Mheshimiwa Mbowe, mbona ajenda ya bandari na katiba mpya umeiacha kwenye mkutano wako huko Mutukula?

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,505
51,108
Mheshimiwa Mbowe nimefualtilia kwa makini mkutano wako siku ya leo huko Mutukula mkoani Kagera ambapo chama kina operesheni ya +255 Katiba mpya + Okoa bandari zetu. Lakini nimeshangazwa na hotuba yako nzima hukugusia kabisa suala la bandari wala katiba mpya nikashangazwa sana.

Iweje Mwenyekiti usahau theme ya operation ukaishia kuzungumza mambo yaleyale ya kawaida ya kukiintroduce chama lakini Ukaacha theme mama ya operation nzima?

Ndugu Mweneyekiti kwani bandari si ni mali ya wanamutukula pia?, kwa nini uache kutoa elimu na kuwahabarisha yanayojiri kuhusiana na jambo hilo?

Ndugu Mwenyekiti Katiba mpya si ni kwa manufaa ya Wanamutukula pia, kwa nini hotuba yako isizungumzie jambo hilo na kuwapa elimu wananchi juu ya umuhimu wa katiba mpya?

Ndugu Mwenyekiti ninahofia kuwa leo huko Mutukula umepoteza opportunity kubwa ya kisiasa, na kushindwa kuiangamiza CCM kwa wewe kushindwa kuzieleza hizo ajenda mbili muhimu sana katika siasa za nchi yetu.

Kumbuka CCM wako busy kuzunguuka nchi nzima kuuza ajenda yao ya bandari kwa wananchi. Nilitegemea wewe Mwenyekiti ungesaidia kuwafungua macho wananchi juu ya ajenda hiyo ili wasipotoshwe na CCM ila kwa bahati mbaya sana umepoteza opportunity nzuri sana kwa kuziweka pembeni hizo ajenda.

Ndugu Mwenyekiti ninahofia kuwa kama Utaamua kuziacha hizi ajenda katika mikutano yako basi lengo la chama kumobilize nguvu ya umma kunusuru Taifa letu dhidi ya mkataba huu mbaya itapata vikwazo na pia utakuwa umeisaidia CCM kukwepa kitanzi kizito cha kisiasa.

Ndugu Mwenyekiti, Hili jambo la kudadavua mkataba usimwachie Makamu Mwenyekiti tu katika mikutano yake, Na wewe lishikie bango katika mikutano yako. Kufanya hivyo utakuwa umetekeleza azimio la kamati kuu la majuzi.

Wananchi tunataka kusikia, Katiba mpya, Bandari, Na ugumu wa maisha mna solutions gani

Nawasilisha!
 
Mheshimiwa Mbowe nimefualtilia kwa makini mkutano wako siku ya leo huko Mutukula mkoani Kagera ambapo chama kina operesheni ya +255 Katiba mpya + Okoa bandari zetu. Lakini nimeshangazwa na hotuba yako nzima hukugusia kabisa suala la bandari wala katiba mpya nikashangazwa sana.

Iweje Mwenyekiti usahau theme ya operation ukaishia kuzungumza mambo yaleyale ya kawaida ya kukiintroduce chama lakini Ukaacha theme mama ya operation nzima?

Ndugu Mweneyekiti kwani bandari si ni mali ya wanamutukula pia?, kwa nini uache kutoa elimu na kuwahabarisha yanayojiri kuhusiana na jambo hilo?

Ndugu Mwenyekiti Katiba mpya si ni kwa manufaa ya Wanamutukula pia, kwa nini hotuba yako isizungumzie jambo hilo na kuwapa elimu wananchi juu ya umuhimu wa katiba mpya?

Ndugu Mwenyekiti ninahofia kuwa leo huko Mutukula umepoteza opportunity kubwa ya kisiasa, na kushindwa kuiangamiza CCM kwa wewe kushindwa kuzieleza hizo ajenda mbili muhimu sana katika siasa za nchi yetu.

Kumbuka CCM wako busy kuzunguuka nchi nzima kuuza ajenda yao ya bandari kwa wananchi. Nilitegemea wewe Mwenyekiti ungesaidia kuwafungua macho wananchi juu ya ajenda hiyo ili wasipotoshwe na CCM ila kwa bahati mbaya sana umepoteza opportunity nzuri sana kwa kuziweka pembeni hizo ajenda.

