Mhadhiri UDOM aionya Serikali kuhusu Lissu

Sub woofer ameongea kitu cha kijinga kuliko umri alio nao maana Elimu haijamsaidia natumia umri hapa eti tunamkatia mshahara...angekufa huo mshahara angepata Lissu,Lissu anazungumzia uhai yeye anamtisha na mshahara? wao ilitakiwa baada ya deal kubuma wangetoa mpaka hela ya matibabu mshahara hata huyo aliewatuma kulipinga hadharani watengeneze movie feki kama ya MO na kumpatia ulinzi wa kutosha wengi tungejua kweli nao limewauma hili swala lakini naona sub woofer anatumika tuu kutoa povu asilokua nalo....wanadhani hiyo vita ni ya Lissu pekee kumbe ni kila Mtanzania anaetaka amani mbunge anawezaje kupigwa risasi maeneo ya bunge harafu Lissu au Watanzania wakae kimya?
 
Mi napata tabu sana na Watu wa aina yako na reasoning yako. Mambo hayawagi wazi hivyo ndugu yangu. Serikali ina mkono mrefu sana kama ndo dili ingekuwa hiyo yako Mpendwa wangu cha ujinga. Angekufa hata awe wapi. Kodi yako ingetumika kumlipa dolali mercenary mmoja na Kazi kwisha. Tumieni kichwa badala ya matakoooo kufikiri. Stupid.

Mungu nae ana mkono mrefu kukliko hiyo serikali yako na ndio maana alimkinga TL dhidi ya risasi 16. Hivi hua mnaona serikali ina nguvu kuliko kitu chochote na mnasahau kuna Muumba wa dunia na vilivyomo.
 
Hebu tupe forum nyingine, wananchi wazalendo wanafahamu mengi ya kuijenga nchi kuliko ujuavyo.
Yeye mbunge ruksa kuyamwaga bungeni kule mbunge ana kinga na aweza pewa majibu official wewe kama unayo kamkabidhi mbunge wako ayapeleke kuyasema bungeni au ayatafute majibu kule ndiyo kazi yake mbunge kuyachukua ya wananchi na kuyafikisha bungeni yafike Kwa wahusika serikalini.Mtumie mbunge wako.
 
Yeye mbunge ruksa kuyamwaga bungeni kule mbunge ana kinga na aweza pewa majibu official wewe kama unayo kamkabidhi mbunge wako ayapeleke kuyasema bungeni au ayatafute majibu kule ndiyo kazi yake mbunge kuyachukua ya wananchi na kuyafikisha bungeni yafike Kwa wahusika serikalini.Mtumie mbunge wako.
Kinadharia uko sawa lakini mengine ni kumtoa paka kutoka mfuko wa kisulfeti.
 
Wewe msomi koko una ushahidi kuwa kitendo kilifanywa na serikali? Unaweza simama mbele ya jopo la wasomi ukaeleza huo ujinga wako kuwa ni serikali ndio ilifanya hicho kitendo? Very sad.Unajua nchi ikiwa na wasomi koko kama wewe ndio maana vigumu kuendelea.Msomi anatakiwa kuongea with verifiable reliable evidence sio hisia za kuhisi kama za Lisu na wewe.Mtangazaji wa BBC hard talk alimkomalia Lisu akasema hilo la kusema serikali imehusika huna legal Wala verifiable evidence.Sasa na wewe unakuja na upupu wako hapa .Msomi koko at work
Soma alichoandika Acha kujamba jamba hadhafani
 
Kumbe hawakufanya 'impact analysis' ya jaribio la kuua mtu.... wakati serikali imejaa ma profesa na ma phd hiyo ndo gharama ya kukurupuka katika maamuzi muhimu
Mshauri wake mkuu zero so sidhani kama maprofessor walishirikishwa
 
