ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,018
- 7,222
Ina maana wamekubali kulipwa chochote ilimradi warudi kazini? Mi na wasiwasi watapewa sharti la kufanya kazi miezi 6 bila malipo kama adhabu ya mgomo waliofanya. Ina maana hata zile tuhuma za Joyce Nyoni, mama Nkya, Dr. Mpondo zilikuwa feki? Kama ndivyo wakawaombe msamaha Lucy Nkya na Dr. haji Mponda kwa kuwaharibia kazi
Waliotoa matakwa ya mawaziri kujiuzuru ni hao viongozi ambao wamewatekeza hawa interns ambao sasa wameamua kujitoa katika kundi lililopotea kimaadili na kuomba radhi.