Ndugu Mwenyekiti ninahofia kuwa kama Utaamua kuziacha hizi ajenda katika mikutano yako basi lengo la chama kumobilize nguvu ya umma kunusuru Taifa letu dhidi ya mkataba huu mbaya itapata vikwazo na pia utakuwa umeisaidia CCM kukwepa kitanzi kizito cha kisiasa.

Ndugu Mwenyekiti, Hili jambo la kudadavua mkataba usimwachie Makamu Mwenyekiti tu katika mikutano yake, Na wewe lishikie bango katika mikutano yako. Kufanya hivyo utakuwa umetekeleza azimio la kamati kuu la majuzi.

Wananchi tunataka kusikia, Katiba mpya, Bandari, Na ugumu wa maisha mna solutions gani

Nawasilisha!
Makes sense. Nitazituma hii msg Kwa erythrocyte aifikishe
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Msanii huyo. CDM ni Lissu na Mnyika tu, Heche kwa mbaaaali.

Akina Msigwa, Sugu, Mbowe, Lema n.k ni wasanii tu.

Tena mara mia wale akina dada walioko bungeni kuliko Mbowe ma kundi lake. Wafanyabishara wa siasa.

Nimeona clip Mbowe anawazungusha ngumi hewana wananchi ile ya "pipoz pawa" nikacheka sana 😂😂😂😂
 
Mbowe usimuamini ana makubaliano na samia na kikwete


Chadema imekuwa ikikwamishwa na mbowe
 
Hivi inawezekana vipi Mwenyekitui ukaacha "flagship" agenda hivihivi kwa bahati mbay?
Hakuna bahati mbaya katika siasa!
 
Kwenye list ya wahutubiaji alikuwa Mbowe peke yake? Huwa wana tabia ya kupokezana agenda ipi aizungumze nani, na ipi nyingine aizungumze yupi.

Lakini pia, hata kama alikuwa Mbowe peke yake na hakuzungumza, binafsi sishangai kwa kilichotokea huko.

Nilichokuja kugundua kwenye hili suala la bandari, kwasababu limekaa kisheria zaidi, ndio maana msemaji wake mkuu amekuwa Lissu, wengine wameachwa walizungumze juu juu tu, au wasiliguse kabisa.

Nakumbuka Mbowe amewahi kulizungumzia la bandari mara moja tu, ndio ile kauli yake ya wazanzibari wameuza bandari zetu ikazua gumzo, baada ya hapo akaja kulizungumzia tena, siku ambayo alikuwa akitoa mapendekezo ya kikao kilichoketi KK ya Chadema.

Wakati akizungumza pale, kuna maneno aliyatumia ambayo kwangu nilikuja kugundua Mbowe amewaachia zaidi wanasheria wa chama walizungumzie lile jambo, alichokifanya huko naamini sio bahati mbaya, ndio mipango yao chamani.
 
Mheshimiwa Mbowe nimefualtilia kwa makini mkutano wako siku ya leo huko Mutukula mkoani Kagera ambapo chama kina operesheni ya +255 Katiba mpya + Okoa bandari zetu. Lakini nimeshangazwa na hotuba yako nzima hukugusia kabisa suala la bandari wala katiba mpya nikashangazwa sana.

Iweje Mwenyekiti usahau theme ya operation ukaishia kuzungumza mambo yaleyale ya kawaida ya kukiintroduce chama lakini Ukaacha theme mama ya operation nzima?

Ndugu Mweneyekiti kwani bandari si ni mali ya wanamutukula pia?, kwa nini uache kutoa elimu na kuwahabarisha yanayojiri kuhusiana na jambo hilo?

Ndugu Mwenyekiti Katiba mpya si ni kwa manufaa ya Wanamutukula pia, kwa nini hotuba yako isizungumzie jambo hilo na kuwapa elimu wananchi juu ya umuhimu wa katiba mpya?

Ndugu Mwenyekiti ninahofia kuwa leo huko Mutukula umepoteza opportunity kubwa ya kisiasa, na kushindwa kuiangamiza CCM kwa wewe kushindwa kuzieleza hizo ajenda mbili muhimu sana katika siasa za nchi yetu.