Wewe msomi koko una ushahidi kuwa kitendo kilifanywa na serikali? Unaweza simama mbele ya jopo la wasomi ukaeleza huo ujinga wako kuwa ni serikali ndio ilifanya hicho kitendo? Very sad.Unajua nchi ikiwa na wasomi koko kama wewe ndio maana vigumu kuendelea.Msomi anatakiwa kuongea with verifiable reliable evidence sio hisia za kuhisi kama za Lisu na wewe.Mtangazaji wa BBC hard talk alimkomalia Lisu akasema hilo la kusema serikali imehusika huna legal Wala verifiable evidence.Sasa na wewe unakuja na upupu wako hapa .Msomi koko at work
Ndio ubaya wenu, wasomi wakitumia akili zao mnaowaona koko, ila Bashiru akitumia ujinga wake mnamuona Dr!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe msomi koko una ushahidi kuwa kitendo kilifanywa na serikali? Unaweza simama mbele ya jopo la wasomi ukaeleza huo ujinga wako kuwa ni serikali ndio ilifanya hicho kitendo? Very sad.Unajua nchi ikiwa na wasomi koko kama wewe ndio maana vigumu kuendelea.Msomi anatakiwa kuongea with verifiable reliable evidence sio hisia za kuhisi kama za Lisu na wewe.Mtangazaji wa BBC hard talk alimkomalia Lisu akasema hilo la kusema serikali imehusika huna legal Wala verifiable evidence.Sasa na wewe unakuja na upupu wako hapa .Msomi koko at work
Imebidi nikujibu. Mburula anayejifanya msomi3 anayakula na kunya kodi zetu ni yule anayaficha ukweli au anayeogopa kufanya upelelezi katia jambo linalogusa serikali. Hebu jibu maswali
1.walinzi walienda wapi na waliondolewa na nani3 kupisha shambulio
2.Au basi walienda kunya na kamera zikachukua tukio. Ni nani aliyekuja kungoa kamera za serikali katika majengo ya serikali?!!!!.
Ukikataa kuhoji hili na kukazana kusafishA serikali wewe ni mburula. Taahira mchumia tumbo usiye hata xhembe ya utu
 
Imebidi nikujibu. Mburula anayejifanya msomi3 anayakula na kunya kodi zetu ni yule anayaficha ukweli au anayeogopa kufanya upelelezi katia jambo linalogusa serikali. Hebu jibu maswali
1.walinzi walienda wapi na waliondolewa na nani3 kupisha shambulio
2.Au basi walienda kunya na kamera zikachukua tukio. Ni nani aliyekuja kungoa kamera za serikali katika majengo ya serikali?!!!!.
Ukikataa kuhoji hili na kukazana kusafishA serikali wewe ni mburula. Taahira mchumia tumbo usiye hata xhembe ya utu
Upelelezi ni Siri ulitaka nakala za hayo ya upelelezi wa hayo wakupe wewe au wayakabiddhi mahakamani kesi ikianza baada ya kuwahoji mashahidi muhimu wawili Tundu Lisu na dereva? Upelelezi wa nini kilitokea ni Siri is not for public consumption or Lisu consumption but for court consumption.Ulitaka wakupe confidential investigation report kama nani wewe? Wewe mahakama?
 
Kumbe hawakufanya 'impact analysis' ya jaribio la kuua mtu.... wakati serikali imejaa ma profesa na ma phd hiyo ndo gharama ya kukurupuka katika maamuzi muhimu

mutwanaka,
Hili jambo lilikuwa la kukurupuka hakukuwa na analyisis yoyote wala Plan B iwapo jaribio la kumwua Lissu lineshindikana.
Kuna watu fulani wapumbavu au Mabashite hawakujua ATHARI NA MATOKEO YA MPANGOI WA KUTAKA KUMWUA LISSU.
Hawa WATU WASIOJULIKANA ambao kulingana na maelezo ya TAL ni watu wenye UWEZO na MAMLAKA makubwa sana kwa vile HAWAWEZI KUKAMATWA, KUCHUNGUZWA NA KUSHTAKIWA POPOTE..!!!WATU HAWA NDIO WAMENG'OA CCTV KAMERA KWENYE MAKAZI YA TUNDU LISSU AMBAZO ZINGELIWAPA PICHA YA TUKIO ZIMA SIKU YA SHAMBULIO LA LISSU..!!Lakini hazipo..!! Maana yake ni kwamba HAWATAKI HIZI KAMERA ZA CCTV ZIONYESHE HILO TUKIO NA WATU WALIOHUSIKA MAANA WATAJULIKANA...!!!
 
