Mhadhiri UDOM aionya Serikali kuhusu Lissu

Mhadhiri UDOM aionya Serikali kuhusu Lissu

Bro mbona kama umepaniki hivi na hii uzi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka kujua sababu zinazomfanya kupaniki ni rahisi sana.
Ni kiasi cha kurudi nyuma tu ndani ya ukumbi huu wa JF na kumsoma YEHODA alivyokuwa na michango ya kusisimua wakati huo huo Tundu Lissu anafanyiziwa yaliyompata.. Huyu anayo historia ndefu iliyowazi kwa michango yake humu JF kuhusu tukio lililompata Tundu Lissu.
Kama alihusika kwa njia moja ama nyingine katika tukio hilo haifahamiki, lakini msimamo wake unajulikana tokea zamani.
 
Kumbe hawakufanya 'impact analysis' ya jaribio la kuua mtu.... wakati serikali imejaa ma profesa na ma phd hiyo ndo gharama ya kukurupuka katika maamuzi muhimu

si analysis tu hata damage control hawajui. unamwachaje spika wa bunge anaongea vitu kwa style za hovyo hovyo as if ni katibu mwenezi wa chama wa kitongoji kumbe ni spika? na uprofesa na uPhd wao hata hawajui ukuu wa spika na madhara ya maneno yake?
 
Mhadhiri wa Chuo kikuu cha Dodoma, Dkt. Paul Luisilie amesema ziara na mahojiano anayoyafanya Tundu Lissu huko Ulaya na Marekani yatakuwa na athari kubwa katika siasa za Tanzania, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2020 na kuna uwezekano wa mataifa makubwa kufanya uamuzi mgumu dhidi ya Tanzania.
Sio kila.mzungu ni mbumbu,wana chambua wanatuma mabalozi wao na njia nyingine
Tundu Lissu anaungwa mkono naashoga tu
 
Back
Top Bottom