Kumbuka CCM wako busy kuzunguuka nchi nzima kuuza ajenda yao ya bandari kwa wananchi. Nilitegemea wewe Mwenyekiti ungesaidia kuwafungua macho wananchi juu ya ajenda hiyo ili wasipotoshwe na CCM ila kwa bahati mbaya sana umepoteza opportunity nzuri sana kwa kuziweka pembeni hizo ajenda.

Ndugu Mwenyekiti ninahofia kuwa kama Utaamua kuziacha hizi ajenda katika mikutano yako basi lengo la chama kumobilize nguvu ya umma kunusuru Taifa letu dhidi ya mkataba huu mbaya itapata vikwazo na pia utakuwa umeisaidia CCM kukwepa kitanzi kizito cha kisiasa.

Ndugu Mwenyekiti, Hili jambo la kudadavua mkataba usimwachie Makamu Mwenyekiti tu katika mikutano yake, Na wewe lishikie bango katika mikutano yako. Kufanya hivyo utakuwa umetekeleza azimio la kamati kuu la majuzi.

Wananchi tunataka kusikia, Katiba mpya, Bandari, Na ugumu wa maisha mna solutions gani

Nawasilisha!
Lissu alishamaliza kila kitu hakukuwa na maana ya kufanya repeatitions .. After all ule ulikuwa ni ufunguzi tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mheshimiwa Mbowe nimefualtilia kwa makini mkutano wako siku ya leo huko Mutukula mkoani Kagera ambapo chama kina operesheni ya +255 Katiba mpya + Okoa bandari zetu. Lakini nimeshangazwa na hotuba yako nzima hukugusia kabisa suala la bandari wala katiba mpya nikashangazwa sana.

Iweje Mwenyekiti usahau theme ya operation ukaishia kuzungumza mambo yaleyale ya kawaida ya kukiintroduce chama lakini Ukaacha theme mama ya operation nzima?

Ndugu Mweneyekiti kwani bandari si ni mali ya wanamutukula pia?, kwa nini uache kutoa elimu na kuwahabarisha yanayojiri kuhusiana na jambo hilo?

Ndugu Mwenyekiti Katiba mpya si ni kwa manufaa ya Wanamutukula pia, kwa nini hotuba yako isizungumzie jambo hilo na kuwapa elimu wananchi juu ya umuhimu wa katiba mpya?

Ndugu Mwenyekiti ninahofia kuwa leo huko Mutukula umepoteza opportunity kubwa ya kisiasa, na kushindwa kuiangamiza CCM kwa wewe kushindwa kuzieleza hizo ajenda mbili muhimu sana katika siasa za nchi yetu.

Kumbuka CCM wako busy kuzunguuka nchi nzima kuuza ajenda yao ya bandari kwa wananchi. Nilitegemea wewe Mwenyekiti ungesaidia kuwafungua macho wananchi juu ya ajenda hiyo ili wasipotoshwe na CCM ila kwa bahati mbaya sana umepoteza opportunity nzuri sana kwa kuziweka pembeni hizo ajenda.

Ndugu Mwenyekiti ninahofia kuwa kama Utaamua kuziacha hizi ajenda katika mikutano yako basi lengo la chama kumobilize nguvu ya umma kunusuru Taifa letu dhidi ya mkataba huu mbaya itapata vikwazo na pia utakuwa umeisaidia CCM kukwepa kitanzi kizito cha kisiasa.

Ndugu Mwenyekiti, Hili jambo la kudadavua mkataba usimwachie Makamu Mwenyekiti tu katika mikutano yake, Na wewe lishikie bango katika mikutano yako. Kufanya hivyo utakuwa umetekeleza azimio la kamati kuu la majuzi.

Wananchi tunataka kusikia, Katiba mpya, Bandari, Na ugumu wa maisha mna solutions gani

Nawasilisha!
Ana mambo mengi, huwa hana nadharia inayomwongoza. Anapokea ushauri
 
Kwenye team yake leo huko Mutukula alikuwepo Salum Mwalimu, hajazungumzia bandari!

Opportunity imepotezwa huko Mtukula kuwajuza wananchi juu ya jambo hili nyeti sana kwa sasa.
Hakuna kilichopotezwa myfriend, kazi anayoifanya Lissu kwenye hilo suala la bandari inatosha kabisa, na chenji inabaki, mfano jana tu, alivyouwasha moto kule Kagera, CCM wote wamechanganyikiwa mpaka leo hawayakumbuki hata maji ya kuoga.
 
Lissu alishamaliza kila kitu hakukuwa na maana ya kufanya repeatitions .. After all ule ulikuwa ni ufunguzi tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema wamegawana teams za kwenda sehemu mbalimbali katika kanda, kuna team inaambatana na mwenyekiti na team nyingine inasafiri na Lissu, wanapiga mikutano sehemu tofautitofauti ila sometimes wanakutana katika sehemu mbalimbali,

Kule anapoenda Lissu kweli wananchi wataelimishwa juu ya jambo hili, Ila kule anapoenda Mbowe kama asipolizungumza basi itakuwa ni opportunity lost katika maendeo hayo!
 
Hii agenda ya Bandari ni risasi kali sana dhidi ya CCM , sijui kwa nini mwenyekiti anaweza kuondoka mahali bila hilo jambo kuongelewa mahali hapo. Laiti Lissu angekuwepo katika mikutano hiyo naamini asingeacha kulizungumza!
Hili jambo japo ni risasi kali kwa kulitazama kwa nje, lakini linahitaji umakini sana linapozungumziwa myfriend.

Kumbuka, yeyote atakayelizungumzia asiyeijua sheria, hasa kusoma vifungu vya ile IGA na kuitafsiri, atakapopotosha chochote kwa bahati mbaya, kisha CCM wakapanasa, hapo ndipo utakuwa mwisho wa mchezo, watapatumia hapo kuonesha vile wapinzani ni waongo hata kama wamekosea padogo tu, na mkataba wa bandari ni wa hovyo kweli.
 
Mheshimiwa Mbowe nimefualtilia kwa makini mkutano wako siku ya leo huko Mutukula mkoani Kagera ambapo chama kina operesheni ya +255 Katiba mpya + Okoa bandari zetu. Lakini nimeshangazwa na hotuba yako nzima hukugusia kabisa suala la bandari wala katiba mpya nikashangazwa sana.

Iweje Mwenyekiti usahau theme ya operation ukaishia kuzungumza mambo yaleyale ya kawaida ya kukiintroduce chama lakini Ukaacha theme mama ya operation nzima?

Ndugu Mweneyekiti kwani bandari si ni mali ya wanamutukula pia?, kwa nini uache kutoa elimu na kuwahabarisha yanayojiri kuhusiana na jambo hilo?

Ndugu Mwenyekiti Katiba mpya si ni kwa manufaa ya Wanamutukula pia, kwa nini hotuba yako isizungumzie jambo hilo na kuwapa elimu wananchi juu ya umuhimu wa katiba mpya?

Ndugu Mwenyekiti ninahofia kuwa leo huko Mutukula umepoteza opportunity kubwa ya kisiasa, na kushindwa kuiangamiza CCM kwa wewe kushindwa kuzieleza hizo ajenda mbili muhimu sana katika siasa za nchi yetu.

Kumbuka CCM wako busy kuzunguuka nchi nzima kuuza ajenda yao ya bandari kwa wananchi. Nilitegemea wewe Mwenyekiti ungesaidia kuwafungua macho wananchi juu ya ajenda hiyo ili wasipotoshwe na CCM ila kwa bahati mbaya sana umepoteza opportunity nzuri sana kwa kuziweka pembeni hizo ajenda.

Ndugu Mwenyekiti ninahofia kuwa kama Utaamua kuziacha hizi ajenda katika mikutano yako basi lengo la chama kumobilize nguvu ya umma kunusuru Taifa letu dhidi ya mkataba huu mbaya itapata vikwazo na pia utakuwa umeisaidia CCM kukwepa kitanzi kizito cha kisiasa.

Ndugu Mwenyekiti, Hili jambo la kudadavua mkataba usimwachie Makamu Mwenyekiti tu katika mikutano yake, Na wewe lishikie bango katika mikutano yako. Kufanya hivyo utakuwa umetekeleza azimio la kamati kuu la majuzi.

Wananchi tunataka kusikia, Katiba mpya, Bandari, Na ugumu wa maisha mna solutions gani

Nawasilisha!
CDM siyo waropokaji kama Lumumba. Wanajipanga nani aseme nini. Akisema Lissu au Mnyika wengine waongee mengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom