Hawa madakatari wanatakiwa wauliwe, ni magaidi wanaocheza na roho na maumivu ya watu.
Hauwezi kabisa kila siku ukaja na malalamiko mapya ukae uchekewe tu. Nawaomba sana serikali isiwasikilize kabisa na iwape 2 hours wawepo kwenye kazi zao nje ya hapo, wachukuliwe hatua kali sana ikiwepo na kushtakiwa kwa kila kifo kitachotokea wakati wa mgomo, wakasote jela wakijibu kesi za mauaji.
Hii itawaamsha watanzania na kudai haki zao kwa serikali legelegeGomeni tu, gomeni tena msiache.
Acheni mama na dada zenu wakifa na vitoto vyao tumboni, acheni wadogo zenu waliopata ajali za bodaboda wakioza miguu. Acheni wajomba na babu zenu wakifa ICU kwa kukosa wa kuwahudumia. Acheni wadogo na wapwa zenu wakifa kwa pneumonia wodini,acheni baba zenu na wajomba zenu wakifa kwa kukosa huduma.
Gomeni tu, gomeni kabisa. Kama mmeamua kutoa maisha ya ndugu zenu kafara kwa ajili ya maslahi yenu ya Kisiasa sisi hatuna cha kufanya bali kukaa pembeni na kushudia mafahari wawili wakipambana.
Mungu ibariki Tanzania.
ROBOSOME Wewe ni mamluki unakula pesa za umma na magamba afu unajifanya kuitetea serikali...hivi wewe hujiulizi kwa nini siku hizi umeme unakatika bila wananchi kupewa taarifa? Unazani huo ndo uwajibikaji wa serikali yako? Ninawasiwasi hata makazi yako inawezekana yapo mikocheni kwa mawaziri.....AKILI ZAKO CHANGANYA NA ZAKE!
Inaonyesha kwenye familia yenu hakuna daktari!!Hivi hawa madokta hawana ndugu?
Kwa hiyo unataka kusema nini? Wanadai maslahi yao na wewe unaleta siasa za viapo uchwara!!
sijui kama unaelewa vitu mkuu
kwanza naomba nikujulishe kuwa uuru wa kweli na haki havita kuja kwako kwny sahani ya dhahabu, damu lazima imwagike leo au siku yeyote nyingine.. kupitia madaktari au mtu yeyote..
unaona ni sahihi hao mawaziri wawili tuu waendelee kukaa wakati watz wanakufa???.. hawajisikii vby kukataliwa wakaondoka wenyewe??????
umeshawahi kusikia kiongozi yeyote anaongelea kuwa 'mgomo utatuathiri'?? wote wanasema mgomo utawaathiri 'watz wenye kipato cha chini' WHY?????????????????????? sbb wanafki wote hao wanatibiwa APOLLO INDIA.. unawatetea nini, unafurahia madhari za hospt tulizonazo sasahivi??? hata kama madr wanafanya kazi mazingira wanayofanyia kazi unayapenda?????? hujasikia jama lowassa amesema kaena ujerumani kwa aajili ya kifanyiwa check up ya macho.. check up ujerumani halafu we unatetea upuuzi
MADAKTARI GOMENI LIWALO NALIWE.. HII NCHI LAZIMA IBADILIKE SASA
Kinachonishangaza ni jinsi ambavyo watu humu ndani wanona kuwa Madaktari wana haki kwa kila wanachokisema. Tunajua umuhimu wao katika jamii lakini wao wasijione kuwa bora kuliko watumishi wengine serikalini. How do you demand kwamba Waziri lazima aondoke na unataka kweli aondolewe? This is holding the government at ransom. walitaka Mtasiwa na KM waondoke wakaondoka, tena masikini KM akampoteza mama yake in the process. Ndugu zangu Madaktari, mgomo si suruhisho la kila kitu. Hebu fikiria roho za maskini wangapi wanakufa kwa sababu ya migomo yenu. Hamna hata Kwaresma nyinyi? Hiki mnachokifanya ni kwa manufaa ya nani kama sio nyinyi na matumbo yenu? Mna tofauti gani na mafisadi? I hate ufisadi lakini hili mnalolifanya ni well out of control and I will never support this. Doctors must be declared as enemy number one of the common mwananchi! Mkielezwa mnaanza kubwaga matusi humu, well sishangai kwani kama mnaruhusu watu kufa mahospitalini ili mifuko yenu itune, then matusi is just a drop of water in the indian ocean. As we stand, Doctors wanalipwa kuliko cadre yoyote serikalini; mnataka mlipwe kama wabunge????? For this one, doctors you sack!!!
swali ninalo jiuliza? Mh Pinda atalamba.........shi...yake tena???
Wachukue mafaili warudi nyumbani na this time hamna atakayewaita kazini.
Bongo bwana ..., Hivi waziri wa afya lazima akubalike na madaktari? Waziri wa elimu lazima akubalike na wanafunzi na waalimu? Waziri wa utamaduni lazima akubalike na footballers, wanariadha, rappers, etc.? waziri wa watoto na akina mama lazima akubalike na watoto na akina mama?