Mgomo wa madaktari - Updates

Mgomo wa madaktari - Updates

Hapana, Ikulu ya leo haina udikteta. Mimi ni dikteta wa ndani ya damu. [B]Anaegoma na kusababisha vifo vya wengine na kutoweka kwa amani, unamuua tu. No discussion. Kikwete anawachekea sana[/B].


Naomba kuuliza swali;

Je, kati ya mtu anayeshika Bunduki na kufyatua risasi ikamuue mwingine Vs Bunduki na Risasi inayoua!!!!


Hapo ni nani muuaji na anyeshitakiwa kwa mauaji / Je, ni Mtu aliyefatua AU ni Bunduki na Risasi??


NAOMBA JIBU UKIWEZA KISHA NITAENDELEA.




MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Hivi hawa Mawaziri wanaotakiwa kuondolewa wao taaluma yao ni nini? Wote huwa nasikia wanaitwa Daktari, au sivyo? Wakiondolewa Madokta hawa tumpeleke nani pale? Wasira au Chenge? Maana kama Madakitari wote hawafai kuanzia Dr. Mtasiwa, Nkya na Mponda basi Baraza likivunjwa tuweke Mawaziri wenye taaluma tofauti. Kwa maoni yangu hii approach ya kutaka Waziri ajiuzuru eti kwa sababu alitamka maneno ambayo Madokta wameona yanawakera ni kuonyesha kutofahamu vyema dhana ya kuendesha Serikali. Kwani hawa ndio wameshindwa kununua vifaa vya mahospitali na madawa? Je, hawa ndio wanapanga mishahara ya Madaktari? Kwani mbona uongozi wa TUGHE una madaktari, kwanini wasingeanza na hao kwa kushindwa kuwatetea ili kuboresha hali zao? I am totally buffled by these senseless arguments. Kwani waliposhinikiza mwanzo na kupelekea Nyoni na Mtasiwa kuondolewa, kuna faida gani imepatikana? Sasa ni zamu ya Nkya na Mponda, kesho itakuwa ya Pinda na Bilali. Next itakuwa ya Kikwete na Mkuu serikali yake yote. Then we will leave at the mercy of Doctors! Come on Drs, go back to work and use lawful means to present your grievances!:A S embarassed:

Haya ni mawazo ya kijinga ya Mtanzania wa kawaida.
 
Haya ni mawazo ya kijinga ya Mtanzania wa kawaida.

I beg to differ sir! HAYA NI MAWAZO YA BOOT-LICKING NINCOMPOOPS ambao wamekubali kutumiwa kama condom, Watanzania wa kawaida hawawezi kusema hivyo wakati wanapigika.
 
Hizo ni porojo tu, watabana wataachia kwa kuwa wengi wanafuata mkumbo wa frustrated individuals ambao they have nothing to lose

Shenzi kabisa kuwa na mawazo finyu..Is it frustrations or demand of u'r right?.Kuwa na mwazo chanya c mgando
 
Ni upuuzi kumpa masharti rais.

na ni upuuzi kufikiri kuwa Rais hawezi kupewa masharti na wananchi wake. Libya,misri n.k walimpa masharti rais kuachia madaraka,je si afadhali hawa wanampa sharti la kuwaachisha kazi watu wengine?ingekuwa ni sharti kwa jk kuondoka madarakani ingekuwaje? Acha kutumia masaburi kufikiri
 
Gomeni tu, gomeni tena msiache.
Acheni mama na dada zenu wakifa na vitoto vyao tumboni, acheni wadogo zenu waliopata ajali za bodaboda wakioza miguu. Acheni wajomba na babu zenu wakifa ICU kwa kukosa wa kuwahudumia. Acheni wadogo na wapwa zenu wakifa kwa pneumonia wodini,acheni baba zenu na wajomba zenu wakifa kwa kukosa huduma.
Gomeni tu, gomeni kabisa. Kama mmeamua kutoa maisha ya ndugu zenu kafara kwa ajili ya maslahi yenu ya Kisiasa sisi hatuna cha kufanya bali kukaa pembeni na kushudia mafahari wawili wakipambana.
Mungu ibariki Tanzania.

Utawataja hadi walioko kaburini miaka mia moja ilopita. Usiniambie unataka madoc walale njaa ili hao kina Pinda waendelee kupeleka watoto wao kusoma nje kwa wizi wa pesa za govern
 
Hivi hawa Mawaziri wanaotakiwa kuondolewa wao taaluma yao ni nini? Wote huwa nasikia wanaitwa Daktari, au sivyo? Wakiondolewa Madokta hawa tumpeleke nani pale? Wasira au Chenge? Maana kama Madakitari wote hawafai kuanzia Dr. Mtasiwa, Nkya na Mponda basi Baraza likivunjwa tuweke Mawaziri wenye taaluma tofauti. Kwa maoni yangu hii approach ya kutaka Waziri ajiuzuru eti kwa sababu alitamka maneno ambayo Madokta wameona yanawakera ni kuonyesha kutofahamu vyema dhana ya kuendesha Serikali. Kwani hawa ndio wameshindwa kununua vifaa vya mahospitali na madawa? Je, hawa ndio wanapanga mishahara ya Madaktari? Kwani mbona uongozi wa TUGHE una madaktari, kwanini wasingeanza na hao kwa kushindwa kuwatetea ili kuboresha hali zao? I am totally buffled by these senseless arguments. Kwani waliposhinikiza mwanzo na kupelekea Nyoni na Mtasiwa kuondolewa, kuna faida gani imepatikana? Sasa ni zamu ya Nkya na Mponda, kesho itakuwa ya Pinda na Bilali. Next itakuwa ya Kikwete na Mkuu serikali yake yote. Then we will leave at the mercy of Doctors! Come on Drs, go back to work and use lawful means to present your grievances!:A S embarassed:

In Leadership............chochote kitachoenda kombo ni kosa la kiongozi
Yote wanayolalamikiwa ni matokeo yauongozi mbovu wa viongozi wa wizara...so unakotoa sababu moja na kushikiria ni tatizo lako la ujuvi kuhusu uongozi...is time for time to go.Madaktariwanaona hao ni tatizo ktkt kutekereza maslahi yao...na pili wanapigania mpaka mazingira ya wagonjwa ,vitendea kazi na vingine vingi vinavyo fanya wagonjwa wanakufa hata wao wakiwa kazini...wake up acha ushabiki hata kama unawakilisha ikulu
 
alishawahi kusema tukuwekee link nini ndio uamini
Ni Pius Msekwa wakati akiwa spika wa bunge ndio aliwahi kutoa kauli hiyo, na ikasababisha akina Ananilea Nkya kuja juu,.....
Ila kuhusu huyu member Maundumula ni Kilaza flani tu achana nae ni mjinga mjinga fulani tu achana nae.
 
bado napitia pitia vyanzo vya habari na sioni tamko la Serikali
 
Hivi Rais bado tu kauchuna???

Si last week alituambia kuwa ule mgomo wa mwanzo uliliyumbisha taifa ............ sasa huu wa sasa bado haujafikia huko nini au anasubiri tena mpaka mwisho wa mwezi aje na speech nyingine?? Ninavyoona mimi ngoma hii MP imeshamshinda na sidhani kama madakatari watakubali kukutana naye tena baada ya kutamka hadharani kuwa serikali safari hii imejipanga.
 
jamani madaktari tumieni hekima!mfikilieni maskini ndiye mlipa kodi pekee asiye na likizo, akiibiwa kila mahala kwa udalali na wana siasa . jalini taaluma yenu na heshima mlio jijengea kwenye jamii na kueni na huruma wanasiasa wasiwachanganye hali ni mbaya hasa kwa maskini walio wasomesha!
nashindwa kutoamini kama hakuna mtu anaye sababisha kwa maslahi yake binafsi japo sielewi kama anaelewa anafanya nini. sikatai serikali ina mapungufu yake lakini tunaua watu wasio na hatia binafsi ningekuwa daktari ningekuwa tayari kufa kwa kutoa huduma kuliko kinachotokea mbaya sana!
 
Ni Pius Msekwa wakati akiwa spika wa bunge ndio aliwahi kutoa kauli hiyo, na ikasababisha akina Ananilea Nkya kuja juu,.....
Ila kuhusu huyu member Maundumula ni Kilaza flani tu achana nae ni mjinga mjinga fulani tu achana nae.

Mkapa alisema acheni wivu wa kijinga!
 
jamani madaktari tumieni hekima!mfikilieni maskini ndiye mlipa kodi pekee asiye na likizo, akiibiwa kila mahala kwa udalali na wana siasa . jalini taaluma yenu na heshima mlio jijengea kwenye jamii na kueni na huruma wanasiasa wasiwachanganye hali ni mbaya hasa kwa maskini walio wasomesha!
nashindwa kutoamini kama hakuna mtu anaye sababisha kwa maslahi yake binafsi japo sielewi kama anaelewa anafanya nini. sikatai serikali ina mapungufu yake lakini tunaua watu wasio na hatia binafsi ningekuwa daktari ningekuwa tayari kufa kwa kutoa huduma kuliko kinachotokea mbaya sana!

Hapo penye RED; hicho ndicho wanachokifanya. Kuna faida gani kwenda hospitali ukakaa ukamsikiliza mgonjwa halafu usimpe tiba sahihi kwa kuwa dawa hakuna, vifaa muhimu (kwa mafano mashine za x-ray n.k) na wewe mwenyewe ukaambukizwa magonjwa kwa kukosa gloves n.k? Huyu daktari akipata ugonjwa ataendelea kutibu? Hivi mbona nyie watu hamuoni Madaktari wetu wanavyojitolea kutuwezesha kupata huduma bora tunayoistahili?
 
Back
Top Bottom