Kaazi kweli kweli! Naona page yote ya kwanza jukwaa ka siasa ni thread za Lissu tu😀 Ngoja tuone kama kuna movie itatengenezwa! Maana ni shida!
 
Mhadhiri wa Chuo kikuu cha Dodoma, Dkt. Paul Luisilie amesema ziara na mahojiano anayoyafanya Tundu Lissu huko Ulaya na Marekani yatakuwa na athari kubwa katika siasa za Tanzania, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2020 na kuna uwezekano wa mataifa makubwa kufanya uamuzi mgumu dhidi ya Tanzania.

Amesema ziara hizo zinaliweka taifa katika wakati mgumu kiuchumi kwa kuwa anazifanya katika nchi zinazotoa misaada kwa Tanzania.

"Mpaka sasa athari za ziara ya Lissu zimeshaanza kuonekana, kwa kuwa mjadala ni mkubwa. Ndani ya CCM kwenyewe wanajadiliana. Hiyo ni impact.

Lissu alishapata huruma kubwa ya wananchi, matusi mengi anayotukanwa yanamjenga. Tumesikia spika akisema watakatisha mshahara wake, huku nako ni kumjenga maana watu wanajadili mshahara huo. Yani hatapata taabu kupigiwa kura kwa kuwa ameshajijenga wakati huu" - Alisema Dkt. Luisilie.

Mhadhiri huyo amesema tayari mitaani watu hasa vijana washaanza kuvutiwa na ujasiri wa Lissu na kutokata tamaa.
Nahuko Ulaya wameanziasha ''fearless ideas courses '' for innovation and entrepreneurship he is sharing experiences

8 Qualities of Fearless Entrepreneurs
 
Wewe msomi koko una ushahidi kuwa kitendo kilifanywa na serikali? Unaweza simama mbele ya jopo la wasomi ukaeleza huo ujinga wako kuwa ni serikali ndio ilifanya hicho kitendo? Very sad.Unajua nchi ikiwa na wasomi koko kama wewe ndio maana vigumu kuendelea.Msomi anatakiwa kuongea with verifiable reliable evidence sio hisia za kuhisi kama za Lisu na wewe.Mtangazaji wa BBC hard talk alimkomalia Lisu akasema hilo la kusema serikali imehusika huna legal Wala verifiable evidence.Sasa na wewe unakuja na upupu wako hapa .Msomi koko at work

ALIPOUWAWA KAMANDA LIBERATUS BAROW SIKU YA PILI WAUAJI WALIPATIKANA.

ILA WALIOMUUA ALFONS MAWAZO ,WALIOMTWANGA RISASI LISSU,WALIOMPOTEZA BEN SAANANE,AZORI NA WATU WALIOKOTWA KWENYE VIROBA MPAKA LEO KIMYAA?

KWA AKILI YAKO UNAFIKIRI WAHUSKKA AU MHUSIKA NI NANI??

PUNGUZA JAZBA KUWA OBJECTIVE HATA KAMA UMEKUNYWA MAJI YA GREN FLAG ! BE OBJECTIVE.

SIKU MMOJA WA NDUGU ZAKO WA KARIBU,DADA,KAKA NA HASA MAMA YAKO DADA NA HUYO MKE WAKO AMBAYE Rafiki yako wa karibu anakula mzigo(anakusaidia kazi ) ATAKAPOTWANGWA RISASI ,AKPATA TUKIO KAMA LA LISSU AU MAWAZO ALFONS NDIPO AKILI ZITAKURUDIA.
 
Back
Top Bottom