Hivi hawa Mawaziri wanaotakiwa kuondolewa wao taaluma yao ni nini? Wote huwa nasikia wanaitwa Daktari, au sivyo? Wakiondolewa Madokta hawa tumpeleke nani pale? Wasira au Chenge? Maana kama Madakitari wote hawafai kuanzia Dr. Mtasiwa, Nkya na Mponda basi Baraza likivunjwa tuweke Mawaziri wenye taaluma tofauti. Kwa maoni yangu hii approach ya kutaka Waziri ajiuzuru eti kwa sababu alitamka maneno ambayo Madokta wameona yanawakera ni kuonyesha kutofahamu vyema dhana ya kuendesha Serikali. Kwani hawa ndio wameshindwa kununua vifaa vya mahospitali na madawa? Je, hawa ndio wanapanga mishahara ya Madaktari? Kwani mbona uongozi wa TUGHE una madaktari, kwanini wasingeanza na hao kwa kushindwa kuwatetea ili kuboresha hali zao? I am totally buffled by these senseless arguments. Kwani waliposhinikiza mwanzo na kupelekea Nyoni na Mtasiwa kuondolewa, kuna faida gani imepatikana? Sasa ni zamu ya Nkya na Mponda, kesho itakuwa ya Pinda na Bilali. Next itakuwa ya Kikwete na Mkuu serikali yake yote. Then we will leave at the mercy of Doctors! Come on Drs, go back to work and use lawful means to present your grievances!:A S embarassed: