Miaka 8 bila kazi, tangu nimalize chuo kikuu

Miaka 8 bila kazi, tangu nimalize chuo kikuu

Habari wanaJF....

Toka nko Primary school (PS), walimu wetu walipenda sana kutusihi kusoma kwa bidii ili tufanikiwe kimaisha. Toka mentality hiyo ya PS, niliwekeza mda wangu kwenye kusoma kwa bidii ili niyaishi maisha wanayosema walimu wetu.

Nmesoma shule kwa takilibani miaka 16 (toka Primary school mpaka nachukua degree yangu) kwa juhudi kubwa sana. Hatimae mambo yaligeuka toka pale nilipomaliza chuo na kurudi mitaani kufuata maisha yale walimu wetu walituambia, chakushangaza mambo yako tofauti kabsa.

Sasa na miaka 8 toka nmemaliza chuo, sjawahi kupata kazi ya maana. Tofauti na vibarua vidogo vidogo baada ya kumaliza chuo. Si kwamba skutafuta kazi, nmezunguka almost mikoa 8 Tanzania, nmefanya interviews za serikali zaidi ya 20, private sector zaidi ya 60. Nmerudi nyumban wale niliowaacha la 7 na F4, wana nyumba, biashara wengine magari.

Conclusion:
Tanzania
emoji1241.png
elimu haina maana.
ulisomea ajira gani?

na mbona conclusion yako ni ya kijuba zaidi?

utatoboa kweli?
 
Punguza hasira kijana, ebu kwanza tuambie umesomea nini.
Alafu....
Wanaume hawaziragi.
Wakati mwingine wanasema Dunia haina huruma.
Kuzira kwenye maisha ni kujiua tu ila kama unaendelea kuvuta hii hewa, kesho utaamka tumbo linakudai. Kodi zonakusubiri na wanaokutegemea hawaachi kupiga simu kuomba mahitaji.
So long as upo hai , hakuna way out
 
Hapana,it happens ndugu
Mi nilikuwa nafahamiahana mpk na wabunge(nimesoma dodoma)
But sio rahisi km unavyofikiria
Km umebahatika kupata ajira shukuru Mungu tu!
Sina ajira, sijawahi kuajiriwa, ila kwa maelezo ya OP miaka 8 kazunguka mikoa karibu yote, kaomba kazi serikalini mpaka private ila holaaa, kwa experience yangu imebidi nishangae tena especially kama OP ni mwenyeji wa dar (born n raised)
 
Pole
Ila tumia kauli nzuri humu jf kuna watu wazuri sana huenda ukasaidika
Acha negativity zako huko mtaani
Ongea na watu vizuri connection zipo mkuu
Punguza jazba na matusi huko majukwani..people are watching.
 
Back
Top Bottom