kwa juhudi kubwa sana. Hatimae mambo yaligeuka toka pale nilipomaliza chuo na kurudi mitaani kufuata maisha yale walimu wetu walituambia, chakushangaza mambo yako tofauti kabsa.

Sasa na miaka 8 toka nmemaliza chuo, sjawahi kupata kazi ya maana. Tofauti na vibarua vidogo vidogo baada ya kumaliza chuo. Si kwamba skutafuta kazi, nmezunguka almost mikoa 8 Tanzania, nmefanya interviews za serikali zaidi ya 20, private sector zaidi ya 60. Nmerudi nyumban wale niliowaacha la 7 na F4, wana nyumba, biashara wengine magari.

Conclusion:
Tanzania [emoji1241] elimu haina maana.
Unaujuzi gani?
 
Habari wanaJF....

Toka nko Primary school (PS), walimu wetu walipenda sana kutusihi kusoma kwa bidii ili tufanikiwe kimaisha. Toka mentality hiyo ya PS, niliwekeza mda wangu kwenye kusoma kwa bidii ili niyaishi maisha wanayosema walimu wetu.

Nmesoma shule kwa takilibani miaka 16 (toka Primary school mpaka nachukua degree yangu) kwa juhudi kubwa sana. Hatimae mambo yaligeuka toka pale nilipomaliza chuo na kurudi mitaani kufuata maisha yale walimu wetu walituambia, chakushangaza mambo yako tofauti kabsa.

Sasa na miaka 8 toka nmemaliza chuo, sjawahi kupata kazi ya maana. Tofauti na vibarua vidogo vidogo baada ya kumaliza chuo. Si kwamba skutafuta kazi, nmezunguka almost mikoa 8 Tanzania, nmefanya interviews za serikali zaidi ya 20, private sector zaidi ya 60. Nmerudi nyumban wale niliowaacha la 7 na F4, wana nyumba, biashara wengine magari.

Conclusion:
Tanzania [emoji1241] elimu haina maana.
Una miaka mingapi?unajua kuendesha gari?
 
Habari wanaJF....

Toka nko Primary school (PS), walimu wetu walipenda sana kutusihi kusoma kwa bidii ili tufanikiwe kimaisha. Toka mentality hiyo ya PS, niliwekeza mda wangu kwenye kusoma kwa bidii ili niyaishi maisha wanayosema walimu wetu.

Nmesoma shule kwa takilibani miaka 16 (toka Primary school mpaka nachukua degree yangu) kwa juhudi kubwa sana. Hatimae mambo yaligeuka toka pale nilipomaliza chuo na kurudi mitaani kufuata maisha yale walimu wetu walituambia, chakushangaza mambo yako tofauti kabsa.

Sasa na miaka 8 toka nmemaliza chuo, sjawahi kupata kazi ya maana. Tofauti na vibarua vidogo vidogo baada ya kumaliza chuo. Si kwamba skutafuta kazi, nmezunguka almost mikoa 8 Tanzania, nmefanya interviews za serikali zaidi ya 20, private sector zaidi ya 60. Nmerudi nyumban wale niliowaacha la 7 na F4, wana nyumba, biashara wengine magari.

Conclusion:
Tanzania [emoji1241] elimu haina maana.
usikate tamaa
 
Duuuh,mzee IT mbona jobs online za kutosha tu unakwama wapi
 
Elimu ni Kwa manufaa yako ndugu yangu. Pambana Kwa ajili ya kesho yako. Ajira yako itokane na akili yako, nguvu zako na utimamu wa mwili uliojaaliwa na muumba. Usiweke matarajio yako Kwa watu. Success lies on your own shoulders. It's your burden dude! Pambana!!
Points sana💯
 
Elimu inasaidia Sana sema ukitaka kuifadi Elimu yako hakikisha unajua kiingereza vizuri then Anza kusoma vitabu vyenye self development utaanza kuona some changes in ur life circulation.

Honestly MAARIFA ni utajiri mkubwa Sana .

Unapoanza kupima Mafanikio yako na watu walioishia darasa la Saba au form your failure kuwa wameoa, wananyumba ..hapo lazima upate sonona kwa ajili ya wivu .


Maana hivyo vitu vyote u unaweza kuvipata even a single day so tafuta Sana Maarifa ili uwe mtu huru asiyelalamika Bali kushukuru kwa kila Jambo.
 
Duuuh,mzee IT mbona jobs online za kutosha tu unakwama wapi
IT za sasa hawajui hands on plus config....ndio maana hawaajiriki...hawajui chochote ni theory tu wamesoma kama notes....nani atakuajiri ukajifunze kazini ? Labda Govt sekta binafsi anataka kesho abakupa password unaingia kazini....sio uanze kufundishwa servers config au routers config.....database plus language zake.....nawaona IT wemgi siku hizi hawajui hands on wana depend suppliers kila kitu.......
 
Habari wanaJF....

Toka nko Primary school (PS), walimu wetu walipenda sana kutusihi kusoma kwa bidii ili tufanikiwe kimaisha. Toka mentality hiyo ya PS, niliwekeza mda wangu kwenye kusoma kwa bidii ili niyaishi maisha wanayosema walimu wetu.

Nmesoma shule kwa takilibani miaka 16 (toka Primary school mpaka nachukua degree yangu) kwa juhudi kubwa sana. Hatimae mambo yaligeuka toka pale nilipomaliza chuo na kurudi mitaani kufuata maisha yale walimu wetu walituambia, chakushangaza mambo yako tofauti kabsa.

Sasa na miaka 8 toka nmemaliza chuo, sjawahi kupata kazi ya maana. Tofauti na vibarua vidogo vidogo baada ya kumaliza chuo. Si kwamba skutafuta kazi, nmezunguka almost mikoa 8 Tanzania, nmefanya interviews za serikali zaidi ya 20, private sector zaidi ya 60. Nmerudi nyumban wale niliowaacha la 7 na F4, wana nyumba, biashara wengine magari.

Conclusion:
Tanzania [emoji1241] elimu haina maana.
Shida kubwa mfumo wetu wa elimu ni wa kikoloni sana, unatuandaa kuajiriwa na ajira zenyewe hazipo
 
Information Technology (IT)
Aisee! Inakuwaje msomi wa IT unalalamikia ajira! Kuna mwenzako nipo naye huku kijijini, ana degree yake ya IT kutoka Mzumbe! Aisee anapiga hela mpaka basi kupitia ofisi yake.

Jiajiri kijana. Maisha ya kujiajiri ni matamu sana kuliko yale ya kuajiriwa.
 
Aisee. Elimu ni ufunguo wa maisha, si kwamba haina maana.
Huwezi Fuga kuku bila kuwa na elimu yake.
Huwezi kuwa na biashara yenye mafanikio bila kuwa na elimu na uzoefu.
Elimu ni muhimu sana. Never give up. Keep trying at all cost, jifunze elimu mbadala, pambana.

Kama ni mwanaume, be a man.
Just form four fanya kozo songa mbele
 
Komalia PC maintanence nenda Dodoma tafuta kijiwe fungua workshop,kuinstall window 10000,kucheki tatizo 5000,maintanence xxxxx
Hii mtoto wangu wa Darasa la tatu Tena WA kike anafanya kwa majirani, kweli mtu aisomee mpaka university?
 
Back
Top Bottom