Kabisa man. Yaani watapata ile mbayaDaah! Tume hii ni toilet paper ya ccm
Lisu anatumika kwa wananchi walio vunjiwa nyumba zao lkn tume inatumika kwa wauwaji na watekaji pamoja na wapiga risasi.Hata Lissu anatumika
Naam, Lissu anatumika. Ni mtumishi wa watanzaniaHata Lissu anatumika
Ni mjinga tu yule asiye jielewahivi huyu mkurugenzi wa uchaguzi ni msukuma?
NILIPANGA KUIPA KURA CCM ILA KWA UONEVU HUU NAMPIGIA KURA LISSUTume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemfungia kufanya kampeni Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu kwa siku saba kwa madai ya kukiuka maadili ya uchaguzi.
View attachment 1588087View attachment 1588088
KABISASababu za uchaguzi kutokuwa huru na wa haki zinaongezeka.
ingieni barabarani sasa tukiona kimyahucommet humu jf tutajua tayari ulienda barabaraniNo hate no fear, People’s Power ✌🏾
Where is Robert Amsterdam?Wanaendelea kumpiga chura take!
No wonder Polisi wamejidai kusitisha wito wa kumuita Lissu kwani ingekuwa ni too much kwa hizi taasisi za serikali zote kumsghulikia mtu mmoja hivyo wakaona watuzuge eti aendelee na kampeni kumbe wameshamzuia.
Tiini mamlaka zilizo juu imeandikwa.Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imemfungia kufanya kampeni Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu kwa siku saba kwa madai ya kukiuka maadili ya uchaguzi.